Salama kabisa Mkuu wangu,huwa nachungulia mara chache,hapa kati ratiba zilibana kidogo si unajua tupo Nchi ya tozo kila angle.Kwa ufafanuzi huu hapa nimekuelewa,unakumbuka nilichosema,hii 'vita' tutakula Christmas ikiwa bado ipo?Salama boss, sijakusikia muda...
Kuivamia nchi nyingine si jambo sahihi hilo lipo wazi. Heshima ninayoiongelea ni ile ya kiupinzani. Mfano Simba inapocheza na yanga kuna heshima japo inacheza na utopolo.
π ππ Nakumbuka, bado miezi mitatu.Salama kabisa Mkuu wangu,huwa nachungulia mara chache,hapa kati ratiba zilibana kidogo si unajua tupo Nchi ya tozo kila angle.Kwa ufafanuzi huu hapa nimekuelewa,unakumbuka nilichosema,hii 'vita' tutakula Christmas ikiwa bado ipo?
Ukraine wanastahili pongezi kwa mbinu.
JAPOKUWA: Warusi wangeamua kutangaza vita kamili bila kujali aina ya silaha nadhani sasa hivi tungekuwa tunaongelea aina nyingine ya vita na si vya Ukraine sababu huenda ingekuwa imechakaa.
(Ukiachilia mbali nuclear inasemekana wana heavy bombs).
Sijajua kwann hafanyi hivyo ila nachojua sababu ya kutokufanya kwake ni kwa maslahi ya Urusi na Dunia. Iwe ni anahofia respond ya mataifa mengine makubwa au ametumia ubinadamu kuavoid vifo vingi kwa pamoja au anazuia vita ya dunia, haijalishi, Warusi wanastahili kuheshimiwa kwa maamuzi ya kivita wanayochukua.
Na pia ukisoma history ni kwamba Ukraine ndio mama wa Russia.
Nikimaanisha kuwa taifa la Russia asili yake lilitokea kyvu mji mkuu wa Ukraine hapo ndipo Russian walipokua orgnated
Ha ha ha ha usikute China nae ndo walewale mkuuPropaganda ndio zilizoikuza Urusi ila Ukraine imemvua nguo....China ni bora kuliko Urusi.
T14 Armata
Ha ha ha ila nchi za kijamaa zina mikwara aiseee, nkikumbuka mikwara ya putin kabla ya hii vita na mwanzoni mwa hii vita, nikitazama vita hapa ilipofika, kweli Russia tulimkuza mdomoni tu.Kwa kufuata ahadi ya Putin na misimamo yake Nato haipo ndani ya ukrein ndiyo maana Urusi haina mpango na Nato.
Ikiwa utasema Nato hipo ndani ya Ukrein unamfanya Putin kuwa mwongo na Mropokaji. kwa umri ule na wadhifa alionao siwakuahidi kitu na asikifanye tena katika jambo sirias linalotafuna taifa lake.
Mkuu umenichekesha sana ,ila supa pawa wetu wa mchongo katembezewa kichapoa siyo mchezoKinachoendelea Ukraine ni vita kamili na Urusi wameshatumia silaha zote kasoro nuclear tu.
Mkuu lile biti la China ndio fungal mwaka eti ukichezea moto utakuunguza ,pelos akazama Taiwan kama tunavyozama chooni,macho madogo mpaka leo sijamsikiaHa ha ha ila nchi za kijamaa zina mikwara aiseee, nkikumbuka mikwara ya putin kabla ya hii vita na mwanzoni mwa hii vita, nikitazama vita hapa ilipofika, kweli Russia tulimkuza mdomoni tu.
Nikikumbuka na biti la China pale Taiwan ndo kabisaaa, nchi za kijamaa ni upupu mtupu.