Huyu mende anaongea akiwa wapiKiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi kuu ya Tanzania.
Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni
Yaani ukikosea hata herufi moja tu kwenye Title ya thread unaonekana Wewe ni Mkurupukaji, jitahidi sana kutuliza kichwa pale unapoandika tittle ya Uzi wako. πππKiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi kuu ya Tanzania.
Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni
Unataka upulizie dawa ya kuua Mende.Huyu mende anaongea akiwa wapi
Makolo wanamambo ya ajabu.Kiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi kuu ya Tanzania.
Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni
Simba ilaumiwe Kwa suala hiliMechi ya Singida na Namungo nayo mambo ni yale yale, Baadhi ya wachezji wa Namungo wana pekua golini kwa Singida kama wamepoteza pesa.
Simba wameleta michezo ya ajabu mbaya zaidi inafanyika mbele ya Camera.
Vitendo vya hovyo vinazidi kushika kasi.
Mkuu acha unafiki alifukia au alifukua? Au hukuwa unatazama mechi wakati kipa wa Mashujaa akifukia uku akizungukwa na wachezaji wakeMechi ikiwa live ..... shabiki kolo aliingia Uwanjani na kufukia hirizi [emoji23][emoji23]