Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah ... kwanini wasisajili quality players...Ili mateso yaishe???Ukweli ni kwamba Simba hawawezi kuacha Ushirikina hata iweje
Waliroga South Afrika waziwazi kabisa uwanjani mpaka wakapigwa faini lakini hawaachi uchawi
Hii timu bila uchawi hamna kitu
Makolo mtaroga mpaka lini?
Kama watu wanaweweswka hivi wataacha uchawi himid wasameheKiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi kuu ya Tanzania.
Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni
Kama watu wanaweweswka hivi wataacha uchawi himid wasamehe
View: https://www.instagram.com/reel/C4jUQfOK2wM/?igsh=MXh2bnZhNnUwdmFtMw==
Kibwana Shomari alifanya haya mambo, so hawa wote ndugu kwenye uloziWanaharibu soka la TZ
Kwa mfano tukicheza na Man City halafu tukatoa taulo la Ederson magoli yatamiminika?Shida sio taulo, shida kuna nn kwenye taulo, kwann baada ya taulo kuondolewa magoli yanamiminika
Mao ameeleza kuchukizwa na vitendo vya mashabiki na bàadhi ya Wachezaji kuendekeza Imani za kishirikina na kuondoa taulo za makipa golini. Hajataja timu na vitendo hivi vimefanywa na Wachezaji wa Yanga (Mzize+Kibwana) na mashabiki wa Simba pale Chamazi juzi. Hii ni aibu Kwa soka la nchi hii. TFF ianze kuadhibu pia makipa wanaoonekana Wazi wakifukia hirizi, sindano na kumwaga unga. Wasisubiri kuadhibu wanaofukua wakati waliofukia walionekana.Kiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi kuu ya Tanzania.
Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni
Wakwanza kupigwa faini ni wachezaji wa yanga mbona unajizima dataMechi ya Singida na Namungo nayo mambo ni yale yale, Baadhi ya wachezji wa Namungo wana pekua golini kwa Singida kama wamepoteza pesa.
Simba wameleta michezo ya ajabu mbaya zaidi inafanyika mbele ya Camera.
Vitendo vya hovyo vinazidi kushika kasi.