Himid Mao achukizwa na kitendo Cha ushirikina wa Simba

Himid Mao achukizwa na kitendo Cha ushirikina wa Simba

Ndo hivyo mkuu.... makombe mtayasikia kwenye redion😂
 
Ukweli ni kwamba Simba hawawezi kuacha Ushirikina hata iweje

Waliroga South Afrika waziwazi kabisa uwanjani mpaka wakapigwa faini lakini hawaachi uchawi

Hii timu bila uchawi hamna kitu

Makolo mtaroga mpaka lini?
 
Ukweli ni kwamba Simba hawawezi kuacha Ushirikina hata iweje

Waliroga South Afrika waziwazi kabisa uwanjani mpaka wakapigwa faini lakini hawaachi uchawi

Hii timu bila uchawi hamna kitu

Makolo mtaroga mpaka lini?
Daah ... kwanini wasisajili quality players...Ili mateso yaishe???
 
Kiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi kuu ya Tanzania.

Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni
Mao ameeleza kuchukizwa na vitendo vya mashabiki na bàadhi ya Wachezaji kuendekeza Imani za kishirikina na kuondoa taulo za makipa golini. Hajataja timu na vitendo hivi vimefanywa na Wachezaji wa Yanga (Mzize+Kibwana) na mashabiki wa Simba pale Chamazi juzi. Hii ni aibu Kwa soka la nchi hii. TFF ianze kuadhibu pia makipa wanaoonekana Wazi wakifukia hirizi, sindano na kumwaga unga. Wasisubiri kuadhibu wanaofukua wakati waliofukia walionekana.
 
Mechi ya Singida na Namungo nayo mambo ni yale yale, Baadhi ya wachezji wa Namungo wana pekua golini kwa Singida kama wamepoteza pesa.
Simba wameleta michezo ya ajabu mbaya zaidi inafanyika mbele ya Camera.
Vitendo vya hovyo vinazidi kushika kasi.
Wakwanza kupigwa faini ni wachezaji wa yanga mbona unajizima data
 
Back
Top Bottom