Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajaona Mzize akitoa taulo golini, hajaona ya Kibwana Shomari akitoa taulo, mpuuzi tu huyoKiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi kuu ya Tanzania.
Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni
Hana akiliLakini sio shabiki kuingia uwanjani
Unakumbuka ile mechi ya Simba na Yanga , half time Simba inaongoza 2-0 Kuna shabiki wa Uto kipindi Cha pili aliingia katikati ya Uwanja ndani ya dk 10 goli mbili zote zikarudi mchezo ukaisha 2-2 . Utopo mnapenda ndumba nyinyi. 😂😂😂Sasa Kwann shabiki aingie uwanjani
Unakoseaje heading ya Uzi? Unaonekana ni Kilaza Pro 😂😂😂Kivpi mkuu
Haijawahi tokea hiyo mkuuUnakumbuka ile mechi ya Simba na Yanga , half time Simba inaongoza 2-0 Kuna shabiki wa Uto kipindi Cha pili aliingia katikati ya Uwanja ndani ya dk 10 goli mbili zote zikarudi mchezo ukaisha 2-2 . Utopo mnapenda ndumba nyinyi. 😂😂😂
Nimeangalia marudio ya hiyo mechi wiki iliyopita Azam TV acha ubishiHaijawahi tokea hiyo mkuu
Humud au Himid ? 😂😂😂Mbona heading Iko tununu kabisaa
Humid Mau achukizwq ni Nini hiki ? 😂😂😂Mbona heading Iko tununu kabisaa
Punguza kukurupuka unaonekana Kilaza ProAchana nayo mkuu ....as long as umeelewa
Hongera sana nitakuajili uki graduate nitafute nikupe kaziMwakani nakamilisha degree ya 2.….Mzee....so nipo vizuri