Nataka hizo degree zako mbili zije kuongeza ufanisi na kitu kipya kwenye ofisi yangu.Najiendeleza tu kijana angu ....nipo kwenye system kitambo
Kapekue kwenye makabrasha ya TFF utakuta wamehifadhi majina ya waliokuwa wa kwanza kusepa na vitaulo vya timu pinzani.Ndo nanii
Hiyo elimu yako bila impact yoyote kwenye jamii ni bure kabisaaTafuta pesa mkuu....sisi wengine tunasoma only for leasure
Umesahau waanzilishi wa kupigwa fine kwa kufukuana kuchukua ni mzinze na kibwanaMechi ya Singida na Namungo nayo mambo ni yale yale, Baadhi ya wachezji wa Namungo wana pekua golini kwa Singida kama wamepoteza pesa.
Simba wameleta michezo ya ajabu mbaya zaidi inafanyika mbele ya Camera.
Vitendo vya hovyo vinazidi kushika kasi.
Wewe mbunye, Yanga walitoka kupigwa fain kwa kosa hilohilo na team ni hivyohivyo unapofikiri tumia kichwa sio kama umekalia kipisi huko kwenye mwiko wakoMechi ya Singida na Namungo nayo mambo ni yale yale, Baadhi ya wachezji wa Namungo wana pekua golini kwa Singida kama wamepoteza pesa.
Simba wameleta michezo ya ajabu mbaya zaidi inafanyika mbele ya Camera.
Vitendo vya hovyo vinazidi kushika kasi.
Nina wasiwasi unaponiambia unaitafuta degree ya pili mbona una majibu ya rejareja kama mtoto wa form one D ? πππSema Simba wanaharibu soka hapa TZ
Mayele football clubNdo ipi hyo mkuu
Hawa hapaNdo nanii