Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Hip Hop Diss Tracks: Dizasta Vina amjibu Rapcha

Raptcha yupo booth mda huu, ngoja tusubiri bomu lingine
FmrV7lIX0AI4yNR.jpg
 
Tupatie punches za Rapcha tuone. Hata moja tu.
Rapcha kimistari ni mbovu kuliko Dizasta, ila hajazidiwa kiviile kama mnavokuza humu...But atleast rapcha anacompasate na style na mabiti ambayo dizasta hawezi kutembea kwayo.
Dizasta ngoma ndefu mno afu punch za kawaida na style ileile inaboa man.
Hawa wote naona wamekutana na mapungufu yao, same calibre...so hii ngoma ni droo
 
Yah, watu kama nyie lazima muwepo ili dunia izunguke.
Nilichompendea DeezerStar this time amejua kuweka vina na kutembea na beat akiwa ametulia na beat kalitendea haki hajapwaya na kubwabwaja, hapo amechukua marks zangu 80% ame-punch pia baadhi ya line zimesimama, hapo ndipo nilipomuelewa na story zinaeleweka hii ametiririka vizuri tofauti na ile ya mwanzo,

Sometimes tukiwasema wanapokosea tunawajenga, wanajirekebisha na wanaimarika zaidi, Ila mistari aikunje sasa isiwe miepesi miepesi, kunja mstari mpaka mtu aitafute dictionary ya rap kusearch ulimaanisha nini

Kuna story za ndani kwamba Raptcha anawasolola walembo DM, haijulikani kingine amemchana hana cha kuwalipa mapruduza meeen hii ngumu kuamini, kingine analelewa come on meeen, kingine daaah baaasi Raptcha eeeh achia dude mjibu huyu ntu asikuchukulie poa kiasi hicho yaan kamtaja hadi Paula kwamba ni dada yako?
 
Punch kwako ni kitu gani?

Unatumia croteria gani ku group line kuwa hii ni punch na hii sio?
Punch ni hii

Raptcha ali-rap akamuita jamaa ni Pussy

Hii line kai-punch, sikiliza

Nyingine alimuimba kuhusu kushika matako yake na kumfanyia mchezo mbaya

Hio line kai-punch, sikiliza
 
Nilichompendea DeezerStar this time amejua kuweka vina na kutembea na beat akiwa ametulia na beat kalitendea haki hajapwaya na kubwabwaja, hapo amechukua marks zangu 80% ame-punch pia baadhi ya line zimesimama, hapo ndipo nilipomuelewa na story zinaeleweka hii ametiririka vizuri tofauti na ile ya mwanzo,

Sometimes tukiwasema wanapokosea tunawajenga, wanajirekebisha na wanaimarika zaidi, Ila mistari aikunje sasa isiwe miepesi miepesi, kunja mstari mpaka mtu aitafute dictionary ya rap kusearch ulimaanisha nini

Kuna story za ndani kwamba Raptcha anawasolola walembo DM, haijulikani kingine amemchana hana cha kuwalipa mapruduza meeen hii ngumu kuamini, kingine analelewa come on meeen, kingine daaah baaasi Raptcha eeeh achia dude mjibu huyu ntu asikuchukulie poa kiasi hicho yaan kamtaja hadi Paula kwamba ni dada yako?

Mimi ukiniuliza kuhusu Rapcha ku flow bila vina nakutajia verse zake

Ngoma gani au verse gani ambayo Dizasta hakutembea na vina?
 
Punch ni hii

Raptcha ali-rap akamuita jamaa ni Pussy

Hii line kai-punch, sikiliza

Nyingine alimuimba kuhusu kushika matako yake na kumfanyia mchezo mbaya

Hio line kai-punch, sikiliza
So ukitoa hizo lines the rest hakuna punchline?
 
Back
Top Bottom