Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee haujanielewa lines zipo Ila jamaa amekwambia yeye kwa upande wake ameona 10 tuSo ukitoa hizo lines the rest hakuna punchline?
Wordplay,metaphors,similes,double& tripple entendres.Punch kwako ni kitu gani?
Unatumia croteria gani ku group line kuwa hii ni punch na hii sio?
usipick point hii sio bufee, cheki catalog nzimaFaridi kubanda wa mwaka gani?
Hatia III kaisikilize, vina empty na ndio ngoma niliyokua namlaumu Disasta, hajatembea na vina karap hakuna mizani hakuna vina hakuna stanza, isikilizeMimi ukiniuliza kuhusu Rapcha ku flow bila vina nakutajia verse zake
Ngoma gani au verse gani ambayo Dizasta hakutembea na vina?
Swali gumu hiliFaridi kubanda wa mwaka gani?
halo ni nini?"Talk about storytelling, look at my damn halo."
Kwa sababu hawa wapumbavu wanapiga makelele ambayo hayawaletei helaKwasababu wewe huelewi?
Swali gumu hilihalo ni nini?
kwaninSwali gumu hili
Halo ni nini? Jibu swalikwanin
atleast wewe umenenaHao madogo wasije jichanganya waka mdis Killer, watapewa za uso na kujiona matakataka tu.
Faridi kubanda wa mwaka gani?
nijijibu tena? mim ndo nmeulza hilo swaliHalo ni nini? Jibu swali
Sio kwamba wanadiss diss tu wanaangalia na wakumdiss, sio kila mtu unamtupia diss, behind the scenes wapo peace tu but ni km kuchangamsha rap isipoe Ila killer akitaka na yeye apewe atapewa tu diss akiweza aanzishe kilinge watu waruke nae,Hao madogo wasije jichanganya waka mdis Killer, watapewa za uso na kujiona matakataka tu.
Sasa mboni umeuliza kwanini? Wakati wewe ndio umeuliza?nijijibu tena? mim ndo nmeulza hilo swali
Sio kwamba wanadiss diss tu wanaangalia na wakumdiss, sio kila mtu unamtupia diss, behind the scenes wapo peace tu but ni km kuchangamsha rap isipoe Ila killer akitaka na yeye apewe atapewa tu diss akiweza aanzishe kilinge watu waruke nae,