Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila uchawi ni sayansi kali sana,imagine mtu anakaa kwenye ungo,anachanganyachanganya mizizi halafu anapaa ndani ya muda mfupi yuko Dar tayari tokea kigoma hii hatari sanaUko sahihi kabisa na wala hakuna wa kukupinga kama haikusaidii wewe, huyu na yule unavaa ya nini?? angalia kwanza;Kamwe mtu huwezi kumeza chloroquine au kuchomwa sindano kama huumwi ugonjwa unao husiana na sindano hiyo...
TITO 3 : 9Yesu gani .wako wengi hao
Hukua na matatizo pengine ila sisi wenye matatizo hatuchoki kufuata masharti ya azmaNilipewa Azima nitembee nayo dah Siku moja tu nikaanza kuichoka. Kiufupi ni upuuzi ambao una mwisho wake bora kumtegemea Mungu upo free una enjoy ila ayo mambo ya hirizi kazi kweli kweli
TITO ni yesu wako huyo!! uko sahihi, hanihusu wala hanitishi!!!TITO 3 : 9
Lakini maswali ya upuzi ujiepushe nayo, na nasaba, na magomvi, na mashindano ya sheria. Kwa kuwa hayana faida, tena hayana maana.
Kabisa mkuu sijui kwa nini waafrica waliikataa!!! wakakubaliana na Mzungu wakachanganya na yesu fake mpaka leo watu wanamzimia na wanaenda Vatican kuhiji!!Ila uchawi ni sayansi kali sana,imagine mtu anakaa kwenye ungo,anachanganyachanganya mizizi halafu anapaa ndani ya muda mfupi yuko Dar tayari tokea kigoma hii hatari sana
Mie nilimeza kabisa mkuuWe umevaa ngapi mkuu??ll
Wadogo tuliburuzwa sana. mgonjwa mama lakini tiba mnajumuishwa. Nilikimbia chale kwa bibi nikadakwa katika shamba la mahindi mbali kabisa, nikala chale za kutosha nikapakwa dawa inauma hatari. nashukuri zile alama zilifutika baadaye. Loh!Sikumbuki kama niliwahi kubebeshwa huo mzigo na wala sidhani kama siku moja nitakuja kuubeba kwa ridhaa yangu mwenyewe, ingawaje wakati mmoja nilishawahi kuchanjwa kwa wembe nikiaminishwa kuwa ni kinga dhidi ya Wachawi/wanga.
Kuna mtu alifika kijijini kwetu akaiba akakamatwa akapigwa sana kufa hafi, mawe fimbo wapi. Hadi mwenyewe akaomba poo kwa kusema 'jamani naumia kuna hirizi mkononi karibu ya bega ikateni nateseka" ilivyotolewa fasta aka RIP.Hukua na matatizo pengine ila sisi wenye matatizo hatuchoki kufuata masharti ya azma
Duuu![emoji849]Mie nilimeza kabisa mkuu
Duh[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Kuna mtu alifika kijijini kwetu akaiba akakamatwa akapigwa sana kufa hafi, mawe fimbo wapi. Hadi mwenyewe akaomba poo kwa kusema 'jamani naumia kuna hirizi mkononi karibu ya bega ikateni nateseka" ilivyotolewa fasta aka RIP.
Kuna jamaa yangu mmoja yeye azma yake aliambiwa isiingie povu na ilikuwa na uwezo wakumfanya apendwe na kila mtu yaani mwarabu,, mzungu, mwafrika na hata mchina pia aliambiwa itamsaidia ktk masuala business.
Kama ilivyo ada vitu vya kishirikina vinakikomo siku moja alijisahau akafuria yaani alijisahau na ilikuwa kwenye mfuko wa suruali na akaanika then akaenda kupata breakfast ile anarudi akakuta nyumba aliyopanga inawaka moto na ilianza upande wa chumba chake.
Basi mali zake zote ziliteketea alipojaribu kurudi kwa yule mganga akakuta hayupo yaani kaenda jail ikawa ndiyo mwisho wa maagano ya hirizi.
Blaza Mshana Jr siyo kama tunapenda kuingia huko kwenye maagano ya mahirizi( azma) hapana ila ni manyanyaso yaliyojaa hapa ulimwenguni na dhiki zetu hizi ndiyo maana tunaamua kwenda upande wa pili walau tuweke heshima kwa ndg na jamaa nalogi off.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Babu mshana hapa umenifurahisha na kunichekesha pia yaani kaka katika vitu ambavyo sijawahi kuvielewa basi hiki ni kimojawapo.
Yaani binadamu sisi sijui hata unaanzaje kuamini kitu km hirizi. Ni afadhali hata wale wanaochanja kuliko KUVAA mahirizi. Halafu naskia Kuna mahirizi mengine huwaga yanapumua hii nayo imekaaje mzee baba?!
We nae mfyuuuUsikute we ndo mtumiaj mzur umeyajaza kwako
Mi nilikosea jambo moja mi nilimtegemea mungu japo nilikuwa nakula shaba zingine zinapita zingingine zinanipata na hii nikwasababu ya kupuzia mambo ya ibada sometimes ukienda kazini ofisini unakuta mavi ya paka. Kosa nilofanya nikwenda kwa mganga bwana bwana bwana kumbe kama nimewapa connection ya kushindana aise nilikuwa napokea makombora mazito mazitoHukua na matatizo pengine ila sisi wenye matatizo hatuchoki kufuata masharti ya azma