Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mi natamani unisimulie kidogo kuhusu Huyo "Yesu wa kweli", mmewahi kukutana au kutunishiana misuli?Acha hizo wewe mlokole nitakuroga na yesu wako huyo mzungu asikusaidie mpaka ukome!! hvi unadhani Yesu wa kweli mchezo?? nimesha kuchunguza hapa, na jina lako halisi nalijua, naweza tuma kombora likja moja kwa moja hapo ulipo! na usifanye kitu..
unajipendekeza kwa yesu mzungu??? e bwanawee
Yule bana si wa mchezo mchezo kabisaaa!! usithubutu!! kumfanyia masihara yaani zaidi utapotea!!! na ni wachungaji wachache mno wanao mjua huyu!! walokole wengi ni wapigaji tu halafu hawajui Biblia vizuri!Mkuu mi natamani unisimulie kidogo kuhusu Huyo "Yesu wa kweli", mmewahi kukutana au kutunishiana misuli?
Mungu wangu hadhihakiwi!! na imeandikwa ''usimjaribu Bwana Mungu wako!!'' sisi hatugombani ila nimemwambia ukweli, ambao siyo ugomvi, lkn mungu wako huyo amekwambia ni ugomvi, achana nae ni muongo sana!! njoo kwa Mungu wangu ili upone!!Mkuu naona unabishana sana na huyu Mkuu..sasa nikiwa kama balozi wa Yesu Kristo Mwana wa MUNGU nakuomba na nakuhitaji utubu sasa kwa udhalilishaji huo kwa majira haya...
Ameachana na uganga!Unataka kusema....
Muongo!! muongo!! mkubwa kayesu kazungu hakakuhusu!!Huwezi na kamwe huwezi. Uhai wangu umefichwa pamoja na Kristo manaa nilikufa na kufufuka pamoja naye.
Yesu gani .wako wengi haoHuwezi na kamwe huwezi. Uhai wangu umefichwa pamoja na Kristo manaa nilikufa na kufufuka pamoja naye.
ItakuaAmeachana na uganga!
Vinasaba vya kiimaniHivi msalaba na tasibihi za kuvaa shingoni kwa wakristu vipi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ameachana na uganga!
[emoji736][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji817]!Nikuponge kaka kwa Darasa mulua unalotoa mwenye macho haambiwi ona
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Babu mshana hapa umenifurahisha na kunichekesha pia yaani kaka katika vitu ambavyo sijawahi kuvielewa basi hiki ni kimojawapo.Unajiuliza nini dhima ya hirizi maungoni? Unakuja kugundua mvaaji kapewa ili IMLINDE!
Imlinde na uchawi
Imlinde na wanga...
Khaa kumbe analoo[emoji1][emoji1]Vua zigo hiloo,.[emoji12]
Unazo ngapi mkuu?![emoji817] truuue mkuu .... Halaf chakushangaza ckuiz vijana ndio tunaendekeza sn izo mambo.
Ule mvuje Ni mtipori mmoja HV unaitwa MVUMBASI huku kwetu huwa wamama wenyewe wanauchuma wanachukua kitambaa cheusi wanaufunga halafu ndio wanamvisha mtoto.Nimewaza ulivozivaa umtishe yule dada anaekula pesa za wanaume na mda ukifika anajifanya ana mashetani.
Yan mm nikiona mtu amevaa tu hyo kitu au zile wanvalishaga watoto sijui wanaita mvuje hata nguvu ya kumfurahia mwanao inakata. Hivi na huo mvuje sijui ni hirizi
>chale ni aina ya hirizi ambayo inaunganishwa na damu yako ni hatari sana,naona wengi sana humu mna chale...!
We umevaa ngapi mkuu??llUko sahihi kabisa na wala hakuna wa kukupinga kama haikusaidii wewe, huyu na yule unavaa ya nini?? angalia kwanza;Kamwe mtu huwezi kumeza chloroquine au kuchomwa sindano kama huumwi ugonjwa unao husiana na sindano hiyo...