Hirizi ni mzigo mzito sana

Hirizi ni mzigo mzito sana

Mbwembwe nyingi halafu hakuna (kitu cha maana) ulichoandika!
Amini!!! amini!!! nakwambia akili kubwa na akili ndogo, havitangamani wakti nikiwa mdogo km wewe, Rais wa nchi akihutubia popote sikujua kitu, acha hao kanisani mie nilikuwaga naenda km kutalii tu,

siku wahi jua maana ya maneno waliyo kuwa wakisema wachungaji kabisaaa si utani kaka akili yangu ilikuwa changa mno, pamoja nakujitahidi sana kuwasikiliza lkn waapi!! lkn leo nimekomaaa Mwee!! mpaka naweza challenge Netanyau!!

Yawezekana uko kipande hiki!! wenye akili nyingi km mimi wametoa hoja wakajibiwa, ajabu wewe hujui kitu kweli?? umeona nyota!! lkn nikutie moyo usiwe na wasiwasi haya ni mapito tu ukikua utajua wakubwa wanayoongea!! utanikumbuka kwa hili......
 
Hakuna uganga wala uchawi juu langu. Bwana Yesu aliye nifia msalabani ananitosha.
Acha hizo wewe mlokole nitakuroga na yesu wako huyo mzungu asikusaidie mpaka ukome!! hvi unadhani Yesu wa kweli mchezo?? nimesha kuchunguza hapa, na jina lako halisi nalijua, naweza tuma kombora likja moja kwa moja hapo ulipo! na usifanye kitu..

unajipendekeza kwa yesu mzungu??? e bwanawee
 
Acha hizo wewe mlokole nitakuroga na yesu wako huyo mzungu asikusaidie mpaka ukome!! hvi unadhani Yesu wa kweli mchezo?? nimesha kuchunguza hapa, na jina lako halisi nalijua, naweza tuma kombora likja moja kwa moja hapo ulipo! na usifanye kitu..

unajipendekeza kwa yesu mzungu??? e bwanawee
Duuuuh
 
Hahahahahaaa nakula pensheni tu sasa... Ila kukumbushia mara moja moja inaruhusiwa
Hvi maandiko yanasemaje kuhusu ushirikina?
Hahahahahaaa nakula pensheni tu sasa... Ila kukumbushia mara moja moja inaruhusiwa
Ila bro unanichanganya, kuna siku naona upo kidini ila hapa kweny kuboost sio kurudi kwenye shirki? Na mungu unaemuomba anasemaje kuhusu shirki
 
Hvi maandiko yanasemaje kuhusu ushirikina?

Ila bro unanichanganya, kuna siku naona upo kidini ila hapa kweny kuboost sio kurudi kwenye shirki? Na mungu unaemuomba anasemaje kuhusu shirki
Hapana usichanganyikiwe sirudi kwa ubaya
 
Acha hizo wewe mlokole nitakuroga na yesu wako huyo mzungu asikusaidie mpaka ukome!! hvi unadhani Yesu wa kweli mchezo?? nimesha kuchunguza hapa, na jina lako halisi nalijua, naweza tuma kombora likja moja kwa moja hapo ulipo! na usifanye kitu..

unajipendekeza kwa yesu mzungu??? e bwanawee
Huwezi na kamwe huwezi. Uhai wangu umefichwa pamoja na Kristo manaa nilikufa na kufufuka pamoja naye.
 
Uko sahihi kabisa na wala hakuna wa kukupinga kama haikusaidii wewe, huyu na yule unavaa ya nini?? angalia kwanza;Kamwe mtu huwezi kumeza chloroquine au kuchomwa sindano kama huumwi ugonjwa unao husiana na sindano hiyo !! na....
Ufahamu utaongezeka na watu hawatotaka kweli.

Ufahamu ndo huu sasa
 
Kuna jamaa yangu mmoja yeye azma yake aliambiwa isiingie povu na ilikuwa na uwezo wakumfanya apendwe na kila mtu yaani mwarabu,, mzungu, mwafrika na hata mchina pia aliambiwa itamsaidia ktk masuala business.

Kama ilivyo ada vitu vya kishirikina vinakikomo siku moja alijisahau akafuria yaani alijisahau na ilikuwa kwenye mfuko wa suruali na akaanika then akaenda kupata breakfast ile anarudi akakuta nyumba aliyopanga inawaka moto na ilianza upande wa chumba chake.

Basi mali zake zote ziliteketea alipojaribu kurudi kwa yule mganga akakuta hayupo yaani kaenda jail ikawa ndiyo mwisho wa maagano ya hirizi.

Blaza Mshana Jr siyo kama tunapenda kuingia huko kwenye maagano ya mahirizi( azma) hapana ila ni manyanyaso yaliyojaa hapa ulimwenguni na dhiki zetu hizi ndiyo maana tunaamua kwenda upande wa pili walau tuweke heshima kwa ndg na jamaa nalogi off.
 
Hayo mapete ndio kama anayovaa JK, Lowasa na hayati Ben Mkapa?

Kuna siri gani kwenye hizi pete? Maaskofu pia wanavaa.
 
Back
Top Bottom