Hirizi ni mzigo mzito sana

Hirizi ni mzigo mzito sana

Uko sahihi kabisa na wala hakuna wa kukupinga kama haikusaidii wewe, huyu na yule unavaa ya nini?? angalia kwanza;Kamwe mtu huwezi kumeza chloroquine au kuchomwa sindano kama huumwi ugonjwa unao husiana na sindano hiyo !! na

kama umejaaliwa afya njema sindano za quinine hutakaa uzijue maisha yako yote!! utazisikia tu!! hivi unajua chanzo za Measles, Ndui, TB unazo Mwilini na zina kulinda weye leo mpaka kesho?? kwa nini hukuzikataa?? Astma hirizi yake Aminophylline tu!!! baas

hivi unajua magari yote yanatembea na hirizi chini ya tyre la akiba pale nyuma? kukulinda na Radi? ulisha wahi ona gari imepigwa Radi?? hii ni Physics ya form two!! je siyo hirizi hizo?? OK! hapo kwako Msata! nyumba yako ina Health wire ni ya nini kma siyo hirizi ile!!

Ward za hospital ni kwa ajili ya Mgonjwa ambae hawezi kutembea mwenyewe!! anakaa na kulala hapo ili atibiwe ( hirizi za kizungu anapewa) apone aende kujenga taifa lake!!! Mzima utakaa wardini?? Kwanza utaona pananuka! lkn mgonjwa hasikii harufu hiyo!

Mkuu Hirizi ndo yenyewe Kiafrica Zaidi. kama huna Maadui kwa nini uivae?? Haina maana, angeshona Mzungu aaah!! Poa. tatizo mweusi ndo anatumia!! angalia Daraja la Kirumi, kwenu huko, halikujengwa bila hirizi za SOGESCA,

Tunao vaa ni sisi wenye Nyota kali zinazowaka za maongozi ya nchi na Dunia kwa ujumla wake!!! Mabara yana tutegemea ili yaendelee halafu tunajijua tulivyo hatari ktk ulimwengu wa roho! na tunajua matumizi yake haswa!! km huna matumizi nayo ya nini?

Kuzimu inatukubali haswa!! Na kutuogopa tunajua!! angalia;; Biblia imetaja uchawi sana, mfano ni kule Misri, Musa alitumia fimbo kama Hirizi yake alitupa fimbo!! kuyachapa maji yakagawanyika wana wa israel wakavuka salama kwenda ng'ambo, hii ni hirizi pia.

Hospitali kuna hirizi nyingi tu bila zile hirizi huponi na kazi haiendi ila tu, mnazipa Majina tofauti, mfano Surgical Masks, Gloves, Aprons, Surgical bed nk lkn hamuyaoni hayo sababu ni ya weupe! bana kuba!! bin Mkoloni Master, dege la tani 200 linapaa siyo hirizi.

kwa mutu yeyote ambae hajasoma kabisaaa!! achilia mbali Medicine km ilivo! hawezi kuelewa somo la mtu kuvaa apron, au surgical gloves, hili anaona ni urembo tu! na mbwewe za Madaktari!! kujifanya fanya!!

Sasa ndo hivo hata kwenye Ulimwengu wa giza na Hirizi, kama mtu hajui yaliyomo ktk ulimwengu wa Giza hata kaa aelewe somo la hirizi Uganga uchawi, piga ua garagaza zitarushwa ngumi hatare nakwambia!!

Kuna wenzetu wengi kule Ukara, Ukerewe, Nyashimbank, walishindwa kuendelea na Masomo kabisaaa!! ajili ya kurudi kijijini kurithi Mikoba By then hatukuwaelewa!! But in other hand sisi wazee wetu waliojua haya,

tulifanya maridhiano maalumu kwanza, kwa sharti la kujifunza uchawi kwanza, then tukaombewa Rhuksa kwa mchawi Mkuu ili twende shule, na tuko huku lkn kila Desemba lazima tukavae kaniki Mwezi mzima turogeeee!! hafu mambo yanakuwa sawa! tunaenda zetu.

Nawajua vichaa wengi tu Dar walio kataa!! Uchawi wa Mizimu ya kwao!! wengine tunajuana, Lakini wasomi hatare!! KTK pitapita yako Dar wee!! waongeleshe kimombo wale machizi usikie habari yake!!! na Wako mpaka S/africa, Cameroon,Nigeria nk.

Dharau hirizi ya kwenu uwe kichaa uone!! wewe Mshana uko salama je wengine nao je!! wenye asili ya ulozi? sisi tulipewa Lecture mapemaaaa! na wazee hatudanganyiki! Africa hoyeeee!!
Dharau hirizi ya kwenu uwe kichaa uone!! wewe Mshana uko salama je wengine nao je!! wenye asili ya ulozi? sisi tulipewa Lecture mapemaaaa! na wazee hatudanganyiki! Africa hoyeeee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyaru-sare Nimekulia kwenye ushirikina na nimeu practice kwa miaka zaidi ya 20.. Trust me 90% ya hirizi ni uchafu na hizo zenye nguvu, nguvu yake iko so limited na zina masharti kibao kama chanjo ya covid
 
Dharau hirizi ya kwenu uwe kichaa uone!! wewe Mshana uko salama je wengine nao je!! wenye asili ya ulozi? sisi tulipewa Lecture mapemaaaa! na wazee hatudanganyiki! Africa hoyeeee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyaru-sare Nimekulia kwenye ushirikina na nimeu practice kwa miaka zaidi ya 20.. Trust me 90% ya hirizi ni uchafu na hizo zenye nguvu, nguvu yake iko so limited na zina masharti kibao kama chanjo ya covid
Hahhahha huyu naona mwenyezi Mungu pekee ndo ataweza muelewesha .maana naona hadi hii simu ni hirizi sasa
 
Ndio yenye nguvu sana kiroho kwakuwa haipiti kiwandani
Utumiaji wa hii kitu haiingii kwenye shirk ? Nauliza tu maana wengine wanasema ukitumia wakat unamwaga sijui mwaga kwa upande wa kushoto, mara watu wasikuone, sasa haya hayaingii ktk ushirikina mdg?
 
Utumiaji wa hii kitu haiingii kwenye shirk ? Nauliza tu maana wengine wanasema ukitumia wakat unamwaga sijui mwaga kwa upande wa kushoto, mara watu wasikuone, sasa haya hayaingii ktk ushirikina mdg?
Chumvi ni catalyst inategemea unaitumiaje
 
Aisee!! Watu wameamua kumtegemea binadam zaid kuliko Mungu.
Ila zipo zenye faida maana kuna bibi alikuwa kijiji jiran na kijiji chao mzee yeye alikuwa anasaidia wadada/wanawake ambao wamepata ujauzito na hawana mpango wa kuzaa kwa mda huo alikuwa anafunga ujauzito usikue kwa kuwapa kitu kama kamba unavaa kiunoni ukivui kikivua tu inamaana umeruhusu ujauzito uendelee kukua.
Anacho
TIFFA2.jpg
 
Dharau hirizi ya kwenu uwe kichaa uone!! wewe Mshana uko salama je wengine nao je!! wenye asili ya ulozi? sisi tulipewa Lecture mapemaaaa! na wazee hatudanganyiki! Africa hoyeeee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyaru-sare Nimekulia kwenye ushirikina na nimeu practice kwa miaka zaidi ya 20.. Trust me 90% ya hirizi ni uchafu na hizo zenye nguvu, nguvu yake iko so limited na zina masharti kibao kama chanjo ya covid
Mitaa ya ulozi inatofautiana Mkuu!! kule kwenu Bukoba hauna nguvu km ule wa Ukerewe!! na ukiriguru sasa mie nilianzia Gamboshi, nimemalizia India tena kwa kufuata taaluma za kichawi mkuu, na kila tukifika ...

tunapewa ramani za uchawi wenye nguvu na kusikokuwa na nguvu!! sasa ni hivi Kichawi Bukoba ilikuwa ni njia salama kwa kweli! hatukuwahi kupata misukosuko maeneo hayo !!

ila ukiendelea mbele kutokea Mrigo ya kichawi ile bila kukata kona kidogo!! hapo ndo palikuwa pabaya mpaka leo ni pabaya! japo wenye nguvu wengi walisha kufa!!lkn waliacha mambo yao! sitaki hata kupasikia, niliwahi kwama hapo!! nikaokoka kwa shida sana.
 
Mitaa ya ulozi inatofautiana Mkuu!! kule kwenu Bukoba hauna nguvu km ule wa Ukerewe!! na ukiriguru sasa mie nilianzia Gamboshi, nimemalizia India tena kwa kufuata taaluma za kichawi mkuu, na kila tukifika ...

tunapewa ramani za uchawi wenye nguvu na kusikokuwa na nguvu!! sasa ni hivi Kichawi Bukoba ilikuwa ni njia salama kwa kweli! hatukuwahi kupata misukosuko maeneo hayo !!

ila ukiendelea mbele kutokea Mrigo ya kichawi ile bila kukata kona kidogo!! hapo ndo palikuwa pabaya mpaka leo ni pabaya! japo wenye nguvu wengi walisha kufa!!lkn waliacha mambo yao! sitaki hata kupasikia, niliwahi kwama hapo!! nikaokoka kwa shida sana.
Kumbe member [emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji817][emoji736]nimekupata vema sasa
 
Uko sahihi kabisa na wala hakuna wa kukupinga kama haikusaidii wewe, huyu na yule unavaa ya nini?? angalia kwanza;Kamwe mtu huwezi kumeza chloroquine au kuchomwa sindano kama huumwi ugonjwa unao husiana na sindano hiyo !! na

kama umejaaliwa afya njema sindano za quinine hutakaa uzijue maisha yako yote!! utazisikia tu!! hivi unajua chanzo za Measles, Ndui, TB unazo Mwilini na zina kulinda weye leo mpaka kesho?? kwa nini hukuzikataa?? Astma hirizi yake Aminophylline tu!!! baas

hivi unajua magari yote yanatembea na hirizi chini ya tyre la akiba pale nyuma? kukulinda na Radi? ulisha wahi ona gari imepigwa Radi?? hii ni Physics ya form two!! je siyo hirizi hizo?? OK! hapo kwako Msata! nyumba yako ina Health wire ni ya nini kma siyo hirizi ile!!

Ward za hospital ni kwa ajili ya Mgonjwa ambae hawezi kutembea mwenyewe!! anakaa na kulala hapo ili atibiwe ( hirizi za kizungu anapewa) apone aende kujenga taifa lake!!! Mzima utakaa wardini?? Kwanza utaona pananuka! lkn mgonjwa hasikii harufu hiyo!

Mkuu Hirizi ndo yenyewe Kiafrica Zaidi. kama huna Maadui kwa nini uivae?? Haina maana, angeshona Mzungu aaah!! Poa. tatizo mweusi ndo anatumia!! angalia Daraja la Kirumi, kwenu huko, halikujengwa bila hirizi za SOGESCA,

Tunao vaa ni sisi wenye Nyota kali zinazowaka za maongozi ya nchi na Dunia kwa ujumla wake!!! Mabara yana tutegemea ili yaendelee halafu tunajijua tulivyo hatari ktk ulimwengu wa roho! na tunajua matumizi yake haswa!! km huna matumizi nayo ya nini?

Kuzimu inatukubali haswa!! Na kutuogopa tunajua!! angalia;; Biblia imetaja uchawi sana, mfano ni kule Misri, Musa alitumia fimbo kama Hirizi yake alitupa fimbo!! kuyachapa maji yakagawanyika wana wa israel wakavuka salama kwenda ng'ambo, hii ni hirizi pia.

Hospitali kuna hirizi nyingi tu bila zile hirizi huponi na kazi haiendi ila tu, mnazipa Majina tofauti, mfano Surgical Masks, Gloves, Aprons, Surgical bed nk lkn hamuyaoni hayo sababu ni ya weupe! bana kuba!! bin Mkoloni Master, dege la tani 200 linapaa siyo hirizi.

kwa mutu yeyote ambae hajasoma kabisaaa!! achilia mbali Medicine km ilivo! hawezi kuelewa somo la mtu kuvaa apron, au surgical gloves, hili anaona ni urembo tu! na mbwewe za Madaktari!! kujifanya fanya!!

Sasa ndo hivo hata kwenye Ulimwengu wa giza na Hirizi, kama mtu hajui yaliyomo ktk ulimwengu wa Giza hata kaa aelewe somo la hirizi Uganga uchawi, piga ua garagaza zitarushwa ngumi hatare nakwambia!!

Kuna wenzetu wengi kule Ukara, Ukerewe, Nyashimbank, walishindwa kuendelea na Masomo kabisaaa!! ajili ya kurudi kijijini kurithi Mikoba By then hatukuwaelewa!! But in other hand sisi wazee wetu waliojua haya,

tulifanya maridhiano maalumu kwanza, kwa sharti la kujifunza uchawi kwanza, then tukaombewa Rhuksa kwa mchawi Mkuu ili twende shule, na tuko huku lkn kila Desemba lazima tukavae kaniki Mwezi mzima turogeeee!! hafu mambo yanakuwa sawa! tunaenda zetu.

Nawajua vichaa wengi tu Dar walio kataa!! Uchawi wa Mizimu ya kwao!! wengine tunajuana, Lakini wasomi hatare!! KTK pitapita yako Dar wee!! waongeleshe kimombo wale machizi usikie habari yake!!! na Wako mpaka S/africa, Cameroon,Nigeria nk.

Dharau hirizi ya kwenu uwe kichaa uone!! wewe Mshana uko salama je wengine nao je!! wenye asili ya ulozi? sisi tulipewa Lecture mapemaaaa! na wazee hatudanganyiki! Africa hoyeeee!!
Mbwembwe nyingi halafu hakuna (kitu cha maana) ulichoandika!
 
Uko sahihi kabisa na wala hakuna wa kukupinga kama haikusaidii wewe, huyu na yule unavaa ya nini?? angalia kwanza;Kamwe mtu huwezi kumeza chloroquine au kuchomwa sindano kama huumwi ugonjwa unao husiana na sindano hiyo !! na

kama umejaaliwa afya njema sindano za quinine hutakaa uzijue maisha yako yote!! utazisikia tu!! hivi unajua chanzo za Measles, Ndui, TB unazo Mwilini na zina kulinda weye leo mpaka kesho?? kwa nini hukuzikataa?? Astma hirizi yake Aminophylline tu!!! baas

hivi unajua magari yote yanatembea na hirizi chini ya tyre la akiba pale nyuma? kukulinda na Radi? ulisha wahi ona gari imepigwa Radi?? hii ni Physics ya form two!! je siyo hirizi hizo?? OK! hapo kwako Msata! nyumba yako ina Health wire ni ya nini kma siyo hirizi ile!!

Ward za hospital ni kwa ajili ya Mgonjwa ambae hawezi kutembea mwenyewe!! anakaa na kulala hapo ili atibiwe ( hirizi za kizungu anapewa) apone aende kujenga taifa lake!!! Mzima utakaa wardini?? Kwanza utaona pananuka! lkn mgonjwa hasikii harufu hiyo!

Mkuu Hirizi ndo yenyewe Kiafrica Zaidi. kama huna Maadui kwa nini uivae?? Haina maana, angeshona Mzungu aaah!! Poa. tatizo mweusi ndo anatumia!! angalia Daraja la Kirumi, kwenu huko, halikujengwa bila hirizi za SOGESCA,

Tunao vaa ni sisi wenye Nyota kali zinazowaka za maongozi ya nchi na Dunia kwa ujumla wake!!! Mabara yana tutegemea ili yaendelee halafu tunajijua tulivyo hatari ktk ulimwengu wa roho! na tunajua matumizi yake haswa!! km huna matumizi nayo ya nini?

Kuzimu inatukubali haswa!! Na kutuogopa tunajua!! angalia;; Biblia imetaja uchawi sana, mfano ni kule Misri, Musa alitumia fimbo kama Hirizi yake alitupa fimbo!! kuyachapa maji yakagawanyika wana wa israel wakavuka salama kwenda ng'ambo, hii ni hirizi pia.

Hospitali kuna hirizi nyingi tu bila zile hirizi huponi na kazi haiendi ila tu, mnazipa Majina tofauti, mfano Surgical Masks, Gloves, Aprons, Surgical bed nk lkn hamuyaoni hayo sababu ni ya weupe! bana kuba!! bin Mkoloni Master, dege la tani 200 linapaa siyo hirizi.

kwa mutu yeyote ambae hajasoma kabisaaa!! achilia mbali Medicine km ilivo! hawezi kuelewa somo la mtu kuvaa apron, au surgical gloves, hili anaona ni urembo tu! na mbwewe za Madaktari!! kujifanya fanya!!

Sasa ndo hivo hata kwenye Ulimwengu wa giza na Hirizi, kama mtu hajui yaliyomo ktk ulimwengu wa Giza hata kaa aelewe somo la hirizi Uganga uchawi, piga ua garagaza zitarushwa ngumi hatare nakwambia!!

Kuna wenzetu wengi kule Ukara, Ukerewe, Nyashimbank, walishindwa kuendelea na Masomo kabisaaa!! ajili ya kurudi kijijini kurithi Mikoba By then hatukuwaelewa!! But in other hand sisi wazee wetu waliojua haya,

tulifanya maridhiano maalumu kwanza, kwa sharti la kujifunza uchawi kwanza, then tukaombewa Rhuksa kwa mchawi Mkuu ili twende shule, na tuko huku lkn kila Desemba lazima tukavae kaniki Mwezi mzima turogeeee!! hafu mambo yanakuwa sawa! tunaenda zetu.

Nawajua vichaa wengi tu Dar walio kataa!! Uchawi wa Mizimu ya kwao!! wengine tunajuana, Lakini wasomi hatare!! KTK pitapita yako Dar wee!! waongeleshe kimombo wale machizi usikie habari yake!!! na Wako mpaka S/africa, Cameroon,Nigeria nk.

Dharau hirizi ya kwenu uwe kichaa uone!! wewe Mshana uko salama je wengine nao je!! wenye asili ya ulozi? sisi tulipewa Lecture mapemaaaa! na wazee hatudanganyiki! Africa hoyeeee!!
Mpe Yesu maisha yako. Nira yake ni laini na mzigo wake ni mwepesi na utapata raha nafsini mwako.
 
Hahhahha huyu naona mwenyezi Mungu pekee ndo ataweza muelewesha .maana naona hadi hii simu ni hirizi sasa
Yaani wala hujakosea
Jamaa ni Mola tu ndo anaweza kumwelekeza maana si kwa mbwembwe hizo alizomwaga humu... eti waya wa ethi ni hirizi
 
Mpe Yesu maisha yako. Nira yake ni laini na mzigo wake ni mwepesi na utapata raha nafsini mwako.
Kale ka yesu kazungu ka vatican au yesu yupi, kuwa specific bana, usijaribu kunichanganya!! nisije kushushia kipigo cha laana sasa hivi ukanitafuta bila mafanikio usicheze na uchawi wewe.....ooohooo!!
 
Kale ka yesu kazungu ka vatican au yesu yupi, kuwa specific bana, usijaribu kunichanganya!! nisije kushushia kipigo cha laana sasa hivi ukanitafuta bila mafanikio usicheze na uchawi wewe.....ooohooo!!
Hakuna uganga wala uchawi juu langu. Bwana Yesu aliye nifia msalabani ananitosha.
 
Back
Top Bottom