Hisa za Vodacom Tanzania, imegeuka kuwa kitendawili kwa Tanzania

Mkuu katika Uzoefu Wangu wa Soko La Hisa Makampuni ya Ndani Si ya Kuyaamini Ni Bora ujikakamue Kumiliki Hisa Kama za Accassia , Jubilee Holdings Ltd nimesoma Tabia zake zimeporomoka sana.
Hii ndio point kubwa sana ambayo umeongea
 
Moja ya mada nzuri sana hapa JF,hongera kwa wote waliotoa michango yao
 
Tatizo viongozi wetu ni unpredictable,unaweza ukanunua hisa kesho yake Bashite anatangaza kaamua Vodacom itaifishwe,
ibaki TTCL,
 
Jamani nashukuruni sana kwa hii thread aisee nimejifunza mengi sana kuhusu hisa nilikua sijui kitu lakini nimepata mwanga ila kuna swala nataka mnisaidie kuhusu fixed deposit account ipoje na je interest yake au faida ipoje per month au per year na risks zake.NATUMAINI KUPATA MAWAZO YENU APA
 
Fixed deposit unafungua account unayoruhusiwa kuweka fedha tu (huwezi kutoa) mpaka muda fulani na unakuwa unapata interest kwa mwaka inategemea na bank na kiasi ulichoweka bank nyingi zinaanzia 3% na kuendelea .Fixed deposit huwa zinaanzia miezi 12 na kuendelea NBC,Equity,Exim ni baadhi ya bank ninazofahamu zenye fixed deposit
 
3% ni kwa mwaka?
 
3% ni kwa mwaka?
Rate ni kwa mwaka, ila 3% percent ni ndogo sana sidhani kama kuna benki inatoa kiasi kidogo hivyo kwa sasa hivi.
Kuna wakati mwaka jana Access Bank walikua wanatoa 15% ukiweka 5 million hadi 19% kama una 100s millions, kwa bahati mbaya benki zetu haziweki wazi riba kirahisi mpaka ukaongee nao.
 
Unajua Hisa za Swala zina traded kwa Tsh 500/share?
 
Tatizo viongozi wetu ni unpredictable,unaweza ukanunua hisa kesho yake Bashite anatangaza kaamua Vodacom itaifishwe,
ibaki TTCL,

exactly this is the point!!! Huu ndio wakati wakuwaachia hawa maprofesa raisi amewajaza kila Idara serikalini watoe mchango wao kwenye sector husika, they should no be there like ceremonial figures.
 
Unajua Hisa za Swala zina traded kwa Tsh 500/share?
Sidhani kama unanielewa braza mkuu, nafahamu kama inatrade 500... Nachosema ni kwamba kuna wajinga wanaopata hasara na wajanja wanaopata faida... Hisa hizohizo za swala kuna waliopata faida kubwa sana na wapo waliokula hasara kubwa sana. Ushauri wangu ni kwamba watu wajitahidi wawe wajanja wanaopata faida, wasilalamikie soko.
By the way hii conversation haitaisha maana tunarudia kuambiana mambo yaleyale, ni vema kila mtu akaamini anachoamini. Msiolipenda soko la hisa tuachieni tu sisi tunaoliweza tuendelee nalo. Stock market is not for everyone.
 
Thanks kwa Serikali iliyotoa utaratibu wa hisa Mkuu Vodacom hata nikiangalia taarifa zake za Fedha ipo katika hali mbaya nimeona 2016 ilitengeneza Profit ya Tsh. 29,000,000,000 wanapiga Faida ndogo sana. Iko levered na Debts sana nikianza Ku forecast mwenendo wa Vodacom itakua na hali ngumu baadaye. TTCL watamaliza Kuuza Hisa zao Serikali hapo hapo inaweza Kusema Taasis zote za Serikali zitumie TTCL
 
Afadhali kaka arguments zako zinamake sense kabisa tunaweza tukaelewana.. Vingi ulivyopoint out ni vya kweli kabisa.
Ila upande mwingine soko letu pia linaenda kwa mihemuko ukiachilia mbali analysis mihemuko ya watu pia ina nafasi yake, kama ukifanya analysis ya kampun ya swala ilipokuwa IPO it was not promising at all, lakini kufatia mihemuko ilivyoanza kutrade bei ilipanda toka 500 hadi 2000. Hlf ikaanza kuporomoka tena ghafla. So apart from analysis pia unaweza kumake money kwa kuangalia mihemuko ikoje kwa wakati huo. Swala haikuwa promising but people tripled their investments in just few months.
A share may be overpriced and still people can make money out of it, hata kama wakati wanainvest walinunua zikiwa overpriced, its all part of the game.
 
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] mkuu ngoja niende bank kbs nijue wanafanya rate ya ngapi
 
Hahahaha, I liked your point brother... Actually ndomana Buffet marekan huwa anasema kwamba yeye analipa kodi kidogo kushinda secretary wake. Watu huwa hawamwelewi ila infact huwa anazungumzia in percentage wise kwamba yeye analipa kodi asilimia chache ya kipato chake kulinganisha na asilimia anayolipa sekretari wake ila ukija in absolute terms yeye ndo analipa hela nyingi.
Hii thread imekuwa tamu sana
 

Ni kweli lakini hiyo ni kutegemea bahati zaidi, uliingia lini ukatoka lini, ni gambling zaidi ya investment.
Unaweza ukanunua at 850 zikadrop hadi 500 after IPO uuze uzishikilie? Tuseme umezishikilia ikatokea Tigo imefilisika (mfano tu) watu wanaanza kugombania shares za Voda zinapaa hadi 5000/share again ushikilie uuze?
 
Lazima Usiliane na Dalali aisee (Brokers) hawa ni Watu wenye Elimu na Uelewa wa Biashara ya Hisa na Lazima Uwe na Mtaji wa Kiasi Fulani ili uwe trusted na awe anatoka kwenye Kampuni ya Udalali Yaani Hakuna Longolongo kwenye Kuziuza.
Mbona mimi nataka kuuza hisa zangu naambiwa itachukua wiki mbili au tatu kupewa ela yangu?? Hii imekaaje mkuu??

Kama una namba ya trusted broker naomba ni PM nataka kuuza!!
 
Mkuu nikitaka kuuza wanalipa ndani ya muda gani??
 
Mara 100000 kununua hisa za D9 ambazo unalipwa kila Monday kuliko hizo Hisa uchwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…