Hisa za Vodacom Tanzania, imegeuka kuwa kitendawili kwa Tanzania

Hisa za Vodacom Tanzania, imegeuka kuwa kitendawili kwa Tanzania

Topic si vodacom's primary market?
Sokoni muda mrefu ndio 2014? Vipi kwa mimi nilienunuliwa hisa 4000 za NMB kwa 800 mwaka 2008 (kama sikosei) leo zinauzwa 2750 unaniambiaje?

Hisa mkuu zina pande mbili kama unataka zikupe faida,pande ya bei ya hisa zenyewe na pande ya dividend. Na wewe sababu nahisi ni myopia unaangalia bei ya share ikishuka tu baaaasi waona ushaliwa.Bei inashuka na watu wanaendelea kuingiza dividends mwaka hadi mwaka mkuu Troll JF
So Kila Mwekezaji atanunua Hisa katika IPO tuu?

Hata Hivyo Still Pesa Ndogo Yaani Uliwekeza 3, 200,000 Mwaka 2008 hadi Kuna Miaka 9 Mimi Mtu wa Biashara najali sana Time katika Project yeyote Mimi na discourage Biashara ya Hisa kwa wenye Mitaji ya Kuanzia Million 1-50 fanyeni Mambo mengine Vipi kama Mwaka 2008 ungekua

Umeamua Kuwa Nina Tsh.3, 200,000 ngoja Nitafute wakina Mama 32 niwakopeshe Tsh. 100,000 waaminifu niwakopeshe Kwa Riba ya 20%

watakua wanalipa kwa Wiki 8.
Kwa hiyo Itakua 100,000 × 20% = Tsh 20,000 kwa miezi 2 au wiki Nane inamaana kwa kwa Mwaka itakua 72,000 kwa Mmoja sasa

72,000 × 32 = Tsh. 2,304,000 Kwa Mwaka

Chukua 2,304,000×miaka 9 = 20,736,000-3,200,000

Unapata 18,536,000 kwa miaka 9 wakati

Hisa Umewekeza kwa Miaka 9 umepata Revenue ya 11,000,000-3,200,000 = Profit 7,800,000
 
Timing muhimu sio kujinunulia tu...

Bei za hisa kushuka zinaakisi imani hasi ya wananchi kwenye uchumi

Kwa wengine huu ni muda muafaka kununua hisa wakati bei zikiwa chini.

Kumbuka tabia ya uchumi ni kupanda na kushuka haugandi sehemu moja milele.

Wako wanaonunua hisa kwa ajili ya gawio, biashara hasa kuuza bei inapopanda, akiba ya uzeeni, sifa ya umiliki wa kampuni na hata kutumia kama dhamana ya mkopo. Tafakari wewe upo wapi

Vilevile kumbuka hisa ni risk kama zilivyo biashara nyingine. Tofauti yake ni kama mdau mmoja alivyotueleza kuwa ni passive investment unaweka na kusubiri uvune.

Active investment kuna jitihada lazima ufanye ili ufaidike mfano mdogo kilimo utapanda, palilia, weka madawa, vuna, tafuta soko. Usipotaka sumbuka ulipe mshahara/vibarua wakutumikie

Tuendelee kuelimishana
 
Mkuu Yaani Una Tsh.50,000,000 unaenda Unanunua Hisa Ili Bank Ikukope Tsh.40,000,000 na Unajua

Loan Repayment = Loan + Interest
Marejesho = Mkopo +Riba

Loan Tsh. 40,000,000
Riba Bank nyingi: 22%
40,000,000 × 22% = 8,880,000
So Utapata ili Kulipa Bank Mkopo Wao
Marejesho= 8,880,000 + 40,000,000
Utalipa Tshs. 48,880,000. Kwanini Wewe Usikopeshe Hiyo Tsh 50,000,000 kwa Riba ya 20% tuu kwa wenye Uhitaji ili Upate Tshs. 60,000,000 ikwemo ndani Interest Income ya 10,000,000.

Mkuu Fikiri kabla ya Kuandika.
Ukichaa huuu na wasipokulipa unafanyeje acheni kuombea mwembe utoe mananasi
 
Ukichaa huuu na wasipokulipa unafanyeje acheni kuombea mwembe utoe mananasi
Mipasho ya Kizaramo kwenye Biashara haina Nafasi Kwenye Finance

Kuna issue Tunasema "The Higher the Risk the higher the return
img02.jpg



hii ipo katika In real Life Mtu anayefanya betting angalia Mfano

Real Madrid vs Southampton
Barcelona Vs Granada
Bayern Munich Vs Freiburg

Ukisema

Southampton Win
Granada Win
Freiburg Win Utapata Pesa Nyingi Sana Ukilinganisha na Ukisema Bayern, Madrid, na Barcelona zinashinda kwa Kifupi Utapata Pesa Kidogo Sana.

Sasa Invest katika Low Risk au Risk free return zake si Kubwa.
 
So Kila Mwekezaji atanunua Hisa katika IPO tuu?

Hata Hivyo Still Pesa Ndogo Yaani Uliwekeza 3, 200,000 Mwaka 2008 hadi Kuna Miaka 9 Mimi Mtu wa Biashara najali sana Time katika Project yeyote Mimi na discourage Biashara ya Hisa kwa wenye Mitaji ya Kuanzia Million 1-50 fanyeni Mambo mengine Vipi kama Mwaka 2008 ungekua

Umeamua Kuwa Nina Tsh.3, 200,000 ngoja Nitafute wakina Mama 32 niwakopeshe Tsh. 100,000 waaminifu niwakopeshe Kwa Riba ya 20%

watakua wanalipa kwa Wiki 8.
Kwa hiyo Itakua 100,000 × 20% = Tsh 20,000 kwa miezi 2 au wiki Nane inamaana kwa kwa Mwaka itakua 72,000 kwa Mmoja sasa

72,000 × 32 = Tsh. 2,304,000 Kwa Mwaka

Chukua 2,304,000×miaka 9 = 20,736,000-3,200,000

Unapata 18,536,000 kwa miaka 9 wakati

Hisa Umewekeza kwa Miaka 9 umepata Revenue ya 11,000,000-3,200,000 = Profit 7,800,000
Hahahha mkuu unachanganya mambo hapa.
huoni kama associated risks ni tofauti hapa?usiwe na mawazo ya kuwekeza kwenye low risks investment kwa mategemeo ya faida za high risks investments.

IPO ndio opportunity murua kwa kununua hisa sababu data zinaonyesha kwa kiasi kikubwa price ya share inapanda ikishenda sokoni.
 
Hahahaha, such a great story... Here is my favorite quote "One of the funny things about the stock market is that every time one person buys, another sells, and both think they are astute."
Ni kama walionunua hisa crdb zikiwa 400 wakidhani wako sahihi ila waliokuwa wanauza ndo walikuwa sahihi zaidi. Ndiyo nature ya market yenyewe ilivyo ili upige pesa inatakiwa watu wakosee either wauze pasipo takiwa kuuza au wanunue pasipo takiwa kununua. People should stop to blame the market and learn the timing of the market.

Watu huwa wanasema ukitaka kufanikiwa katika soko la hisa inabidi:
- Uamue iwapo unataka kuwekeza kwa muda mfupi au kwa muda mrefu.
Kwa muda mfupi ina maana wewe unajali zaidi kupata value ya hisa inapopanda na huitaji sana kusubiri gawio la kila mwaka(kama litakuwepo)

- Ujue namna ya ku-control hisia zako za 'fear' and 'greed'
Mfano mzuri ni wa huyu jamaa aliyenunua hisa za CRDB kwa 295/- halafu akaziuza kwa 400/- kila moja. Alitambua 'peak' ya soko hilo ni ipi, na akajua ni wakati gani wa kuziuza.
Knowing where the industry is heading na timing(when to sell) is everything!
Wakati huohuo kuna ma-investor kama Warren Buffett ambao walinunua hisa kwa bei chee miaka ya 50s wakazikalia, sasa hivi zina thamani ya million dollars.
Ila kwa soko la hisa za Tz kuna utata mwingi ambao unaweza kumfanya mtu asite kuzishikilia kwa muda mrefu!
 
Braza ulipata hasara kwasabab hujui timing za soko la hisa, kwenye hisa sio unanunua tu unatakiwa ujiulize kama ni wakati sahihi kununua... Sasa mimi nilinunua hisa hizohizo za crdb zikiwa 295 kwa kila hisa nikaja kuuza zikiwa 400 kwa kila hisa.... Mbona mimi nilipata faida kwa hisa hizohizo za crdb ambazo wewe unalalamika zimekutia hasara... Na sasa hivi nimenunua tena hizohizo za crdb zikiwa 185 siuzi mpaka zifike 300 per share of which am sure zitafika tu coz currently market inaziundervalue kwasabab watu hawana hela wanauzauza hovyo tu... Hisa ni zaidi ya kuuza na kununua kaka mkuu... Lazima pia ujue timing
Mkuu kwenye kuuza inakuwaje? Je ukitaka kuuza unauza hapo hapo au kuna longo za madalali na kusubiri wateja?
 
Watu huwa wanasema ukitaka kufanikiwa katika soko la hisa inabidi:
- Uamue iwapo unataka kuwekeza kwa muda mfupi au kwa muda mrefu.
Kwa muda mfupi ina maana wewe unajali zaidi kupata value ya hisa inapopanda na huitaji sana kusubiri gawio la kila mwaka(kama litakuwepo)

- Ujue namna ya ku-control hisia zako za 'fear' and 'greed'
Mfano mzuri ni wa huyu jamaa aliyenunua hisa za CRDB kwa 295/- halafu akaziuza kwa 400/- kila moja. Alitambua 'peak' ya soko hilo ni ipi, na akajua ni wakati gani wa kuziuza.
Knowing where the industry is heading na timing(when to sell) is everything!
Wakati huohuo kuna ma-investor kama Warren Buffett ambao walinunua hisa kwa bei chee miaka ya 50s wakazikalia, sasa hivi zina thamani ya million dollars.
Ila kwa soko la hisa za Tz kuna utata mwingi ambao unaweza kumfanya mtu asite kuzishikilia kwa muda mrefu!
Mkuu katika Uzoefu Wangu wa Soko La Hisa Makampuni ya Ndani Si ya Kuyaamini Ni Bora ujikakamue Kumiliki Hisa Kama za Accassia , Jubilee Holdings Ltd nimesoma Tabia zake zimeporomoka sana.
 
Mkuu kwenye kuuza inakuwaje? Je ukitaka kuuza unauza hapo hapo au kuna longo za madalali na kusubiri wateja?
Lazima Usiliane na Dalali aisee (Brokers) hawa ni Watu wenye Elimu na Uelewa wa Biashara ya Hisa na Lazima Uwe na Mtaji wa Kiasi Fulani ili uwe trusted na awe anatoka kwenye Kampuni ya Udalali Yaani Hakuna Longolongo kwenye Kuziuza.
 
Hujanielewa mkuu,hufanyi kitu unakaa tu baada ya kuamua kuwekeza,unafanya research kabla ya kuwekeza then kampuni inakufanyia kila kitu unasubiria gawio lako tu mwisho wa mwaka.
Ni kweli kampuni inakufanyia kila kitu hata kutengeneza mahesabu ambayo ndiyo yataamua upate gawio kiasi gani wanafanya wao?
Wakati wanataka kuissue share sokoni wanakufanyia kitu kinaitwa window dressing hii ni kufanya uone kampuni inamtaji mkubwa na ipo vizuri financially ila kipindi cha gawio wanajidai kampuni haijafanya vizuri profitably
 
So Kila Mwekezaji atanunua Hisa katika IPO tuu?

Hata Hivyo Still Pesa Ndogo Yaani Uliwekeza 3, 200,000 Mwaka 2008 hadi Kuna Miaka 9 Mimi Mtu wa Biashara najali sana Time katika Project yeyote Mimi na discourage Biashara ya Hisa kwa wenye Mitaji ya Kuanzia Million 1-50 fanyeni Mambo mengine Vipi kama Mwaka 2008 ungekua

Umeamua Kuwa Nina Tsh.3, 200,000 ngoja Nitafute wakina Mama 32 niwakopeshe Tsh. 100,000 waaminifu niwakopeshe Kwa Riba ya 20%

watakua wanalipa kwa Wiki 8.
Kwa hiyo Itakua 100,000 × 20% = Tsh 20,000 kwa miezi 2 au wiki Nane inamaana kwa kwa Mwaka itakua 72,000 kwa Mmoja sasa

72,000 × 32 = Tsh. 2,304,000 Kwa Mwaka

Chukua 2,304,000×miaka 9 = 20,736,000-3,200,000

Unapata 18,536,000 kwa miaka 9 wakati

Hisa Umewekeza kwa Miaka 9 umepata Revenue ya 11,000,000-3,200,000 = Profit 7,800,000
Ukweli ni kwamba hata watu wengi wanaonunua hisa kwa kiasi kikubwa cha hela ujue mostly ni hela za dili. Imagine mtu anabiashara kwa mfano ya vituo vya mafuta do you guess anaweza kununua share za voda au ataongeza vituo zingine vya mafuta? Labda awe na excess cash aone nashindwa kuzimanage na siyo kwamba eti anataka faida kupitia dividends
 
Mkuu kwenye kuuza inakuwaje? Je ukitaka kuuza unauza hapo hapo au kuna longo za madalali na kusubiri wateja?

Kwenye kununua (stage ya IPO) inabidi kuwatumia stock brokers au mawakala(utawapata kwenye prospectus).Katika stage hii huwalipi fees.

Unapouza unawatumia stock brokers. Wao wana-bid kwenye soko kwa bei uliyowaagiza soku hiyo1. Wanaweza kuzipata kwa bei hiyo au la.Ni vizuri ukiwapa range ya bei ambayo ungependelea.Kwa kawaida fee yao ni 2.06%.
 
Ni kweli kampuni inakufanyia kila kitu hata kutengeneza mahesabu ambayo ndiyo yataamua upate gawio kiasi gani wanafanya wao?
Wakati wanataka kuissue share sokoni wanakufanyia kitu kinaitwa window dressing hii ni kufanya uone kampuni inamtaji mkubwa na ipo vizuri financially ila kipindi cha gawio wanajidai kampuni haijafanya vizuri profitably
Kila kitu wanakufanyia mpaka kukuwekea hela bank kama watagawa.

Mmmh kwahyo kunakua na mahesabu mawili?moja kwa ajili ya wanahisa wa nje na nyingine kwa ajili ya wale originals?
 
Mkuu fafanua Kidogo.
Tatizo mkuu unapokosea ni pale unapokazania kulilaumu soko baada ya kujilaumu wewe mwenyewe kutojua timing za soko la hisa... Wewe unalalamika unapata hasara wakati huohuo kwa hisa hizohizo wenzako wanapata faida
 
Back
Top Bottom