Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Size kama yangu..Nchi 43 Tzs 640,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Size kama yangu..Nchi 43 Tzs 640,000
1.8mNauliza tu Bei Hisense
Msipate tabu kampunibya solarmax new brand TV 32 lak250 imenyookaUko mkoa gani boss
Kama vip nichek dm
Solarmax tv mbovuMsipate tabu kampunibya solarmax new brand TV 32 lak250 imenyooka
Hisense 43 Smart 4K ni bei ganiUmepigwa...hisence zimeshuka sana saivi ata 580k unapata
Smart famba hiloNchi 43 Tzs 640,000
Nch ni nini? Unashindwa kuandika "Inch"?Nch 58 je shingapi
Mbona TCL na Hisense hawajapishana sana, inchi 43 kwa 750, kwa 680? Au huko dar bei zikoje?Solarmax tv mbovu
Kama kwel unataka tv imenyooka chukua TCL hauna pesa labisa chukua hisence atleast
Bei za Dar na mikoaniUmepigwa...hisence zimeshuka sana saivi ata 580k unapata
Ndo unaichezea ps? Natamani kujifunza hiyo kituSize kama yangu..
Ndio hapa hapa.. Pesa haijakaa tu. Ukiwa fresh unadaka inch 50 na PS5.Ndo unaichezea ps? Natamani kujifunza hiyo kitu
Sasa 43 na 50 wamepishana nini? Heri ukaze kichwa ufike 55 😂Ndio hapa hapa.. Pesa haijakaa tu. Ukiwa fresh unadaka inch 50 na PS5.
Weekend hautoki nje.
Tukijenga ma mansion tunafunga screen kubwa. Sahivi uswahili tutarogwa bure. 😁Sasa 43 na 50 wamepishana nini? Heri ukaze kichwa ufike 55 😂
Remote yako ni 3rd party.. Haina model name ya TV..View attachment 2870950
Hizi Buttons inabidi waweke ALPHABETED pia, kwa urahisi wa type.
Yenu ina mambo mengi? Hizo namba za nini?
Sawa mkuuSalamu.Nimezipenda hizi Tv za mimi kipato Cha kati,Remote za Tv ya Hisence zipo makini sana.
Sauti ya Tv zao ni kubwa na audio jack nzuri sana.View attachment 2870910