Hisia za mapenzi zinaweza kumfanya mtu asiweze kufanya kazi?

Hisia za mapenzi zinaweza kumfanya mtu asiweze kufanya kazi?

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Mdogo wangu yuko katika kilele cha balehe, sasa hakwenda shule, jana niliambiwa anaumwa, leo najuzwa kua ni ashki zimemshika sana kiasi cha kuona kuumwa. Kwakua ni mambo ya kike, na siwezi ongea nae moja kwa moja wala yeye hawezi kuniambia mimi ila nawaza huu sio ugonjwa kweli au ni kawaida kwa balehe? She is 17, Am sure hakuwahi fanya sex.
 
Am sure hajawahi kufanya sex [emoji28][emoji28]

Daah ukijua behind the scene yake unaweza kudata

Ila usijipe 100%

Kwaiyo age 16-17 wanawake kwa asilimia kubwa wanaondolewa bikra zao
 
Mawazo chanya huzalisha hisia chanya, pia epuka kumuwazia vibaya nduguyo na yeyote. Kama umesoma shule kuna wakati utakubaliana na mimi kuna kipindi shule inaboa na mtu kuhitaji kupumzika.

Mpe muda apumzike akipata mapumziko ya kutosha atapata ari tena ya shule
 
Sijawahi kusikia hicho kitu

Ashki kwa mtoto wa kike haziji tu kwa sababu ya nature kama watoto wa kiume

Mtoto wa kike kupata ashki lazima kuwe na sababu
1.kaangalia xxx videos
2.kasoma majarida yenye maudhui ya ngono
3.kuna mtu anamchombeza

Pamoja na yote ashki kwa mtoto wa kike ni suala linalovumilika,sio ugonjwa na wala haliwezi kuharibu utaratibu wake wa kila siku

Pia ni suala la aibu kwa binti wa umri huo[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]

Hata sielewi amewezaje kusema jambo hilo kwa mlezi wake

Inaonesha huyo binti mnaelea kimayai mayai sana.

Mnamharibu huyo mtoto kwa kumdekeza kijinga kijinga,kama ameshaanza ujinga hapaswi kuwaonesha na ninyi

Sasa kama ashki zimemshika anataka mumtafutie kijana azitoe au?????
 
Am sure hajawahi kufanya sex [emoji28][emoji28]

Daah ukijua behind the scene yake unaweza kudata

Ila usijipe 100%

Kwaiyo age 16-17 wanawake kwa asilimia kubwa wanaondolewa bikra zao
hahahha that dark place you dont want to know
 
Kwahiyo kawaambia ana nyege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Astaghfillulah
Mi kipindi hiko hata mambo yenyewe nilikua siyajui zaidi nilikua na mtu ananitongoza tongoza tu yale mapenzi ya kuchat unapenda rangi gani, msanii gani nk
huo utopolo umeanza kunikuta tayari niko 23 ndio naweza kujihisi namtaka mtoto wa mama mkwe tena kwa mbaaali [emoji2][emoji2]
 
Am sure hajawahi kufanya sex [emoji28][emoji28]

Daah ukijua behind the scene yake unaweza kudata

Ila usijipe 100%

Kwaiyo age 16-17 wanawake kwa asilimia kubwa wanaondolewa bikra zao
Umenikumbusha story moja. Siku moja nilioneshwa kitoto fulani cha kike. Jamaa ananiambia alikafuma mahali kanaliwa.

Kana alama tu ya matiti kuanza kuongezeka. Umri ni kama miaka 11 au 12 hivi, hakawezi kuzidi hapo. Kanasoma darasa la sita.

Nilichoka nilipoambiwa hata anaenisimlia alishakalamba pia. Nimepoteza imani kwa watoto wa kike. Nashindwa tu kuwauliza wanangu kama nao wameanza huu uchafu.
 
Sijawahi kusikia hicho kitu

Ashki kwa mtoto wa kike haziji tu kwa sababu ya nature kama watoto wa kiume

Mtoto wa kike kupata ashki lazima kuwe na sababu
1.kaangalia xxx videos
2.kasoma majarida yenye maudhui ya ngono
3.kuna mtu anamchombeza

Pamoja na yote ashki kwa mtoto wa kike ni suala linalovumilika,sio ugonjwa na wala haliwezi kuharibu utaratibu wake wa kila siku

Pia ni suala la aibu kwa binti wa umri huo[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]

Hata sielewi amewezaje kusema jambo hilo kwa mlezi wake

Inaonesha huyo binti mnaelea kimayai mayai sana.

Mnamharibu huyo mtoto kwa kumdekeza kijinga kijinga,kama ameshaanza ujinga hapaswi kuwaonesha na ninyi

Sasa kama ashki zimemshika anataka mumtafutie kijana azitoe au?????
Hizo sababu zote ulizotaja zaweza kua ni trigger but ndo mtu hadi ashindwe kuwa normal?
 
Kwahiyo kawaambia ana nyege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
Astaghfillulah
Mi kipindi hiko hata mambo yenyewe nilikua siyajui zaidi nilikua na mtu ananitongoza tongoza tu yale mapenzi ya kuchat unapenda rangi gani, msanii gani nk
huo utopolo umeanza kunikuta tayari niko 23 ndio naweza kujihisi namtaka mtoto wa mama mkwe tena kwa mbaaali [emoji2][emoji2]
Sio mimi directly ila kifupi ndo amesema hivyo
 
Umenikumbusha story moja. Siku moja nilioneshwa kitoto fulani cha kike. Jamaa ananiambia alikafuma mahali kanaliwa.

Kana alama tu ya matiti kuanza kuongezeka. Umri ni kama miaka 11 au 12 hivi, hakawezi kuzidi hapo. Kanasoma darasa la sita.

Nilichoka nilipoambiwa hata anaenisimlia alishakalamba pia. Nimepoteza imani kwa watoto wa kike. Nashindwa tu kuwauliza wanangu kama nao wameanza huu uchafu.
Wanaanza mapema sana ingawa kwa huyu bado sitaki kuamini
 
Hizo sababu zote ulizotaja zaweza kua ni trigger but ndo mtu hadi ashindwe kuwa normal?
Labda ana Depression /Anxiety
Amependa mtu sana mpaka anakosa amani na kama ni hiki kitu kila msichana amepitia
 
Sijui kwa wakike. Wa kiume kwa kweli miaka ya 13-18 hivi ni kama ugonjwa. Nakumbuka wakati huo nikilala hata mchana nilikuwa napata ndoto pevu. Nikiona jogoo anapanda ama beberu linapanda mwenzie, ilikuwa shida sana kwa upande wangu. Kwa mtoto wa kiume, ni kweli huwa kama ugonjwa.
 
Back
Top Bottom