Ha ha haaa au mmeKabemenda? LoL!
Nani anafahamu huyu NYIVONDUMA SIR yukoje am curious to know
Ivi ulivyojiunga na JF kuna watu mkawa hamfahamiani mnawasiliana hapa tu,labda mkabadilishana no za cm etc,je ulikuwa unawaza(kabla hamjaonana)huyo mtu yukoje?umbile,tabia,rangi etc mm kwa mfano watu niliowasiliana nao na tumeonana/hatujaonana:
Geoff: niliisi ni mtu mnene,mrefu,mpole,mcheshi
Xpin: mtundu,mchokozi,mcheshi
kaizer: mchokozi,mcheshi,mrefu,mwembamba
1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake
Bht: mcheshi,muongeaji,zais ya kati,lady with dignity n principoz
Buji: mcheshi,mchekeshaji yani huchoki kuwa nae,
Masaki :mcheshi,mkaka
Ngoswe: mcheshi,mpenda kabila lake,anapenda kusoma
Huu ni mtazamo wangu tu kuna ambao nimekutana nao ni kweli wako hivyo wengine hatujakutana nadhani wako hivyo au kuna tofauti kidogo,je na ww kuna yyte hapa JF uliekutana nae/hujakutana nae unahisi yukoje/ulihisi yukoje,je hisia zako zilikuwa kweli?
Kwa maono yangu,
Pearl ni mtoto wa Lundenga (mnyange fulani) ila mtata sana, kwa kauli na vitendo! Anahitajika jinius kuvuta mzigo vinginevyo mtu anaweza kuvutwa masikio!
Kwa maono yangu,
Pearl ni mtoto wa Lundenga (mnyange fulani) ila mtata sana, kwa kauli na vitendo! Anahitajika jinius kuvuta mzigo vinginevyo mtu anaweza kuvutwa masikio!
Mtoa mada naomba utuwekee sifa za
MJI- Wise lady
Nyamayao-Babla
Balantanda...
Vivian....
Nguli
Burn...
Preta
Carmel ...
JS...
MKjj huyu hatabiriki..
naendelea ..
umepataaaaaaaaaa,kwa maoni yangu ww ni mbishi yani lazima uone ndo uamini,but mcheshi ,mpole,caring etc
bht tunaomba utupe hisia zako kuhusu Balantanda tafadhali....!!! π
mtu kama mimi hivi,ingependezakwa maono yangu,
pearl ni mtoto wa lundenga (mnyange fulani) ila mtata sana, kwa kauli na vitendo! Anahitajika jinius kuvuta mzigo vinginevyo mtu anaweza kuvutwa masikio!
Wacha munguhivi wats wrong or right with wasemanarist (au ex waseminari) hapa.....mnavitabia fulani hivi sivielewagi kama Fidel
Wacha mungu
wana upendo wa agape
wanawapenda watu
Wanamwogopa Mungu
Wanaona miujiza ya Mungu katika uumbaji wake
Wapenda amani na furaha ---kinywaji kinahusika hapa
Sikonge mmemsahau mwanasiasa yule ....
baho baho baho muyanguππWacha mungu
wana upendo wa agape
wanawapenda watu
Wanamwogopa Mungu
Wanaona miujiza ya Mungu katika uumbaji wake
Wapenda amani na furaha ---kinywaji kinahusika hapa
Nnachojua mimi MWANAKIJIJI ni mtu wa siasa lakini sasa hivi amekuwa mtunzi wa mashahiri na riwaya za mapenzi kwa sababu amepata 'dogo dogo'.
huyu HAELEWEKI!
(ningekuwa invisible NINGEMPIGA BAN YA MAISHA)
aya!!! sasa ndio nini.. nimeshaadhibiwa mara moja.. sasa mnataka kuvunja ndoa za watu...
usimwambie mtu!hahaaaa naona hapo wino umeisha B!!!!