CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
Ndo hali halisi nakuomba namba na sikutongozi conversation ndo inaamua nikiona hauko interested na mimi nakupotezea nikiona unaelekea elekea ndo naanza kukuchokoza taratibu ila ni baada ya muda maana tunajua ni wanawake wachache wanaoweza kutongoza wanaume.
Aaaah mnasemaga hv hv...
Unapenda wakaka ma black eeeh...Suree the skin color is killing me
Huyo Boss ni mimi, tatizo una pigo za kishamba ndo maana sikushobokei sikuizi
Unapenda wakaka ma black eeeh...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji854][emoji854]
Hivi tuna nini sisi jamani .!?
Ukiwa na hela na cheo wanawake wanachanganyikiwa kwa kweli kama una mapenzi ya kweli wabeba taka huwaoni mtaani sema umependa pesa tu mambo ya black sijui boss ni mbwembwe tu .
MAPENZI hayana shule
We jiongoze mwenyewe
Oooh kumbe... Sasa wewe naomba nikupe ushari huu ka utojariKumepambazuka [emoji2] black + white
Ni kweli nakupenda wewe ndo mpenzi wangu.
Oooh kumbe... Sasa wewe naomba nikupe ushari huu ka utojari
Wakuu kwema,,
Baada ya takribani miezi 7 ya kuwa single… na kutokumpenda mwanaume yoyote sasa nahisi Kama nataka ku fall kwa stranger…
Napofanya kazi amekuja boss mpya sio boss wangu mimi ni wa wafanyakazi wenginee ila na mimi namwita tu boss…
Kwa mara ya kwanza alipofika nilimpokea na kumkaribisha sikujua kama ni boss nilijua tu ni mteja and ali respond vizuri so tukapigapiga story alinivutia… alichukua namba yangu and we chart kama mnavyojua tena Hakunaga cha maana zaidi ya kuulizana shemeji hajambo na wifi mzima
Ni zile rangi pendwa black man… napenda mwanaume mweusi kwasababu mimi ni mweupe so I don’t like white
man
Still hajanitamkia kuwa ananipenda but yuko interested kuongea na mimi akiniona ananichangamkia na utani kuwa atanitafutia mchumba wa kanda ya ziwa.. kuna zile ishara za kuonesha kuwa huyu mkaka anataka kunitongoza ila anakausha ninaziona…. Natamani aseme hivyo labda nitafeel good
Ukweli sijui Kama nampenda ama ni upwiru wa kukaa single muda mrefu au vyote kwa pamoja…
Kijana mwenyewe naona kama ameanza kutoa attention kwangu so na mimi nimejikaza nisimshobokee… but inakuwa ngumu kwasababu tunaonana mara zote na kuna baadhi ya vitu lazima nipeleke ofisini kwake so inakuwa ngumu kwangu
Nataka ushaurii namna ya kukabiliana na hiyo hali yaani nisimfikirie kabisaa maana kunapoelekea nahisi nateseka tu
MapWakuu kwema,,
Baada ya takribani miezi 7 ya kuwa single… na kutokumpenda mwanaume yoyote sasa nahisi Kama nataka ku fall kwa stranger…
Napofanya kazi amekuja boss mpya sio boss wangu mimi ni wa wafanyakazi wenginee ila na mimi namwita tu boss…
Kwa mara ya kwanza alipofika nilimpokea na kumkaribisha sikujua kama ni boss nilijua tu ni mteja and ali respond vizuri so tukapigapiga story alinivutia… alichukua namba yangu and we chart kama mnavyojua tena Hakunaga cha maana zaidi ya kuulizana shemeji hajambo na wifi mzima
Ni zile rangi pendwa black man… napenda mwanaume mweusi kwasababu mimi ni mweupe so I don’t like white
man
Still hajanitamkia kuwa ananipenda but yuko interested kuongea na mimi akiniona ananichangamkia na utani kuwa atanitafutia mchumba wa kanda ya ziwa.. kuna zile ishara za kuonesha kuwa huyu mkaka anataka kunitongoza ila anakausha ninaziona…. Natamani aseme hivyo labda nitafeel good
Ukweli sijui Kama nampenda ama ni upwiru wa kukaa single muda mrefu au vyote kwa pamoja…
Kijana mwenyewe naona kama ameanza kutoa attention kwangu so na mimi nimejikaza nisimshobokee… but inakuwa ngumu kwasababu tunaonana mara zote na kuna baadhi ya vitu lazima nipeleke ofisini kwake so inakuwa ngumu kwangu
Nataka ushaurii namna ya kukabiliana na hiyo hali yaani nisimfikirie kabisaa maana kunapoelekea nahisi nateseka tu
Hakuna shule ya MAPENZI ndio maana hata vikongwe vinaachana pambana na hali yakoTatizo hivyo vimaneno vya uchokozi na attention mnatuvuruga sasa mtu anakwambia i feel good around you[emoji4][emoji4] mara i miss u hata kama hamaanishi inafanya mimi naweka attention nikisubiri mtongozo halafu kimya daah so sad [emoji174]
Inategemea na response yakoTatizo hivyo vimaneno vya uchokozi na attention mnatuvuruga sasa mtu anakwambia i feel good around you[emoji4][emoji4] mara i miss u hata kama hamaanishi inafanya mimi naweka attention nikisubiri mtongozo halafu kimya daah so sad [emoji174]
Unajua sisi wanaume tunajuana.. alafu kuna mbinu zingine ili ww ufikie malengo huna budi kumfata wa kiume mwingine ili afanye drama wewe uwe subjected...
Map
Hakuna shule ya MAPENZI ndio maana hata vikongwe vinaachana pambana na hali yako
Unajua sisi wanaume tunajuana.. alafu kuna mbinu zingine ili ww ufikie malengo huna budi kumfata wa kiume mwingine ili afanye drama wewe uwe subjected...
Sasa ili jambo liwe oky naomba nijue upo wapi ..?
Mama mchungaji ni wewe umetype hii comment? au account yako ya jf imehakiwa!Dah pole miezi saba tu kisim Kimeshaanza kupwita?aaaah kubwa makini huyo ni bwana wa mtu labda kama unataka akutimizie tu haja zako za kimwili Fake P
Umeona isiwe tabuHata kama ya kiume toa ushauri kulingana na story