Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

Japo ndani ya masaa 24 yajayo mh Job Ndugai atakuwa siyo Spika tena lakini ametuaga akiwa ametutegulia kitendawili.

Tuliosoma zamani tunajua namna watoto wa maskini walivyojihisi unyonge mbele ya watoto wa maofisa wa serikali achilia mbali wafanyabiashara.

Kama Ndugai hadi anaingia Chuo alikuwa bado ni maskini basi yawezekana wakati akiwa sekondari hali yake ilikuwa mbaya zaidi.
Fikiria wakati huo ndio yuko shule moja na mtoto wa mmiliki wa Mbowe Hotels iliyopo jijini Dsm lazima alijisikia unyonge mara dufu.

Na yeye Freeman watoto wa matajiri hata wakifaulu walisoma shule za private Shaban Roberts Dsm au The Highlands kule Iringa siyo kwenda kujimwambafy kwenye shule za watoto wa wakulima.

Waswahili walisema aliye juu mngoje chini ndio hiyo sasa rungu la Job limesambaratisha Ufipa yote, kisa bifu za sekondari.

Nawatakia wabunge wote vunja jungu njema usiku wa leo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hiyo kawaida tu wengine tulisoma na Watoto wa kishuwa haswa Miaka hyo darasa la. Sita wao kwenda ulaya kawaida tu shule wanaletwa na magari
Ila wengi wao mpka Sahv Wana exposure ya Kufa mtu...... Na ktk Maisha ya shule baadhi yao hawajawahi kutuletea dharau licha ya kuwafanyia na kuwaletea ubabe shule wengine walikuwa wanajichanganya mpaka uswaz kwetu
Kila mtu na maisha yake aliyoyakuta

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Japo ndani ya masaa 24 yajayo mh Job Ndugai atakuwa siyo Spika tena lakini ametuaga akiwa ametutegulia kitendawili.

Tuliosoma zamani tunajua namna watoto wa maskini walivyojihisi unyonge mbele ya watoto wa maofisa wa serikali achilia mbali wafanyabiashara.

Kama Ndugai hadi anaingia Chuo alikuwa bado ni maskini basi yawezekana wakati akiwa sekondari hali yake ilikuwa mbaya zaidi.
Fikiria wakati huo ndio yuko shule moja na mtoto wa mmiliki wa Mbowe Hotels iliyopo jijini Dsm lazima alijisikia unyonge mara dufu.

Na yeye Freeman watoto wa matajiri hata wakifaulu walisoma shule za private Shaban Roberts Dsm au The Highlands kule Iringa siyo kwenda kujimwambafy kwenye shule za watoto wa wakulima.

Waswahili walisema aliye juu mngoje chini ndio hiyo sasa rungu la Job limesambaratisha Ufipa yote, kisa bifu za sekondari.

Nawatakia wabunge wote vunja jungu njema usiku wa leo.

Maendeleo hayana vyama!
Huo unaitwa ushamba.
 
Leo Job Ndugai spika wa bunge la Jamhuri wa muungano wa Tanzania, anetoa ya moyoni na kuwaaga wabunge akiashiria kumalizika kwa bunge katika kipindi chake cha uongozi.

Kati ya mambo aliyoyaeleza ni:
1. Historia fupi ya maisha yake;
-alipozaliwa
-shule ya msingi aliyosoma
-hali halisi ya mazingira aliyokulia
-maisha yake ya chuo kwa ufupi nk

2. Mafanikio yake kwa kupewa sapoti na raisi

3. Familia yake na hali yake ya kiafya aliyopitia.

4. Mwisho akawaaga wabunge wenzake.

Ninakutakia mema huko uendako na ukavune sawa na kazi ya mikono, ulimi na matendo yako
AMEN



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Job Ndugai spika wa bunge la Jamhuri wa muungano wa Tanzania, anetoa ya moyoni na kuwaaga wabunge akiashiria kumalizika kwa bunge katika kipindi chake cha uongozi.

Kati ya mambo aliyoyaeleza ni:
1. Historia fupi ya maisha yake;
-alipozaliwa
-shule ya msingi aliyosoma
-hali halisi ya mazingira aliyokulia
-maisha yake ya chuo kwa ufupi nk

2. Mafanikio yake kwa kupewa sapoti na raisi

3. Familia yake na hali yake ya kiafya aliyopitia.

4. Mwisho akawaaga wabunge wenzake.

Ninakutakia mema huko uendako na ukavune sawa na kazi ya mikono, ulimi na matendo yako
AMEN



Sent using Jamii Forums mobile app


Aende zake akafie mbali. Hana legacy yeyote aliyeiacha zaidi ya UDHAIFU wa kiakili na kiuongozi. Hovyooo kabisa.
 
Aende zake akafie mbali. Hana legacy yeyote aliyeiacha zaidi ya UDHAIFU wa kiakili na kiuongozi. Hovyooo kabisa.
Bila shaka umesoma hitimisho langu...karma ikafanye kazi yake.
Kwa umasikini aliousimulia hakutakiwa abski legelege kiasi kile.
Ameliingiza taifa hasara nyingi.
Bunge halikuwa na kazi zaidi ya mipasho, kuoneana nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Job Ndugai spika wa bunge la Jamhuri wa muungano wa Tanzania, anetoa ya moyoni na kuwaaga wabunge akiashiria kumalizika kwa bunge katika kipindi chake cha uongozi.

Kati ya mambo aliyoyaeleza ni:
1. Historia fupi ya maisha yake;
-alipozaliwa
-shule ya msingi aliyosoma
-hali halisi ya mazingira aliyokulia
-maisha yake ya chuo kwa ufupi nk

2. Mafanikio yake kwa kupewa sapoti na raisi

3. Familia yake na hali yake ya kiafya aliyopitia.

4. Mwisho akawaaga wabunge wenzake.

Ninakutakia mema huko uendako na ukavune sawa na kazi ya mikono, ulimi na matendo yako
AMEN



Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa jinsi alivyoshindwa kuongoza Bunge Oct 2020 HATOBOI.
 
Back
Top Bottom