Historia imedanganya na kupotosha asili ya mwanadamu

Historia imedanganya na kupotosha asili ya mwanadamu

Naomnba kufahamu. Ni faida zipi tutazipata kama tukifahamu ukweli juu ya historian ya mwanadamu?? In hasara gani kama hatutafahamu?? Kuna haja gani ya kudanganyana kama hatujui uhakika? Nadhani no bora watu wanaofanya chunguz hizo wasitoe conclusion bila uhakika Bali waache changamoto kwa wasomi wengine kuendelea kutafuta ukweli.Ila cha muhimu tujie faida zake ni nini?
Nawasilisha!
 
Kuhusu origin ya mwanadamu aise tunamezeshwa matango poli sana uko maskul kiukweli kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo utagundua elimu yote tunayoipata na tuliyoipata mashukeni kuusu ORIGIN OF HUMAN and UNIVERSE Kwa ujumla imejaa upotoshaji, Uongo, na Ufichwaji wa mambo ....

Wenyewe Wajuzi Wa Mambo Wanakwambia Hata ule Mstari Wa Ikweta ambao tumejifunza basi ule mtari kila point uliopita kuna hadhina muhimu sana juu ya origin of human amboyo hawataki kila mmoja wetu kufahamu Na bila kufahamika kwa madhumuni gani.......

Mwisho Kuna dhana kubwa sana kuusu origin of human being and universe generally ambazo zinafichwa ila ile ya human made by aliens inaonekana inamashiko sana kwa sasa na kuna bahadhi ya mishoro ya kiistoria ikionesha ivyo kuwa kulikua na kitu kama iko .............

By The way aya tunayomezeshwa maskul alifu ni mafekeshe tu chalii yangu be aware dig info deep about your original man other wise unaweza ukawa unaabudu kitu kisichokuwepo alifu ..........

Morning Dwax Mazee
 
Sidhani kama huu uongo na upotoshaji bado unafundishwa kwenye shule zetu kwenye somo la historia....
Sisi tulifundishwa na kuaminishwa kuwa asili ya mwanadamu ni mnyama nyani.... Ni katika harakati za kutatua changamoto za maisha yanayomzunguka ndio akajikuta mpaka anaweza kusimama kwa miguu miwili na kutumia mikono kwa shughuli nyinginezo... Ithibati za kuunga zikionesha kutoka hatua za homo sapien mpaka homo habilis.. Ambaye sasa alikuwa ni binadamu kamili....
Kadiri tunavyozidi kuzama na kuhoji kuhusu hizi elimu na uhalisia wake ndivyo tunavyozidi kuangaziwa na kufunuliwa kuhusu uongo na upotoshaji mwingi kisayansi, kibaologia na kihistoria...
Ndana ya binadamu wa kwanza kutokana na nyani inawezekana kabisa ndio dhana dhaifu zaidi na inayoongoza kwa uongo na upotoshaji kuliko dhana nyingine zote kuhusiana na asili ya mwanadamu
Kuna maswali mengi ya kuhoji hapa
. Asili ya huyo nyani ni ipi?
. Kwanini baada ya hapo nyani wengine hawakupitia mchakato wa mabadiliko mpaka kuwa binadamu?
. Kwanini sasa nyani azae nyani na binadamu azae binadamu?
. Kwanini kusiwe na kinyume cha binadamu kuzaa nyani na nyani kuzaa binadamu?

Pamoja na mfanano wa vinasaba kati ya nyani na binadamu kwa zaidi ya asilimia 90.. Lakini ukweli unabaki kuwa hizi ni asili mbili tofauti kabisa
Dhana ya binadamu kubadilika umbo tangu kuumbwa kwa dunia inaweza kuwa na mashiko... Tukisoma misahafu tunaambiwa kuna watu waliishi zaidi ya miaka 800,Lakini pia kuna simulizi za wanefili, majitu makubwa yaliyoishi zamani...rejea zinjathropus
Kadiri miaka inavyosonga umri wa kuishi unazidi kupungua na hata maumbo pia.. Na hii si kwa binadamu tuu bali hata wanyama na vitu vingine vingi...
Dhana pekee ambayo mpaka sasa inajadilika ni Ile dhana ya uumbaji wa kiimani... Dhana ya asili ya mwanadamu na uumbaji wa kimungu...
Upotoshaji huu wa historia ulifanywa na watu maalum... Je lengo lao lilikuwa ninini?
Scientifically speaking kipindi hiki ndipo binadamu anaishi miaka mingi kuliko hata vipindi vyote vilivyopita..! Hii inatokana na maendeleo katika mapinduzi ya kisayansi yaliyofikiwa duniani kwasasa. Hizo story zako za kwenye bible ni story kama story nyengine. Watu wamekuja maevidence tele kwa tele we unaleta mistari kutoka kwenye bible inayosema dunia ipo flat, like really?!
Alafu haya mambo ya binadamu kutoka kwa nyani sijui mliyapata wap..?! Hii nadhani ni inatokana na kutokujua mambo so mtu anayabeba kama yalivyo iliaonekane anayajua..! Please Mshana Jr baki kwenye madogoli na majini mkuu. Mbona unaheshimika sana na wenzio kwa kuleta mada kama hizo..! Just stick to those things mkuu...! [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Kutaka kujua asili/chimbuko la mwanadam ni sawa na kutaka kujua asili/chimbuko la Mungu
Tumeletewa vitabu tukaambiwa history ya binadam na tukaamin kupitia ivo vitabu (Bible na Quran)
Lkn kuna vitabu vingine vinavyopinga vitabu vya dini lkn cha ajabu hatuviamin
Hp ndo shida ipo!!
Katika maisha ni lazima uwe na upande.. Na usichague upande kwa kushinikizwa ama kufuata mkumbo bali baada ya kusoma kuchambua na kujiridhisha kile ulichochagua kwa muktadha wako
 
Kutaka kujua asili/chimbuko la mwanadam ni sawa na kutaka kujua asili/chimbuko la Mungu
Tumeletewa vitabu tukaambiwa history ya binadam na tukaamin kupitia ivo vitabu (Bible na Quran)
Lkn kuna vitabu vingine vinavyopinga vitabu vya dini lkn cha ajabu hatuviamin
Hp ndo shida ipo!!
Katika maisha ni lazima uwe na upande.. Na usichague upande kwa kushinikizwa ama kufuata mkumbo bali baada ya kusoma kuchambua na kujiridhisha kile ulichochagua kwa muktadha wako
 
Sidhani kama huu uongo na upotoshaji bado unafundishwa kwenye shule zetu kwenye somo la historia....
Sisi tulifundishwa na kuaminishwa kuwa asili ya mwanadamu ni mnyama nyani.... Ni katika harakati za kutatua changamoto za maisha yanayomzunguka ndio akajikuta mpaka anaweza kusimama kwa miguu miwili na kutumia mikono kwa shughuli nyinginezo... Ithibati za kuunga zikionesha kutoka hatua za homo sapien mpaka homo habilis.. Ambaye sasa alikuwa ni binadamu kamili....
Kadiri tunavyozidi kuzama na kuhoji kuhusu hizi elimu na uhalisia wake ndivyo tunavyozidi kuangaziwa na kufunuliwa kuhusu uongo na upotoshaji mwingi kisayansi, kibaologia na kihistoria...
Ndana ya binadamu wa kwanza kutokana na nyani inawezekana kabisa ndio dhana dhaifu zaidi na inayoongoza kwa uongo na upotoshaji kuliko dhana nyingine zote kuhusiana na asili ya mwanadamu
Kuna maswali mengi ya kuhoji hapa
. Asili ya huyo nyani ni ipi?
. Kwanini baada ya hapo nyani wengine hawakupitia mchakato wa mabadiliko mpaka kuwa binadamu?
. Kwanini sasa nyani azae nyani na binadamu azae binadamu?
. Kwanini kusiwe na kinyume cha binadamu kuzaa nyani na nyani kuzaa binadamu?

Pamoja na mfanano wa vinasaba kati ya nyani na binadamu kwa zaidi ya asilimia 90.. Lakini ukweli unabaki kuwa hizi ni asili mbili tofauti kabisa
Dhana ya binadamu kubadilika umbo tangu kuumbwa kwa dunia inaweza kuwa na mashiko... Tukisoma misahafu tunaambiwa kuna watu waliishi zaidi ya miaka 800,Lakini pia kuna simulizi za wanefili, majitu makubwa yaliyoishi zamani...rejea zinjathropus
Kadiri miaka inavyosonga umri wa kuishi unazidi kupungua na hata maumbo pia.. Na hii si kwa binadamu tuu bali hata wanyama na vitu vingine vingi...
Dhana pekee ambayo mpaka sasa inajadilika ni Ile dhana ya uumbaji wa kiimani... Dhana ya asili ya mwanadamu na uumbaji wa kimungu...
Upotoshaji huu wa historia ulifanywa na watu maalum... Je lengo lao lilikuwa ninini?
Kwa upande wangu, sidhani kama kuna haja ya kufundishwa kuhusu chimbuko la vitu vinavyoishi.

Ukiyaangalia mazingira yanayokuzunguka na kujifunza kupitia hayo, utaweza kujua chimbuko la mtu japo kwa kuanzia.

Mfano, ukiangalia miti, majani, wadudu na vitu vingine vilivyo hai vinavyotokea, kukua kisha kufa. Utajua kabisa kuwa sisi viumbe hai ni zao la hii dunia
 
Scientifically speaking kipindi hiki ndipo binadamu anaishi miaka mingi kuliko hata vipindi vyote vilivyopita..! Hii inatokana na maendeleo katika mapinduzi ya kisayansi yaliyofikiwa duniani kwasasa. Hizo story zako za kwenye bible ni story kama story nyengine. Watu wamekuja maevidence tele kwa tele we unaleta mistari kutoka kwenye bible inayosema dunia ipo flat, like really?!
Alafu haya mambo ya binadamu kutoka kwa nyani sijui mliyapata wap..?! Hii nadhani ni inatokana na kutokujua mambo so mtu anayabeba kama yalivyo iliaonekane anayajua..! Please Mshana Jr baki kwenye madogoli na majini mkuu. Mbona unaheshimika sana na wenzio kwa kuleta mada kama hizo..! Just stick to those things mkuu...! [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Jaribu tena kusoma kwa makini ulichoandika, rudia tena uone ulivyochanganya mambo..... Halafu soma tena kwa kutulia nilichoandika mimi... Nafikiri umesoma na kuchangia bila kuelewa kilichomo kwenye mada husika
Anyway asante kwa kushiriki mjadala
 
Jaribu tena kusoma kwa makini ulichoandika, rudia tena uone ulivyochanganya mambo..... Halafu soma tena kwa kutulia nilichoandika mimi... Nafikiri umesoma na kuchangia bila kuelewa kilichomo kwenye mada husika
Anyway asante kwa kushiriki mjadala
Ahsante sana kwa kunambia nirudie tena. Maana baada ya kupitia tena ndo nmekuta makosa mengine zaidi..[emoji16][emoji16][emoji16]
Angalia mfano hapo umesema "ithibati za kuunga zikionyesha kutoka kwenye hatua za homo sapien mpaka homo habilis..." hapo ni umeingia CHAKA la kufa mtu..! Yaani inaonyesha wazi haya mambo hata kuyafahamu huyafahamu. Kisayansi asili ya binadamu hutoka kwa Australopithecus africanus (ape like organism from the East African valley) kuja kwa Homo habilis and then Homo erectus(the upright man) na mwisho kabisa ndo tunakuja sie Homo sapiens (wise-man). Nenda kasome mkuu usivamie mambo usiyoyajua mkuu.
 
Ahsante sana kwa kunambia nirudie tena. Maana baada ya kupitia tena ndo nmekuta makosa mengine zaidi..[emoji16][emoji16][emoji16]
Angalia mfano hapo umesema "ithibati za kuunga zikionyesha kutoka kwenye hatua za homo sapien mpaka homo habilis..." hapo ni umeingia CHAKA la kufa mtu..! Yaani inaonyesha wazi haya mambo hata kuyafahamu huyafahamu. Kisayansi asili ya binadamu hutoka kwa Australopithecus africanus (ape like organism from the East African valley) kuja kwa Homo habilis and then Homo erectus(the upright man) na mwisho kabisa ndo tunakuja sie Homo sapiens (wise-man). Nenda kasome mkuu usivamie mambo usiyoyajua mkuu.
Na huyu Homo erectus ndo tunasema ndio kiumbe kilichosafiri kutoka africa kusambaa na kwenda maeneo mengine. Baada ya kufika ulaya kutokana na mazingira kuwa tofauti H. erectus aliweza kutoa Homo niendathelensis nk. Ni sisi H.sapiens ndo tuliokuja kuwauwa hawa niendathensis kutokana na sie kuwa more advanced katika mambo mbalimbali ikiwemo uwezo wetu katika kutengeneza silaha pamoja na magonjwa tuliyobeba kutoka maeneo mengine.
Niliposema kutoa ni kurahisisha mambo tu (oversimplification). Actually process ya kupata aina (species) nyingine ni ndefu (inayochukua miaka milioni kwa mamilioni) na ni habari nyengine kabisa inayotaka muda wake.
 
Ahsante sana kwa kunambia nirudie tena. Maana baada ya kupitia tena ndo nmekuta makosa mengine zaidi..[emoji16][emoji16][emoji16]
Angalia mfano hapo umesema "ithibati za kuunga zikionyesha kutoka kwenye hatua za homo sapien mpaka homo habilis..." hapo ni umeingia CHAKA la kufa mtu..! Yaani inaonyesha wazi haya mambo hata kuyafahamu huyafahamu. Kisayansi asili ya binadamu hutoka kwa Australopithecus africanus (ape like organism from the East African valley) kuja kwa Homo habilis and then Homo erectus(the upright man) na mwisho kabisa ndo tunakuja sie Homo sapiens (wise-man). Nenda kasome mkuu usivamie mambo usiyoyajua mkuu.
Sijavamia na si kwamba sijui sikuwa nilichoandika.... Hebu cheki reply yako uone pia makosa yaliyopo... Sidhani kama kutotaja homo erectus ndio kutokujua
 
Na huyu Homo erectus ndo tunasema ndio kiumbe kilichosafiri kutoka africa kusambaa na kwenda maeneo mengine. Baada ya kufika ulaya kutokana na mazingira kuwa tofauti H. erectus aliweza kutoa Homo niendathelensis nk. Ni sisi H.sapiens ndo tuliokuja kuwauwa hawa niendathensis kutokana na sie kuwa more advanced katika mambo mbalimbali ikiwemo uwezo wetu katika kutengeneza silaha pamoja na magonjwa tuliyobeba kutoka maeneo mengine.
Niliposema kutoa ni kurahisisha mambo tu (oversimplification). Actually process ya kupata aina (species) nyingine ni ndefu (inayochukua miaka milioni kwa mamilioni) na ni habari nyengine kabisa inayotaka muda wake.
Ithibati ya haya ni zipi? Na Kwanini uzao wa sasa usipitie mchakato huohuo? Kwanini sasa Leo hii tuna nyani kama nyani na binadamu kama binadamu? Na hayo mamilioni ya miaka kimetumika kipimo gani kuyapima? Huoni bado ni ithibati za kufikirika na kuungaunga zaidi ya uhalisia?
 
Sidhani kama huu uongo na upotoshaji bado unafundishwa kwenye shule zetu kwenye somo la historia....
Sisi tulifundishwa na kuaminishwa kuwa asili ya mwanadamu ni mnyama nyani.... Ni katika harakati za kutatua changamoto za maisha yanayomzunguka ndio akajikuta mpaka anaweza kusimama kwa miguu miwili na kutumia mikono kwa shughuli nyinginezo... Ithibati za kuunga zikionesha kutoka hatua za homo sapien mpaka homo habilis.. Ambaye sasa alikuwa ni binadamu kamili....
Kadiri tunavyozidi kuzama na kuhoji kuhusu hizi elimu na uhalisia wake ndivyo tunavyozidi kuangaziwa na kufunuliwa kuhusu uongo na upotoshaji mwingi kisayansi, kibaologia na kihistoria...
Ndana ya binadamu wa kwanza kutokana na nyani inawezekana kabisa ndio dhana dhaifu zaidi na inayoongoza kwa uongo na upotoshaji kuliko dhana nyingine zote kuhusiana na asili ya mwanadamu
Kuna maswali mengi ya kuhoji hapa
. Asili ya huyo nyani ni ipi?
. Kwanini baada ya hapo nyani wengine hawakupitia mchakato wa mabadiliko mpaka kuwa binadamu?
. Kwanini sasa nyani azae nyani na binadamu azae binadamu?
. Kwanini kusiwe na kinyume cha binadamu kuzaa nyani na nyani kuzaa binadamu?

Pamoja na mfanano wa vinasaba kati ya nyani na binadamu kwa zaidi ya asilimia 90.. Lakini ukweli unabaki kuwa hizi ni asili mbili tofauti kabisa
Dhana ya binadamu kubadilika umbo tangu kuumbwa kwa dunia inaweza kuwa na mashiko... Tukisoma misahafu tunaambiwa kuna watu waliishi zaidi ya miaka 800,Lakini pia kuna simulizi za wanefili, majitu makubwa yaliyoishi zamani...rejea zinjathropus
Kadiri miaka inavyosonga umri wa kuishi unazidi kupungua na hata maumbo pia.. Na hii si kwa binadamu tuu bali hata wanyama na vitu vingine vingi...
Dhana pekee ambayo mpaka sasa inajadilika ni Ile dhana ya uumbaji wa kiimani... Dhana ya asili ya mwanadamu na uumbaji wa kimungu...
Upotoshaji huu wa historia ulifanywa na watu maalum... Je lengo lao lilikuwa ninini?

Hongera kwa maada mkuu,..

Binafsi nimekuwa nikihustle sana kutafuta hii reality jinsi ilivyo..

Tumekalilishwa matango pori makubwa sana na bado wanaendelea kusimimia mitaala ya elimu yetu mpkaa miaka 100 japo awareness inaanza taratibu kutuingia akilini mwetu na kujikuta tukianza kuhoji asili ya mwanadamu kwa ujumla ..

Ukiweza kuinterprete ile pentagram wanayotumia Babylonian brotherhood basi pale ndo kwenye ukweli...tatizo linakuja hata baadhi ya member wa kundi lile hawajui jinsi inavyofanya kazi..

Wanatumia black colour kusymbolyse darkness( nguvu zilizofichika) hence their black mass..
but also white to symbolise negative colour to them( hapa ndipo wanapojaribu kutoa misaada ili waonekane ni watu wema but it is not).

PhotoGrid_1536999277124.jpg

hiyo black pentagram ndo imebeba mambo yote ila mathematics inayoelezea jinsi inavyofanya kazi ni tata sana katika kuleta nguvu kubwa kwao..
PhotoGrid_1536999304805.jpg


wanatumia white colour kujionesha ni wema but the operation is the same..
lakini ukisoma hidden doctrine juu ya kuendelea kuwepo kwa Babyloniani brotherhood na hidden ajenda zao ,damu mbichi inahitajika kuwafanya kuvuta black power from hidden core source..

Ukisoma vizuri the hidden central dogma imejaribu kuelezea uwepo wa mwanadamu na uhusiano wa hilo group la viumbe wanaotucontrol sisi,ni wazi kuwa damu ya mwanadamu ina energy kubwa zaidi kuliko kiumbe yoyote yule ulimwenguni( ndo mana inahusishwa na mambo ya kafara za damu kuwa damu ya binadamu inagive energy kubwa kuliko damu ya mnyama yoyote yule ndo mana binadamu ni genetically engineered kwa ajili ya kuendelea kuwakeep hao brotheehood kuendelea kuwepo...

kwenye hili swala mwanamke ndo anaonekana kuhusika kwa kiwango kikubwa sana kuwa source kubwa kuliko mwanaume kwa sababu ya menstrual flow yake ya kila mwezi( ndo mana anahusishwa kama kiumbe ambaye yupo indirectly connected na pentagram network energy system kwemye high centre gateways..
PhotoGrid_1536999810406.jpg


Ndo mana wanasema kuwa bila binadamu hao wenye ulimwengu huu waaingekuwepo pia kwa sababu ya kudepend kwetu sisi..

Damu yako ina energy kubwa sana kuliko unavoweza kufikilia ..

Angalia movie iliyozuiliwa ya 1999 inayoitwa The matrix baada ya kutoa baadhi ya codes za kwanini mwanadamu katengenezwa kuja haoa duniani kukamilisha au kuserve purpose flani kwa ajili ya kuruhusu jamii ya ulimwengu mwingine kuendelea kufanya mambo yao..msikilize vizuri Morpheus anapoelezea kuwa Mwadamu amekuja dunaini kuruhusu maisha ya viumbe wwngine kuendelea ila katengenezewa system inayomuongoza bila yeye kujua( matrix system).Ile movie imepigwa marufuku na kupigwa misumali mizito wasije toa movie yoyote inayoielezea vizuri matrix system of reality iliyofichwa,,hapa napo kuna utata aise,

Human beings are life potential for reptilian brotherhood kwani hiyo jamii ni high life form kuzidi hii yetu na ukweli upo wazi..

kwa hiyo kumruhusu mwanadamu aendelee kuzaliana ni kuongeza potential kwao kwani dunia itakuwa na blood source kubwa zaidi kuliko maelezo na hiyo kuendelea kuifanya Reptilian brotherhood originated from Babylonian society kuwa na nguvu kubwa ya kutrap source( energy ) kutoka kwenye hidden but known core( universe).

mi nadhnai hawa jamaaa wanategemea sana uwepo wa mwanadamu zaidi ili kuendelea kusurvive..ndo mana tunaona massive advancements za technolijia ukilinganisha na ongezeko kubwa la watu duniani,,here there is a doubt also..
 
mwanadsmu ni source tosha ya energy..lets us free our mind to attain power.
Screenshot_20180915-114841.jpg

kupandikiza dhana ya kuwa tulitokana na nyani ni uongo mkubwa sana kumfanya mwanadamu asiendele kujiuliza kwanini uongezeko lake linazidi kupanda ( population) na ina madhara gani kwenye advancement ya technologia na kuendelea kupanuka kwa familia hizo za siri..(jamii ile inazidi kuwa na nguvu ya kupata access ya kupenetrate kwenye universal fild energy na kuwafanya waendelee kusurvive zaidi

binafsi naona uumbaji wetu una maana kubwa kwa hiyo jamii iliyopo regardless kwa chochote unachokifanya has nothing to add to the universe zaid ya kunufaisha wao..

We were created to save a purpose for being a life potential ya progression ya hao Babylonian brotheehood aise....

Nimejaribu kuhusisha hidden doctrine nyingi zilizokatazwa kuoneshwa kwa na kujikuta nyingi zinabase pale pale...

Kiukweli imekuwa ngumu sana kupata the true doctrine inayoweza elezea the purpose ya mwanadamu kuja duniani ni mwisho wake ni nini...

Kuna jamii inafaidika na uwepo wako bila kujijua aise...

lazima tukubali hapa..
 
Sijavamia na si kwamba sijui sikuwa nilichoandika.... Hebu cheki reply yako uone pia makosa yaliyopo... Sidhani kama kutotaja homo erectus ndio kutokujua
Duuuh mkuu..! Huyo H. erectus ni bonus tu..! Kosa lako ni kuchanganya kati ya H. sapiens na H. habilis ni nani aliyeanza..! Aisee..!
 
Ithibati ya haya ni zipi? Na Kwanini uzao wa sasa usipitie mchakato huohuo? Kwanini sasa Leo hii tuna nyani kama nyani na binadamu kama binadamu? Na hayo mamilioni ya miaka kimetumika kipimo gani kuyapima? Huoni bado ni ithibati za kufikirika na kuungaunga zaidi ya uhalisia?
Basi mkuu ngoja nikuache maana naona tunaongea lugha tofauti..!
 
...dhana yenye mashiko kidogo ni ile ya kuumbwa na Alliens,..Ananuk....ila hii ya kwenye biblia na Quran haina mashiko hata robo nayo
Alien wako wangapi hivi walivo wadogo wataumba MTU?? Waumbe mtu anayejua mambo kuliko wao, kwanza uwepo wa alien ni uongo tu.
 
Back
Top Bottom