GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ombi langu Kubwa kwenu kama GENTAMYCINE kwa mnaomuandaa huyo Waziri Mkuu Mwanamke (Mwanamama) ajaye wa mwaka 2025 (ambaye tayari Jina lake nimeshapenyezewa ila kamwe sitothubutu Kulitaja) ni kwamba mlindeni mno ili yale ya Deo na Chopper ya mwaka 2015 yasijirejee tena.
Na nasikia huenda hata na Cabinet la mwaka 2025 kwa 65% au hata 75% likawa dominated na Wanawake (akina Mama) watupu tu na hata kule Kwingineko kwenye Usiri na Unyeti mwingi Kiutendaji Wanawake wakawekwa vile vile.
Haya Mama yetu (Waziri Mkuu mtarajiwa kwa mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu) anza sasa Kujiandaa jinsi ya Kuishi Kiprotokali zaidi japo najua Protokali umeshazizoea na bado hata sasa upo katika Maisha ya Protokali.
Sali sana ila punguza kidogo idadi ya Marafiki ulionao kwani wapo baadhi uko nao Jirani (na Unawaamini) wameshalijua hili ambalo GENTAMYCINE nimelijua na wanataka Kukuharibia ili Mama mnayeshibana mno asikuamini tena kisha Wamshawishi wamuweke Msanii (Fisadi) Mwenzao na Wamtakae Mr. Kipara Macho Manne Suti Kifungo Kimoja ili waendelee Kufyonza Mrija wa Utajiri wa Tanzania.
Tafadhali Uzi huu Utunzwe kwa Matumizi ya Mwezi Oktoba kuelekea Novemba mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Kukamilika/Kumalizika.
Na nasikia huenda hata na Cabinet la mwaka 2025 kwa 65% au hata 75% likawa dominated na Wanawake (akina Mama) watupu tu na hata kule Kwingineko kwenye Usiri na Unyeti mwingi Kiutendaji Wanawake wakawekwa vile vile.
Haya Mama yetu (Waziri Mkuu mtarajiwa kwa mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu) anza sasa Kujiandaa jinsi ya Kuishi Kiprotokali zaidi japo najua Protokali umeshazizoea na bado hata sasa upo katika Maisha ya Protokali.
Sali sana ila punguza kidogo idadi ya Marafiki ulionao kwani wapo baadhi uko nao Jirani (na Unawaamini) wameshalijua hili ambalo GENTAMYCINE nimelijua na wanataka Kukuharibia ili Mama mnayeshibana mno asikuamini tena kisha Wamshawishi wamuweke Msanii (Fisadi) Mwenzao na Wamtakae Mr. Kipara Macho Manne Suti Kifungo Kimoja ili waendelee Kufyonza Mrija wa Utajiri wa Tanzania.
Tafadhali Uzi huu Utunzwe kwa Matumizi ya Mwezi Oktoba kuelekea Novemba mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Kukamilika/Kumalizika.