Historia kuwekwa Tanzania 2025, huenda Waziri Mkuu (Premier) ajaye akawa ni Mwanamke

Historia kuwekwa Tanzania 2025, huenda Waziri Mkuu (Premier) ajaye akawa ni Mwanamke

Ombi langu Kubwa kwenu kama GENTAMYCINE kwa mnaomuandaa huyo Waziri Mkuu Mwanamke ( Mwanamama ) ajaye wa mwaka 2025 ( ambaye tayari Jina lake nimeshapenyezewa ila kamwe sitothubutu Kulitaja ) ni kwamba mlindeni mno ili yale ya Deo na Chopper ya mwaka 2015 yasijirejee tena.

Na nasikia huenda hata na Cabinet la mwaka 2025 kwa 65% au hata 75% likawa dominated na Wanawake ( akina Mama ) watupu tu na hata kule Kwingineko kwenye Usiri na Unyeti mwingi Kiutendaji Wanawake wakawekwa vile vile.

Haya Mama yetu ( Wazri Mkuu mtarajiwa kwa mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu ) anza sasa Kujiandaa jinsi ya Kuishi Kiprotokali zaidi japo najua Protokali umeshazizoea na bado hata sasa upo katika Maisha ya Protokali.

Sali sana ila punguza kidogo idadi ya Marafiki ulionao kwani wapo baadhi uko nao Jirani ( na Unawaamini ) wameshalijua hili ambalo GENTAMYCINE nimelijua na wanataka Kukuharibia ili Mama mnayeshibana mno asikuamini tena kisha Wamshawishi wamuweke Msanii ( Fisadi ) Mwenzao na Wamtakae Mr. Kipara Macho Manne Suti Kifungo Kimoja ili waendelee Kufyonza Mrija wa Utajiri wa Tanzania.

Tafadhali Uzi huu Utunzwe kwa Matumizi ya Mwezi Oktoba kuelekea Novemba mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Kukamilika / Kumalizika.
Too general and too low for Gentamycin.
 
Ombi langu Kubwa kwenu kama GENTAMYCINE kwa mnaomuandaa huyo Waziri Mkuu Mwanamke ( Mwanamama ) ajaye wa mwaka 2025 ( ambaye tayari Jina lake nimeshapenyezewa ila kamwe sitothubutu Kulitaja ) ni kwamba mlindeni mno ili yale ya Deo na Chopper ya mwaka 2015 yasijirejee tena.

Na nasikia huenda hata na Cabinet la mwaka 2025 kwa 65% au hata 75% likawa dominated na Wanawake ( akina Mama ) watupu tu na hata kule Kwingineko kwenye Usiri na Unyeti mwingi Kiutendaji Wanawake wakawekwa vile vile.

Haya Mama yetu ( Wazri Mkuu mtarajiwa kwa mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu ) anza sasa Kujiandaa jinsi ya Kuishi Kiprotokali zaidi japo najua Protokali umeshazizoea na bado hata sasa upo katika Maisha ya Protokali.

Sali sana ila punguza kidogo idadi ya Marafiki ulionao kwani wapo baadhi uko nao Jirani ( na Unawaamini ) wameshalijua hili ambalo GENTAMYCINE nimelijua na wanataka Kukuharibia ili Mama mnayeshibana mno asikuamini tena kisha Wamshawishi wamuweke Msanii ( Fisadi ) Mwenzao na Wamtakae Mr. Kipara Macho Manne Suti Kifungo Kimoja ili waendelee Kufyonza Mrija wa Utajiri wa Tanzania.

Tafadhali Uzi huu Utunzwe kwa Matumizi ya Mwezi Oktoba kuelekea Novemba mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Kukamilika / Kumalizika.
Ramli chonganishi
 
Kajamaa kwa kujipa UMUHIMU TUU hakajambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sawa acha itakavyokuwa.
 
Ombi langu Kubwa kwenu kama GENTAMYCINE kwa mnaomuandaa huyo Waziri Mkuu Mwanamke ( Mwanamama ) ajaye wa mwaka 2025 ( ambaye tayari Jina lake nimeshapenyezewa ila kamwe sitothubutu Kulitaja ) ni kwamba mlindeni mno ili yale ya Deo na Chopper ya mwaka 2015 yasijirejee tena.

Na nasikia huenda hata na Cabinet la mwaka 2025 kwa 65% au hata 75% likawa dominated na Wanawake ( akina Mama ) watupu tu na hata kule Kwingineko kwenye Usiri na Unyeti mwingi Kiutendaji Wanawake wakawekwa vile vile.

Haya Mama yetu ( Wazri Mkuu mtarajiwa kwa mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu ) anza sasa Kujiandaa jinsi ya Kuishi Kiprotokali zaidi japo najua Protokali umeshazizoea na bado hata sasa upo katika Maisha ya Protokali.

Sali sana ila punguza kidogo idadi ya Marafiki ulionao kwani wapo baadhi uko nao Jirani ( na Unawaamini ) wameshalijua hili ambalo GENTAMYCINE nimelijua na wanataka Kukuharibia ili Mama mnayeshibana mno asikuamini tena kisha Wamshawishi wamuweke Msanii ( Fisadi ) Mwenzao na Wamtakae Mr. Kipara Macho Manne Suti Kifungo Kimoja ili waendelee Kufyonza Mrija wa Utajiri wa Tanzania.

Tafadhali Uzi huu Utunzwe kwa Matumizi ya Mwezi Oktoba kuelekea Novemba mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Kukamilika / Kumalizika.

Hii ni ishara ya CCM kuendeleza ushetani wake. Vipi unatabiri viongozi na uchaguzi huru haujafanyika , wala Tume huru ya uchaguzi haijaundwa?
 
Hata wakiweka Waziri Mkuu mwanamke unadhani kuna kitakachobadilika?. Mifumo iliyopo hata uwe na viongozi gani wazuri watakwama tu.
 
Ulimtabiria ODINGA ndiye AJAYE majuzi na haikuwa hivyo, na ulitamba una vyanzo vya kutosha.

2025 Bado mbali na ajaye Si KE, unaweza Rudi USINGIZINI uote tena juu ya huyo PM.
😀 😀😀😀😀😀. Huyu jamaa binafsi nilishamgundua ni illusionist vibaya mno. Ni mtu anaandika mitazamo yake halafu anajidai ametoa kwenye vyanzo vya uhakika. Jamaa kwa Fix ni YAHAYA wa hapa mjini JF
 
Ulimtabiria ODINGA ndiye AJAYE majuzi na haikuwa hivyo, na ulitamba una vyanzo vya kutosha.

2025 Bado mbali na ajaye Si KE, unaweza Rudi USINGIZINI uote tena juu ya huyo PM.
Hii NCHI Hii

Kuna watu wanatukosea Sana!

Hivi mtua anawazaje urais wa 2025 wakati BADO kuna wananchi wanapaswa watoe maoni kama atafaa au hafai!!?

YAANI kivipi YAANI!!?


Huwa anatukosea sana kwakweli!

Halafu huyo Mungu mmemuweka WAPI!?

Haya ngoja Tuone!!
 
Hii ndio mada ya kwanza kutoka kwa mtoaji ambayo binafsi namwona ameonyesha ni jinsi gani alivyo,bora ubakie na mada za michezo, politics ni muhimu uwe impartial ili kuleta mjadala huru, Tanzania umeionyesha kuwa ni mtoto wa ccm, yaani nchi hii ni mali yao, na middle class wa kitanzania wameaminishwa hivyo ni shida
 
Wakianza kupiga umbea ......Siri nyingi zitamwagika........yaani hapo Kira kitu kitakuwa mwanuuuuu ......au nasema uongo ndugu zangu
 
Ombi langu Kubwa kwenu kama GENTAMYCINE kwa mnaomuandaa huyo Waziri Mkuu Mwanamke (Mwanamama) ajaye wa mwaka 2025 (ambaye tayari Jina lake nimeshapenyezewa ila kamwe sitothubutu Kulitaja) ni kwamba mlindeni mno ili yale ya Deo na Chopper ya mwaka 2015 yasijirejee tena.

Na nasikia huenda hata na Cabinet la mwaka 2025 kwa 65% au hata 75% likawa dominated na Wanawake (akina Mama) watupu tu na hata kule Kwingineko kwenye Usiri na Unyeti mwingi Kiutendaji Wanawake wakawekwa vile vile.

Haya Mama yetu (Wazri Mkuu mtarajiwa kwa mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu) anza sasa Kujiandaa jinsi ya Kuishi Kiprotokali zaidi japo najua Protokali umeshazizoea na bado hata sasa upo katika Maisha ya Protokali.

Sali sana ila punguza kidogo idadi ya Marafiki ulionao kwani wapo baadhi uko nao Jirani (na Unawaamini) wameshalijua hili ambalo GENTAMYCINE nimelijua na wanataka Kukuharibia ili Mama mnayeshibana mno asikuamini tena kisha Wamshawishi wamuweke Msanii (Fisadi) Mwenzao na Wamtakae Mr. Kipara Macho Manne Suti Kifungo Kimoja ili waendelee Kufyonza Mrija wa Utajiri wa Tanzania.

Tafadhali Uzi huu Utunzwe kwa Matumizi ya Mwezi Oktoba kuelekea Novemba mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Kukamilika/Kumalizika.
Stargomena Tax
 
Back
Top Bottom