Historia: vituko ulimwenguni

"FARASI ATOROKA NJE YA KIBANDA ANGANI"

Ndege inayoendeshwa na shirika maalum la ndege la Air Atlanta Icelandic, ilikuwa ikielekea Liege nchini Ubelgiji kabla ya kulazimika kurejea katika uwanja wake wa ndege ilipotoka huko New York baada ya farasi kutoroka nje ya kibanda chake katika sehemu ya kubebea mizigo na kuanza kukimbia ndani ya ndege.

Ndege hiyo aina ya Boeing 747 yenye usajili TF-AMM, ilikuwa ikisafiri kwa umbali wa futi 31,000 juu ya Boston wakati ambapo kwa ghafla farasi mmoja alitoka kwenye kontena lake.

Marubani walilazimika kumwaga tani 20 za mafuta ili kupunguza uzito wa ndege kabla ya kutua kwa usalama.

Picha ni kwa lengo la kufikisha ujumbe tu.

Chanzo:

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"FARASI ATOROKA NJE YA KIBANDA ANGANI"

Ndege inayoendeshwa na shirika maalum la ndege la Air Atlanta Icelandic, ilikuwa ikielekea Liege nchini Ubelgiji kabla ya kulazimika kurejea katika uwanja wake wa ndege ilipotoka huko New York baada ya farasi kutoroka nje ya kibanda chake katika sehemu ya kubebea mizigo na kuanza kukimbia ndani ya ndege.

Ndege hiyo aina ya Boeing 747 yenye usajili TF-AMM, ilikuwa ikisafiri kwa umbali wa futi 31,000 juu ya Boston wakati ambapo kwa ghafla farasi mmoja alitoka kwenye kontena lake.

Marubani walilazimika kumwaga tani 20 za mafuta ili kupunguza uzito wa ndege kabla ya kutua kwa usalama.

Picha ni kwa lengo la kufikisha ujumbe tu.

Chanzo:


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ingetumika Tanzania kukomesha ufisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…