Nmewahi kumuuliza veteran flan badoo yupo hai aliyekuwa na cheo kipindi cha vita hiyooo....huwez amin CHANZO CHA VITA YA TZ NA UGANDA NI UGOMVI WA BAR kati ya askar wachache wa tz na askar wachache wa UGANDA....
Wengi dunian tunalishwa matango pori kuhusu vita, fikiria tu vita ya ukraine na urusi bahat mbaya ukrain akashinda nini kingetokea kuhusu putin? Wangekuwa wanamsemaje?
Binasfir sikukubali kulishwa matango pori na wazungu hata vita ya kwanza ya dunia, eti hitler ni gaidi
Kuna kaulia alisema hitler kwamba anauwezo wakuwauwa wa israel wote dunian lkn hato fanya hivyo kwasababu anataka kuwabakisha wachache ambao wataihakikishia dunia kwamba kwann waliuwawa miaka ya hitler!, aisee waisrael n wasumbufu wanakeraaa wanaonea wanyonge usk na mchana wanaitawala dunia waitakavyo, wana roho mbayaa na ukiingia kwenye 18 zao uchomoki
Kwa ujinga wetu tu tukalazimishww kumuona nyerere ni shujaaa alf idd amin ni gaidi
Kwa ujinga wetu tukaaminishwa putin ni mbaya lkn ukraine ni shujaa
Kwa upumbavu wetu tukaaminishwa gadafi ni adui wetu na marekani ndio demokrasia ya kwel
Kwa kuto kufikiri tukaambiwa sadamu hussein ni gaidi tena wenye nyuklia nyingi na kunyongwa na tukaaminishwa marekani anailinda aman ya dunia hii
Kwa kutotumia akili tukaaminishwa sadm hussain ni gaidi na ndiye alilipua jengo refu duniani na kuwauwa watu wengi kumbe ni mechezo yao wenyewe
Mpaka lini tutakuwa wajinga kiasi hiki kwa kupokea story za friction kiasi hiki???
Hakuna sababu ya msingi yyte ya vita kuu ya kimbali nnchini Rwanda 1994
Hakuna sababu ya msingi ya kipekee ya Africa kuwa maskini kiasi hiki!
Yan mpaka kesho mtanzania anaamini Yesu ni mzungu na kwa ujinga huo wakakuamnisha iddi amin ni gaidi
Tuache ujinga uliokisiri kiasi hicho! Tutoke usingizini, kwenye black tuseme black na kwenye white tuseme white, full STOP