Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ongezea pia kuwa nisehem ambayo jojina dem wa marijani alipata ajali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani mzee wetu Said Mohamed "mzee wa historia ya dsm" anaweza kutusaidia baadhi ya maswali haya.Naomba kujua kuhusu daraja la Salender ambalo liko jijini Dar es Salaam
1. Lilijengwa mwaka gani.
2. Mkandarasi / engineer aliyelijenga daraja hilo.
3. Na ni nani aliyesimama ujenzi kipindi hicho.
4. Na kwa nini eneo hilo la barabara na daraja hilo linaonekana liko imara sana.
5. Na je hatuwezi kuwapata walioshiriki kujenga daraja hilo wakatusaidia mawazo nini kilipelekea kujenga daraja imara kiasi hicho.
6. Pia naomba kujua kiasi cha fedha zilizotumika kukamilisha ujenzi wa daraja hilo.
7. Na ni kwa nini maji ya mito yote hayajazi eneo hilo la daraja.
Natanguliza shukrani kwa yoyote atakusaidia kwa namna moja au nyingine...
"My take: kwangu mimi DARAJA HILI LINGEWEKWA KWENYE MAAJABU YA DUNIA, kwa kuweza kupitisha maji ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam bila wasiwasi!
Ilikuwa mwaka gani?Sababu ya kujenga kile kituo cha polisi pale ni mchonga kutegeshewa bomu kipindi kile cha vita baridi.. Hata hivyo alighairi kupita dakika za mwisho alikuwa anaelekea Kawe ana Lugalo jeshini nadhani
Ongezea pia kuwa nisehem ambayo jojina dem wa marijani alipata ajali
Mkuu wewe ni mjinga sanaaa ,badala ya kujibi swali hilo umeanza kukejeli et kitu cha kawaida are u serious kweli ???mkuu hakuna cha ajabu chochote pale... sema tu geographia ya pale huielewi. Daraja halitaweza ku overflow milele labda tu kuwe na sea level rise. ukienda siku bahari ikiyojaa... high tìde ndo utaelewa kikomo cha mwisho cha height ya maji... hata mvua inyeshe vipi... haiwezi kuzidi kikomo hiko... kwa hyo usiwasifie wajenzi.... location ndo inawafavor japo sio daraja baya pia kwa jinsi lilivyojengwa ila siyo kitu cha ajabu.
Ngoja nisitoe majibu ya kubahatisha nitarejeaIlikuwa mwaka gani?
Na jilo bomu liligunduliwaje, au lililipuka?
weka kapicha cc wa mikoani hatukumbuki tena lile la zamani likoje?Wrong!
La sasa linalotumika si lile la mkoloni.
La mkoloni halitumiki ukitoka mjini lipo kushoto.
Hili la sasa lilijenga na KAJIMA Constructon co ltd.
Urejee mkuu, nna hamu ya kujua kuhusu hilo.Ngoja nisitoe majibu ya kubahatisha nitarejea
Ni Zuwena kumbe.. Asante kwa correctionJojina au Zuwena usidanganye watu mkuu. Ahsante.
Ebu tupe historia kidogoMchonga alikoswakoswa pale
Sio zuwenaOngezea pia kuwa nisehem ambayo jojina dem wa marijani alipata ajali
Urejee mkuu, nna hamu ya kujua kuhusu hilo.
Nitarejea full detailedEbu tupe historia kidogo
Kuna watu bila kujadili kisiasa hamjisikiiWajenzi waliachwa wakatumia Taaluma zao vizuri bila kuingiliwa na Wana Siasa uchwara, panapokua na Siasa kila kitu kinafeli, mfano Hostel za Mlimani, DART offices pale Jangwani, ujenzi wa hospital ya Simiyu