Olomi jerome
Member
- Jan 2, 2014
- 96
- 42
Historia ya Rais aliyetawala kuanzia mwaka 2015 - 2021 ni ngumu kuipata historia yake ingali tuko mwaka 2021 je ikifika 2050 itakuaje?Kumbe na wewe umeliona?
Nimejiuliza sana pindi niliposoma eti walihamia Chato
Sasa huyo aliewahamisha (Baba) hajulikani na alifanya kazi gani maana naona kaibuka Pombe tu
Ninavyojua historia huwa inaandikwa mpaka baba na hata kazi zake na hata Babu
Ila uhamiaji kiboko wakikuvalia njuga utaulizwa mpaka makaburi ya wahenga wote
Wanajua wanachokifanya si kwamba Mambo ya akina Harry Truman na viongozi wengine duniani historia zinavyoandaliwa hawajui?wanajua Sana wanachofanyaUmenikumbusha kitabu cha historia ya rais wa zamani wa Marekani Harry S. Truman, kimeandikwa na muandishi nguli David McCullough. Kinaitwa "Truman". Kimetolewa mwaka 1992. Kitabu hiki pia kilifanyiwa sinema ya kampuni ya HBO.
Katika kitabu hicho, kilichoshinda nishani ya Pulitzer, muandishi David McCullough kabla ya kuanza kukupa historia ya Truman anaanza kukupa historia ya familia yake kwanza ilivyoingia na kuhamahama Marekani.
Yani kabla ya kuelezwa kuhusu Truman, unaelezwa kuhusu family tree ya Truman kwanza.
Ukija kufika kwa Truman mwenyewe inakuwa kama ushajengewa msingi wa kuanza kuelewa mtoto atakayezaliwa katika mlolongo huu anaweza kuwa vipi.
Ulivyoitaja hii point moja kwa moja nikakumbuka hicho kitabu. Hapo ndipo unaweza kuona tofauti ya muandishi nguli anayepata nishani ya Pulitzer na muandishi anayelipua lipua tu.
Tunayaona mkuuKumbe na wewe umeliona?
Nimejiuliza sana pindi niliposoma eti walihamia Chato
Sasa huyo aliewahamisha (Baba) hajulikani na alifanya kazi gani maana naona kaibuka Pombe tu
Ninavyojua historia huwa inaandikwa mpaka baba na hata kazi zake na hata Babu
Ila uhamiaji kiboko wakikuvalia njuga utaulizwa mpaka makaburi ya wahenga wote
Historia ya Rais aliyetawala kuanzia mwaka 2015 - 2021 ni ngumu kuipata historia yake ingali tuko mwaka 2021 je ikifika 2050 itakuaje?
Kweli mkuuTatizo la waafrika tunaficha mengi tofauti na wenzetu ambao asili ya mtu ni sifa kubwa na heshima
Angalia Wayahudi waliokimbia vita miaka ya nyuma na Irish waliohamia USA na pia Italians waliopo huko
Hawaachi asili yao na pia hawawezi kuficha wao ni nani na hata wanafika kuwa Maraisi kwa asili zao hizo hizo na wanakubalika
Sisi ni tofauti kwani kuna woga wa kujisema au tuseme ubaguzi ni mwingi sana kwetu
Naona mtu anajificha kataja asili yake na hajulikani kama ni black ila kama ni taifa lingine kama waarabu au Wahindi au Wasomali ni rahisi kuwajua na hata kuwatenga kama ikitokea hivyo
Sijui kama tutarudi kwenye utamaduni wetu wa zamani kujisifia asili
Miaka ya nyuma sana nilisoma na watoto ambao wazazi wao walikuwa wanasema kabisa wao ni Wanyasa toka Malawi na wengine toka Zambia na waliishi kama waTz tu na watoto kushika nyadhifa kubwa kubwa tu
Inasikitisha sana
Umenikumbusha kitabu cha historia ya rais wa zamani wa Marekani Harry S. Truman, kimeandikwa na muandishi nguli David McCullough. Kinaitwa "Truman". Kimetolewa mwaka 1992. Kitabu hiki pia kilifanyiwa sinema ya kampuni ya HBO.
Katika kitabu hicho, kilichoshinda nishani ya Pulitzer, muandishi David McCullough kabla ya kuanza kukupa historia ya Truman anaanza kukupa historia ya familia yake kwanza ilivyoingia na kuhamahama Marekani.
Yani kabla ya kuelezwa kuhusu Truman, unaelezwa kuhusu family tree ya Truman kwanza.
Ukija kufika kwa Truman mwenyewe inakuwa kama ushajengewa msingi wa kuanza kuelewa mtoto atakayezaliwa katika mlolongo huu anaweza kuwa vipi.
Ulivyoitaja hii point moja kwa moja nikakumbuka hicho kitabu. Hapo ndipo unaweza kuona tofauti ya muandishi nguli anayepata nishani ya Pulitzer na muandishi anayelipua lipua tu.
Asante mkuu,Mkuu mleta mada je ndugu JPM alizaliwa peke yake katika familia ya bi Suzan? Na je Kama anao ndugu wengine wapo wapi na wanafanya Nini? Natanguliza shukran.
Daaa huku niliko ni tofauti kabisa hawamtaki hawa wa bureKifo ni fumbo.magufuli leo mwanza angefufuka hata dk moja tu ndo angejua ni kiasi gani alipendwa.
R.I.P JPM
Asante mkuu kwa kutujuza hilo.Seminary alifukuzwa kw akufeli
Form Six alifeli akaenda kusomea ualimu
Ni mwalimu wa sekondari,most lowly profession of anybody
Chuo Kikuu aliingia mature entry
Alifeli PhD,marehemu Ben Saanane ana ushahidi na kilichopelekea kifo chake
Hana IQ kubwa...
Those are FACTS
I'm sorry you are sad to hear them but are FACTSSSS!
Asante mkuu kwa kutujuza hilo.Seminary alifukuzwa kw akufeli
Form Six alifeli akaenda kusomea ualimu
Ni mwalimu wa sekondari,most lowly profession of anybody
Chuo Kikuu aliingia mature entry
Alifeli PhD,marehemu Ben Saanane ana ushahidi na kilichopelekea kifo chake
Hana IQ kubwa...
Those are FACTS
I'm sorry you are sad to hear them but are FACTSSSS!
Asante mkuu kwa kutujuza hilo.
Hivyo tumalize kwa kusema marais wa Tanzania Elimu zao z😇