Historia ya Kabila la Wahaya

Historia ya Kabila la Wahaya

Aaaaah ! Mkuu hebu muogope Mungu , mimi ni mhaya na nyumbani kwa Babu yangu ni bukoba vijijini , jina la kijiji nimelihifadhi , kwenye hicho kijiji hakuna barabara , huduma ya maji watu wanachota kwenye chemchemi , umeme , huduma ya afya na shule ni majanga na watu ni walevi wa pombe za kienyeji na ni masikini wa kutupwa , nyumba ni za hovyo , nyingi ni mabanda ya nyasi na tope chache sana ndo unakuta mtu kajenga mjengo wa maana , it is simply a ghost town to put it into perspective , hebu niambie ni kijiji gani hicho ulichotembelea ukakuta hakuna nyumba ya nyasi..........Tatizo la wahaya ni dharau na nyodo unakuta mtu anakaa kwenye banda la mbuzi halafu anashupaza shingo , kiufupi I'm not proud of my ethnicity as a Haya
 
Aaaaah ! Mkuu hebu muogope Mungu , mimi ni mhaya na nyumbani kwa Babu yangu ni bukoba vijijini , jina la kijiji nimelihifadhi , kwenye hicho kijiji hakuna barabara , huduma ya maji watu wanachota kwenye chemchemi , umeme , huduma ya afya na shule ni majanga na watu ni walevi wa pombe za kienyeji na ni masikini wa kutupwa , nyumba ni za hovyo , nyingi ni mabanda ya nyasi na tope chache sana ndo unakuta mtu kajenga mjengo wa maana , it is simply a ghost town to put it into perspective , hebu niambie ni kijiji gani hicho ulichotembelea ukakuta hakuna nyumba ya nyasi..........Tatizo la wahaya ni dharau na nyodo unakuta mtu anakaa kwenye banda la mbuzi halafu anashupaza shingo , kiufupi I'm not proud of my ethnicity as a Haya
asante mkuu kwa kusemaukweli
ukitaka kujua wahaya wakoje angakia pale bukoba mjin palivyokaa kishamba
yaan mji hauna daladala n maajabu,standi ya mabasi INA madimbi utadhan bwawa mjin vumbi tupu sasa huko vijijin si ndo balaa
 
Mtoa uzi pamoja na members wote
1. Umaskin haupimwi kwa kula ugali au nyumba za nyasi.Nadhani kama tukipima umaskin kwa vigezo hivyo tutakuwa tumekosea mno.Nadhani vipo vigezo vya kupima kiwango cha umaskin kuanzia mtu mmoja mmoja na Taifa
2.Jana 27/04/2018 nilikuwa naangalia TBC1 taarifa ya habari wakulima wa Kahawa Kagera kwenye wilaya moja hivi nimesahau kuna wananchi walikuwa wanauza kahawa kwa magendo na DC akamkamata mwenyekiti wa kitongoji kuhusiana na kujihusisha kwake na magendo hayoya kuuza kahawa kiholela tena kahawa mbichi.
3.Suala la maendeleo haliangalii kabila la mtu ni jitihada za mtu mwenyewe na jamii husika inavyohanikiza maendeleo.Hata mimi kwetu kuna maendeleo lakin siwez kuja hapa JF na kuanza kujisifia jamii yetu bora kuliko zingine.

Wandugu ifike wakati zile habari za matambo yasiyo na msingi tukaacha maana hazina msaada sana kwa sasa ni bora tupeane fursa za kujikwamua na umaskini kuliko kujisifia sijui mimi Muhaya bright ,sijui mimi Msambaa tajiri haitusaidii
Watu wamekata tamaa, maana kila wakijitahidi kujitutumua wapate maendeleo serikali yao wenyewe inawarudisha chini.
 
Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .

Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.

Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.
Umenikumbusha Wahaya wa pale Mwananyamala A!
 
Nimefanya Kazi Na Mwijage Muleba Kaskazini,rweikiza Bukoba Vijijini Na Kote Huko Nimezunguka Vijiji Vyote Kiufupi Mleta Uzi Huijui Kagera
 
Nimefanya Kazi Na Mwijage Muleba Kaskazini,rweikiza Bukoba Vijijini Na Kote Huko Nimezunguka Vijiji Vyote Kiufupi Mleta Uzi Huijui Kagera
wanaumwa funza bado
 
Wahaya gani unawazungumzia mimi uzuli nimekaa sana wahaya

Nipo nao hapa manzese darajani yaani wengi wao wananiambia wanajuta kuzaliwa bukoba kwa sababu kuna hali ngumu ya maisha ndio maana wengiiii wanaona bora waje mjini kupiga biashara ya ngono.

Biashara ambayo wanapanga nyumba nzima wanaigawa katika vyumba huku wakiuzaaa papuchii elfu 2 baoo mojaa pamoja na chumba na pia hata baadhi wanaume wanatoa kwa bei cheeee.

Kama kuna mtu anabisha ajee manzese darajani au aende mwananyamala hospitali au buguruni sokoni au temeke hospitaliii .
True
Hawa watu duh!
 
Hiyoo sehemu ipo karibia na hospitali ukishukaaa mwananyamala hospitali na basi utaonaaa kuna nyumba kuna wakina dada wamekaaa kwenye visturi basi wee ukifika ingia ndaniiiiiii.

Ukiingia ndani utampa elfu mbili kinachoendeleaaa utakuwa unajuaa ila ukiwa mgeni mgeni utapigwaa hadi elfu tanooo
Nielekeze vizur mkuu nitembelee hicho kiwanda. Hivo vitu tumeumbiwa
 
Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .

Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.

Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.
Are you sure for what you are talking?.Bukoba ipi unaiongelea?.
Bukoba inahitaji kukombolewa sana kiroho.Ni mkoa ambao haufanani na uhalisia.Watu wanaishi locally sana they bealive much in superstitions than God hasa huko unakosema wewe vijijini.
Ni heri ukaoa mke wa kihaya una neema kuliko ndugu yako akaolewa na muhaya.Siku mkienda au ukaenda kutambulishwa ndipo utajuta na wanaume wengi wahaya wamezaa na wanawake kabila tofauti na kuwaoa hawaendi kuwatambulisha kwao tatizo lipo hapo.
Sina nia mbaya ila uvivu pia ni mkubwa maana hata vibarua wa kukata miwa bukoba kiwandani si wahaya wenyeji hawataki hiyo kazi sasa utawasifiaje watu kama hao.
Simamia ukweli nitakuelewa ila ukweli 70% mnaoolewa na wahaya mko utumwani sana hawajakombolewa sana hasa vijijini ni shida,matambiko mtindo mmoja uchawi balaaa.Duuuuh hapana.
 
Wahaya gani unawazungumzia mimi uzuli nimekaa sana wahaya

Nipo nao hapa manzese darajani yaani wengi wao wananiambia wanajuta kuzaliwa bukoba kwa sababu kuna hali ngumu ya maisha ndio maana wengiiii wanaona bora waje mjini kupiga biashara ya ngono.

Biashara ambayo wanapanga nyumba nzima wanaigawa katika vyumba huku wakiuzaaa papuchii elfu 2 baoo mojaa pamoja na chumba na pia hata baadhi wanaume wanatoa kwa bei cheeee.

Kama kuna mtu anabisha ajee manzese darajani au aende mwananyamala hospitali au buguruni sokoni au temeke hospitaliii .
Wewe fara kweli hao sio wahaya sisi tunajitambua wewe
 
Back
Top Bottom