Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Hii hoja ya kizuzu sana. Mtu ameleta hoja kuntu wewe unaleta uchawa. CHADEMA wanahusikaje na kiwanda wakati msimamzizi wa Sera za Maendeleo na Uwekezaji ni Serikali ya CCM.Tuonyeshe kiwanda hata kimoja cha chadema
Hii nchi imezaliza wajinga wengi sana.