Historia ya Komandoo Tarimo

Mzee umetunywesha sumu siyo kweli,unamzungumzia ni Canal mahfudh siyo Tamim! Ndiyo alipelekwa Msumbiji na alifia huko.

Kwani Kuna Ligi Tunayoshindania Hapa? Haya Basi Ninayemzungumzia Hapo Siyo Wote Hao Bali Ni Commando Yosso Je Una Jingine Tena?
 

Maelezo Meeeeeeengiiiiiiiiiiii Kumbe Unataka Tu Kutuambia Na Kututambia Kuwa Umekaa Kama Siyo Kuishi Nchini Cuba Wakati Huna Lolote.
 
mkuu ni nani huyo? Muweke wazi basi.
mmh sikuwepo na mi napita tu tunasema mabe au asta la vista, le pronchen demain ilikua longi sana no comment mtoa hoja weka wazi basi umalize mchezo
 
Maelezo Meeeeeeengiiiiiiiiiiii Kumbe Unataka Tu Kutuambia Na Kututambia Kuwa Umekaa Kama Siyo Kuishi Nchini Cuba Wakati Huna Lolote.

acha uongo na unafiki kama hujui omba uelimishwe kwa taarifa yako tamim alikua captain sawasawa na akina eugene maganga na zakaria hans pop,
 
ese tipo.es muy mentiroso se habla mierda no sabe nada su puta madre
 
kuna makomandoo huwa wanakuja kwenye maonyesho sabasaba labda mwaka huu atakuwepo unayemuulizia
 
kwahiyo ulitaka kumjua komandoo Tarimo au Tamim

Maana thread imepindishwa sana
 
Kwani Kuna Ligi Tunayoshindania Hapa? Haya Basi Ninayemzungumzia Hapo Siyo Wote Hao Bali Ni Commando Yosso Je Una Jingine Tena?

Sina jingine nilitaka tu kudhihilisha UONGO wako basi otherwise sina cha kujadili na mtu mwongo.
 
Hawa mpango wao ulijeukwa na team zilizo soma Urusi na sundhust.
Sijui Urusi walilishwa nini?
Mcheki mzee Kingunge.......Ndio type hizo.
 
Duu,story taamu.ingetoka ktk kitabu.jina tubadilishe badala ya tamim tuweke mahfhuz
 

Capt Robert namfahamu sana sana,miaka kadhaa huko nyuma nikiwa mdogo nilikuwa nakwenda sana nyumbani kwake na alikuwa akinisimulia story nyingi sana kuhusu hii nchi hata sijui yuko wapi now
 
Kwahiyo huyu Komando Tarimo ndo umempotezea kabisa? Au kwakuwa ni mchaga?
 
Mmenikumbusha mbali kuhusu Komandoo Tamimu. Habari ile ingeweza kutengeneza filamu (based on a true story). Kweli stelingi hafi. Alipouawa Tamimu tu na ladha ya story ikabadilika. Maskini Tamimu! Hivi hakumbukwi kama shujaa?
Hey kwanini waliomuua wasiiitwe mashujaa?
 
namshauri mleta uzi aandike historia ya komandoo hamza kalala au salmin amour. hayo ya tarimo ayaache
 
acha uongo na unafiki kama hujui omba uelimishwe kwa taarifa yako tamim alikua captain sawasawa na akina eugene maganga na zakaria hans pop,

Huna Ukijuacho Wewe Na Nyie Ndiyo Wale Maaskari Mliopona Kupigwa Shaba Na Nduli Amini Na Mkakimbilia Mitaroni Pande Za Kule Kyaka!
 
Sina jingine nilitaka tu kudhihilisha UONGO wako basi otherwise sina cha kujadili na mtu mwongo.

Anyway Basi Tufanye Wote Hao Siyo Makomandoo Bali Komandoo Ni Paul Kagame Peke Yake. Je Na Huyu Nae Utasemaje? Twende Sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…