Historia ya kweli ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda

Ule waraka unaletaje vurugu! hata Bakwata watoe tu si watanzania!
 
pwani ni tanzania sio Rwanda mr mud
Pwani ni sehemu ya tz lkn pwani si tanganyika.

Asili ya watanganyika wa watz kutoka interior (mikoa ya bara).

Tanganyika ni jimbo ktk nchi congo.

Katika kuelekea kuunda serikali ya majimbo, majimbo yote yatakuwa na uhuru zaidi au kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Ndio maana tunasema #pwaniSiTanganyika
 
Acha uongo..
 

Hatuwezi kukulaumu kwa upuuzi huu unaouandika hapa. Tatizo huna elimu wala upana wa mambo. Elimu za kipuuzi huko madrassa ndio mnalishwa mimavi namna hii. Sehemu ya tanganyika haiwezi gawanywa na kuitwa pwani. Hayo ni matamko ya kuonesha ukanda flani kama vile kaskazini, kanda ya nziwa, nyanda za juu kusini. Namashaka na asili yako huenda wewe ni mwarabu wa kizazi chotara usie hata na ndugu arabuni
 
1994....Magerwaa Rwanda nipo na Abdalah Kitambi(nimepotezana nae kwa sasa).....tupo na scania 113...310.....tunarudi Tanzania.....maiti zimelazwa juu ya barabara....tuna amriwa tuzikanyage...daaah...akili ziliniruka kabisa...sikuwa kwenye hali ya kibinadamu ..........tukio hili lilinifanya nionje pombe na fegi....lakini Mungu alinijalia nikaweza kuacha..."binadamu ni kiumbe hatari sana".
 
Nilipaswa kukupuuza. Hata hivyo nafsi ikasema nikuelimishe.

1. Unaumwa ugonjwa wa Stockholm. Na matokeo yake unawapenda waliokudhulumu na kuwachukia wanadhulumiwa.

Pwani si Tanganyika ni vuguvugu la ukombozi kutoka ktk serikali ndani ya serikali ya ccm kupitia imani ya kijamaa. Ujamaa ni laana kwetu.

Lkn kwa kuwa uko contaminated na athari za Ujamaa. Leo uko tayari kuwatukana wanaotaka kujivua na kuiondoa imani hii ukanda wa pwani.

Tutauondoa kwa kutumia sera ile ile ya chadema.

Kutoa uhuru zaidi au kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe ndani ya majimbo 10 ya chadema
 

Hata baba yako na babu yako waliikuta ardhi hii ni moja na kamwe haiwezi kugawanywa. Pwani ni sehemu ya Tanganyika wala sio sehemu ya dubai au oman. Ujamaa upi bwana kobazi? Una matatizo ya akili pia udumavu wa akilini na mwili.
 
Hata baba yako na babu yako waliikuta ardhi hii ni moja na kamwe haiwezi kugawanywa. Pwani ni sehemu ya Tanganyika wala sio sehemu ya dubai au oman. Ujamaa upi bwana kobazi? Una matatizo ya akili pia udumavu wa akilini na mwili.
Kupitia fikra mpya kwa maana ya falsafa mpya yawezekana.

Kabla ya Tanganyika kulikuwa na dola kubwa moja. Iliyoanzia Somalia, Kenya, tz, znz, mozambique, hadi Zimbabwe. Walikuwa na pesa yao. Dola hiyo ikijulikana kama kilwa. Leo kiko wapi.

Hata hivyo unahitaji kusoma sana vitabu vya falsafa, Kwani kusoma sana ni kuona sana.

Nikuulize, unaishi dar au wapi.
Nikuulize; kwa mara ya kwanza uliwaona watu wa pwani ulipokuja dar.
Je pindi ulipowaona uliona wanafanana na watu wa miji ya kwani kule interior huko ileje, tukuyu, ngarinalo nk.

Bila shaka jibu ni hapana.

Ndio maana nasema sisi ni watu wa pwani. Wakati wakoloni sisi hatukuwa sehemu ya watanganyika.

Kuhusu Ujamaa na itikadi yake ya Usekyula hii kwetu ni jinamizi. Limeturudisha nyuma sana. Namna pekee la kuliangamiza ni kuuondoa mfumo wa serikali kuu na kusaport mfumo wa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi au kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe
 
Duh!Kwa hiyo mlizikanyaga mkuu?.
 

Una matatizo ya akili pia haupo timamu kimaarifa. Unajumaa hata maana ya falsafa kweli?. Nina shaka na race yako toka awali huenda wewe ni chotara wa kiarabu, babu zako walibaka bibi zetu ndio mkatoka nyinyi ambao wengi wenu hamna hata ndugu huko arabuni.
Eti watu wa pwani ndio kina nani hao maana bara la africa kusini mwa jangwa la sahara ni waafrika halisia. Hao machotara vizazi vya wabakaji sio race ya Africa wewe pia ukiwemo. Viongozi wa kiserikali si unawaona? Je ni race ya pwani, Jibu ni Hapana. Dar es salaam yote imejengwa na kutawaliwa na watanzania weusi tii hata wavaa kobazi mamia kwa mamia wameuza majengo hao hapo kkoo kwa wachaga, wakinga, waha. Watu wa pwani ndio wapi hao, Hawa wazee wa dar es salaam weusi tiiiii au machotara feki?
 
Uliyoyasema yote yanakaribia ukweli kwa 90%.

Ajenda iliopo na si siri.... pwani si Tanganyika ni ajenda yenye lengo la kui conquer daru salaam urudi miongoni mwetu.

Tuilinde na tuwadhitibi ninyi mulioyoiteka, ninyi munayoitawala dar kwasasa.

Hili litawezekana kupitia kuundwa kwa chama kipya cha kisiasa ngome yake ukiwa ni mwambao wa tz.

Hili yawezekana kwa kuwatumia watu wa pwani kwa kuwa wana falsafa na itikadi inayofanana. Tofauti na yenu
 

Pwani ni Tanganyika ila wewe sio mtanganyika maana huna ndugu weusi wewe ni uzao feki hata babu zako historia yao huijui na hujui wako wapi binafsi yako na wenzako hata koo wala kabila nchi hii nyinyi vyote hamnavyo. Ajenda iliyopo toka zamani ni kupoka mamlaka toka kwenu na hilo limefanikiwa kwa 100% kwasasa hamna ushawishi, nguvu Hadi mamlaka. Babu zako feki walifanywa vibaya na karume, baba wa taifa genius kambarage aliwatupilia mbali mlipojaribu kuinua midomo hayati mkapa aliwaonesha rangi halisi ya wamiliki wa tanganyika.

Lakukwambia ni kuwa huna/hamna uwezo wala nyenzo za kuigawa pwani kwanza pakuanzia huna watu huna mitaani hadi serikalini au uraini. Chakukushauri fuga sana kuku kuliko kuwa na mawazo ya kijinga na kipuuzi namna hio.

Hujui maana ya itikadi, hujui maana ya falsafa pia hujui nini unataka kwa lugha ya kawaida tunasema unatapa tapa. Dar es salaam kwa 99% ni waafrika weusi tiiiiiiiii. Mbwa nyinyi 1% mtafanya nini, jaribu hata kujamba uone kipigo chake.
 
Hahahahaha ndugu unafurahisha sana. Hujui mikakati, we subiri mafungu yaingie.
Si unasema hatuna ndugu,

Ndugu Pesa ina nguvu hata wewe utaimba nyimbo tunapotaka uimbe
 
Wafanganye hao hao mauaji mpange wenyewe na muandike wenyewe
Tunaijua hiyo
 
Duhh mleta mada nimegundua usemi usemao no evidence no right to speak
na namanisha unaweza mlaumu Kagame kwa mambo kadhaa kumbe ana historia muhimu sana kwa nchi ya Tanzania,Uganda,Msumbiji na hata Congo ndio maana namuita brilliant solder anayeona mbali fikiria mtu uko nchi za watu kupigana ajili yao kumbe lengo ni kupata mafunzo hii ni akili
 
Mtoa mada ahsante sana wako wanaokukatisha tamaa kuwa umeiba mada ya bold lakini wanashindwa kujua ukweli kwamba mambo mengi tunayofanya ya kiuandishi ni copy and paste.
Hata wagunduzi wa sayansi wengi wamefanya makubwa yao kwa ku copyy kwa watangulizi wao ni jambo la kawaida suala ya la kumuomba bold kuwa ume m quote tunawachia wenyewe.
Ngoja nikapumzike nitaendelea kesho sehemu ya 12
Nikifika mwisho nitatoa mawazo yangu kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…