Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Watetezi wa mkataba mnatuona tunaohoji kuwa hatuna akili si ndiyo?Ndio maana mnaambiwa wengi mnaochangia huo mkataba hamna uelewa na uwekezaji. Lini uwekezaji tena Long Term uliwahi kuwa na Tenda? Uliwahi kusikia tenda kwenye Migodi? Uliwahi kusikia tenda kwa Dangote kwenye kufungua kiwanda cha Saruji kule Mtwara?
Au unahisi wanataka kusupply maandazi hapo Bandarini?
Ingekuwa mna amri walah mngeminya pumzi zetu.
Pole sana kwa kuingizwa chaka