Historia ya maisha yangu, chamgamoto niliyopitia mpaka kufanikiwa kufunga ndoa

Historia ya maisha yangu, chamgamoto niliyopitia mpaka kufanikiwa kufunga ndoa

sankara25

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2022
Posts
389
Reaction score
789
Wakuu habarini. Mtanisamehe kdg kwa uwandishi wng Kama mada apo juu inavyosema nitasimulia niliyopitia mpaka kufanikiwa kufunga ndoa na mke wng.

Mimi ni mtot wa 2 katika familia yetu tuliobahatika kuzaliwa 5 mimi nikiwa ndie mtoto pekee wa kiume kwa upande wetu sisi mzee alikua na wake 2 mke wa kwanz pia alibahatika watot 3 wote wa kiume wakubwa zangu.

Mama angu alikua ni mwalim wa skuli ya maandalizi (nursery) sikubahat kuishi na mama angu kwa mda mrefu kwa sabab bahat mbaya aliugua maradh kwa mda mfupi san akapoteza maisha hapo ndipo familia yetu ya ikasambaratika na me nikaangukia mikononi mwa mjomba angu kwa ajili ya kunilea nashukuru Mungu yeye na mke wake hawakunibagua wala kuninyanyasa kwa namna yoyote ile nimeishi kwa mjomba tangu nikiwa mdog mpak nimefikia umri wa kuoa.

Baada ya kumaliza shule kidato cha 4 kwa kupat cheti tu sikubahatika kuendelea. Nilikaa na baba akatak kuniajir kweny kweny biashar yake (filling station) kuuza mafut ya magar nikakataa nikwambia me natak nikafungue duka la viatu so akanielewa akanipa mtaji kdg na nyengin nilivuta kweny acc yng kumbuka nikiwa mdog kbs baada ya bimkubwa kufariki na kwa vile alikua mtumish na me ndo mtot peke wa kiume ilibidi nifunguliwe acc ya bank kwa jina langu na mafao yote ya bimkubwa yakaweka umo sikuruhusiwa kutoa mpk nitimize miaka 18 baada ya kumaliza shule nikawa tyr nimetimiza 18 siku 1 tukaenda bank na mzee kueka sw acc sas nikaruhusiwa kutoa hela nikasafir mpk DSM nikafunga mzigo wa viatu nikarudi frem sikukodi. kuna frem mjomba alikodi aliwapa watu wafanye biashar ikawashinda wakaifunga so me nikaweka mazingir sw nikatia mzigo ikawa kila baada ya miezi 3 nasafir kwenda DSM kuchukua mzigo harakat za kusaka maisha zikaendelea kwa no iyo.

Mzee alikua na wake 2 so daily saa1 usku nina kawaida ya kwenda kumsalimia na kumpatia mahitaji yake anayoyatak.
Nakumbuka Kuna siku alinambie usiku usiku niende kazin kwake kujifunza kaz na kupat uzoefu kwa sabb mfanya kaz wake 1 alikua anazingua ni mwanamke na ni jamaa yatu pia iyo sehem yake ameajir wanae tu hamna mtu baki yaaan so uyo bint akawa anazingua mara aende kazin siku atakazo mar achelew kwenda kazin so ikabidi atafute mbadala wake ambae ni me kumbuk uku me nina biashar yng na nishaanza kuona muelekeo freshii tu

Nitaendelea baadae
 
Wakuu habarini. Mtanisamehe kdg kwa uwandishi wng Kama mada apo juu inavyosema nitasimulia niliyopitia mpaka kufanikiwa kufunga ndoa na mke wng.

Mimi ni mtot wa 2 katika familia yetu tuliobahatika kuzaliwa 5 mimi nikiwa ndie mtoto pekee wa kiume kwa upande wetu sisi mzee alikua na wake 2 mke wa kwanz pia alibahatika watot 3 wote wa kiume wakubwa zangu.

Mama angu alikua ni mwalim wa skuli ya maandalizi (nursery) sikubahat kuishi na mama angu kwa mda mrefu kwa sabab bahat mbaya aliugua maradh kwa mda mfupi san akapoteza maisha hapo ndipo familia yetu ya ikasambaratika na me nikaangukia mikononi mwa mjomba angu kwa ajili ya kunilea nashukuru Mungu yeye na mke wake hawakunibagua wala kuninyanyasa kwa namna yoyote ile nimeishi kwa mjomba tangu nikiwa mdog mpak nimefikia umri wa kuoa.

Baada ya kumaliza shule kidato cha 4 kwa kupat cheti tu sikubahatika kuendelea. Nilikaa na baba akatak kuniajir kweny kweny biashar yake (filling station) kuuza mafut ya magar nikakataa nikwambia me natak nikafungue duka la viatu so akanielewa akanipa mtaji kdg na nyengin nilivuta kweny acc yng kumbuka nikiwa mdog kbs baada ya bimkubwa kufariki na kwa vile alikua mtumish na me ndo mtot peke wa kiume ilibidi nifunguliwe acc ya bank kwa jina langu na mafao yote ya bimkubwa yakaweka umo sikuruhusiwa kutoa mpk nitimize miaka 18 baada ya kumaliza shule nikawa tyr nimetimiza 18 siku 1 tukaenda bank na mzee kueka sw acc sas nikaruhusiwa kutoa hela nikasafir mpk DSM nikafunga mzigo wa viatu nikarudi frem sikukodi. kuna frem mjomba alikodi aliwapa watu wafanye biashar ikawashinda wakaifunga so me nikaweka mazingir sw nikatia mzigo ikawa kila baada ya miezi 3 nasafir kwenda DSM kuchukua mzigo harakat za kusaka maisha zikaendelea kwa no iyo.

Mzee alikua na wake 2 so daily saa1 usku nina kawaida ya kwenda kumsalimia na kumpatia mahitaji yake anayoyatak.
Nakumbuka Kuna siku alinambie usiku usiku niende kazin kwake kujifunza kaz na kupat uzoefu kwa sabb mfanya kaz wake 1 alikua anazingua ni mwanamke na ni jamaa yatu pia iyo sehem yake ameajir wanae tu hamna mtu baki yaaan so uyo bint akawa anazingua mara aende kazin siku atakazo mar achelew kwenda kazin so ikabidi atafute mbadala wake ambae ni me kumbuk uku me nina biashar yng na nishaanza kuona muelekeo freshii tu

Nitaendelea baadae
Watataka kujua ni chai au ni halisi?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Andiko lako halina nukta wala mkato. Linazidi kuchosha maana lina series
 
Ikabidi nikubaliane na mzee usiku usiku niakanza kuhudhuria kazin baada ya siku chache tu nikawa niko freshi mzee akanambia usisafir ten kwenda kuchukua mzigo malizia uwo ufunge duka uje uanze kuuza mafuta shif ya asubuh, nikafanya ivo nakumbuka zilibakia pea chache tu kama 10 sjui ata nilizitupa wap nikafunga duka.

kabla ya kwenda kuanza kaz ya kuuza mafuta nilimuliza mzee utanilipa bei gan kwa mwezi?, Alinambia apa hamna ata mtu mmoja anaelipwa kwa mwez isipokua utapat marupu rupu tu kwa siku uwo ndo utakua mshahara wako. Rasmi nikaanza kaz ya kuuza mafuta, kiukwel mda mchache tu nikapat mafanikio maana kwa siku nilikua sikosi elfu 40 siku nyengin zinafika mpaka elfu 60. Baada ya miezi kadhaa nikanunua kiwanja chenye thaman ya M6 nikakijenga fondeshen nayo ikanigharim kama m6 vile vile jap haikuisha ilibakia sehem ya kufunga ukanda ili isipasuke. Maisha yakaendelea

Kwenye upande wa mahusiano sikua na mambo mengi nilikua na mtu wng 1 tu tukawa tuna date hamna mtu yoyote anajua sio kwao wala kwangu ikafika kipindi kwao akwa wanaletwa wachumba aolewa ila anakata kwa sabab yng nikitak kwenda kujitambulish kwao anakataa anasema bado mapem wakat tushakul kama mwaka ivi tunadate coz tulikua jiran tu.
Siku mmoja nimekaa ofisin na mmama mmoja anatok tasisi flani tunafany nao biashar ya mafut akaja msichan yule mmama alinitambulish mwanagu uyu, nilistajab kwanz coz mtot amepanda hewan bala kusema ukwel nikamuelwa san baada ya siku chache nikachukua no yake nikafana yng tukaanza kudate yule mwengin nikapiga na chin sikupenda kuchanganya na kudanganya watoto wa watu.
 
Bahat mbay sana mzee aliumwa gafla usku uwo uwo akafariki tukazika maisha yakaendelea.
Tuliadate kama mwaka ivi wakatokea wanaume wakata kwenda kumposa wamuoe 😂 kwa sabab ilikua ndo amemaliz form 4 daah ikabini awakatae akambiwa mlete uyo wako nikajitokeza bila hiyana tukaendelea kudate baada ya mda nikaanza kuekewa zogo sas ndoa lini ee ndoa liniii 😁 ikabidi tuende kwa baba ake tukadaiwe mahar coz walishatengan na mama ake kila mtu anaish kivyake,
Wakat tunaenda kudaiwa mahar nilikua nina hakiba yng ya kama milion 3 na nusu ndani nikatoa laki 3 tukaenda tukadaiwa mahar yenye thaman ya kama milion 3 ivi pmj na hela za wazee laki 3 tukaitoa zile tukawambia tukikamilisha tutawajuilisha.

Tukarudi tukaanza ku discuss me na mjomba wap nitaenda kukaa me kiupande wng nilipendekez nikapange ila mjomb alipinga ilo wazo kuna nyumba yake 1 alikua anaka akahama akamuachia mdog wake chumba 1 yeye akahamia nyumba mpya me sikulikubal ilo wazo kiukwek nilitak nipate uhuru na mke wng sikutak buguza ya ndug wala naniii.

Akaja na wazo jengine kuna kiwanja alinunua ilikua nyumba ilishaaanza kujengwa kama kozi 5 ivi akanambia kama utakua na hela kdg kanyanyue vyumba 2 uishi apo baadae nitakulipa gharam zako nikakubaliana na wazo lake tukaita fundi tukabadil raman ya nyumba baadhi ya kuta tukazivunja tukaanza kujenga ilibidi kwanz tunyanyua vyumba vyote 4 halaf ndo nifanye finishing upande wng ule upande mwengin nimuachie mwenye kwa upande wng kulikua na vyumb 2 kimoja master sebule choo na jiko so upande mwengin ulibakia vyumba 2 master na sehem ya jiko kiukwel nilitoa hela mpaka nikabaki cn mia nyumba mpk inafikia sehem ya kuezeka nilibabikiwa na akiba ya milion 1 tu
 
Tunaendelea tulipoishia baada y nyumba kufikia hatua ya kuezeka. mjomba akatafuta fundi wa kuezeka akaleta na miti ya kuezekea, me nikaenda kukopa bati kwa msaada wa mamamkwe wng bati zikaletwa nyumba fasta ikaezekwa,
Baada ya kuezekwa nikaanza kufuatilia umeme nilikua nishalipa laki 2 kama miezi 2 nyuma ikawa bado kuja kuunganishiwa tu coz walishakuja kufanya makadirio. ile hakib yng ya m1 nayo ikamalizia finishing ya ndan tumepiga plasta sehem zote na room yng nimepiga gypsum board na rangi.
Nakumbuka mpak Alhamis bado mafundi walikua hawajamliz kujenga walikua wanajenga mpak usiku.
Niliaza kuhangaikia umeme kwa kumpigia cm afisa utumishi wa umeme akawa anazingua tu nae imebakia kama week 1 ivi nikaoe ananambia siwez kuunganishiwa kwa sas coz mita zilikua hamna. Nikaongea na katibu tawala mkoa nae mpaka inafika Alhmais asubuh bado sjaunganishiwa umeme na imebakia siku 1 t nikachukue mke wng. Mchana Mh Dc akanipigia simu alikua nashida binafs na pia kunambia naskia unaoa hatualikani nikamwambia mamb yamekua mengi mkuu nikamchomekea kuhuc umeme akanambia ucjl watakuja kuluekea leo leo ata kama ni usku mda ukaenda mpka katib na saa 1 uskvnimetok kuoa Mh Dc akanipigia ten cm na kunambia nishaongea nao watakuja kukuekea umeme leo leo nikamwambia ok Asant.
Tupo site usiku kama mida ya saa 2 ivi ikaja gar ya shirik la umeme jamaa analalamika hatar 😂 tangu asubu yup kazin anatak kwend kupumzik ndo anapokea cm za wakubwa ikabidi aniombe kuwa atakuja kesh yake mapem san wakubwa wakiniuliz niwambia ameshakuja kuunga nikamwambia ok, Asubuh saa 12 alaniungia umeme ukawaka mchan watu wanakulala ubwabwa wa haruc me ata sikuuonja kbs nilienda kufuata kitanda dressing table na kabati ata maliza kuset ni kama saa 9 na nusu nikaenda home kuoga na kwenda kujiandaa na kuchukua mke saa 1 naingia ndani kiukwel nilichoka kama punda 😂 mpk sas nina madeni lukukiiii yameniadama napambana kuyalipa .

Mwisho.
 
Mkuu sankara 25 mbona hujasema unadaiwa kiasi gani ? Lakini pia bado uko kazini ili tukuambie upambe vipi kulipa madeni
Deni lilobakia sio kubwa san ni kama milion 2 na laki 7 izo laki 7 za mabat na izo m2 ni za wife alinipa kitambo san kabla ata cjamuoa ila ilo haliniumizi kichwa saan nitalilipa ata 2030 uko tukijaliwa uhai na kuhuc kazin bado nip na me na bro ndo wahusika wakuu ila mzee baada ya kifariki aliache deni kubwa san tunapamban kulipa mda c mrefu tutaanza kuona faida
 
Deni lilobakia sio kubwa san ni kama milion 2 na laki 7 izo laki 7 za mabat na izo m2 ni za wife alinipa kitambo san kabla ata cjamuoa ila ilo haliniumizi kichwa saan nitalilipa ata 2030 uko tukijaliwa uhai na kuhuc kazin bado nip na me na bro ndo wahusika wakuu ila mzee baada ya kifariki aliache deni kubwa san tunapamban kulipa mda c mrefu tutaanza kuona faida
Pole sana ila hongera kwa jitihada zako
Hiyo 2 million kaa na mkeo mpe uhalisia wa uchumi wako sasa kuwa akuvumilie muda wa kulipa utalipa ukipata la haujapata hakusamehe .

Mengine hayo mepesi kama umepambania hayo ya mwanzo.
 
Back
Top Bottom