Historia ya mapenzi ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron

Historia ya mapenzi ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron

Kwa umri walionao sasa, Mama atakuwa ameshafikia kipindi cha kutozaa tena.
Huenda kwa sasa ni hivyo.
Ila sema hao hua hawazai sana hata watoto wawili tu wanatosha
 
Tukiwa form 4,
Kuna jamaa angu MAGNUS aliwahi mtongoza madam wa Field kwa njia ya barua,
Akafunguka kila kitu jins gani anavyomfeel

Kilichotokea Sasa[emoji2],
Madam kumkomesha alikwenda kuisoma barua ya jamaa mbele ya SCHOOL ASSEMBLY.

Jamaa alikula viboko Sana na akapewa suspension ya miez 2[emoji4]

WAAFRICA KWENYE SUALA LA MAPENZI, MAHUSIANO na MAHABA bado Sana.[emoji4]
Macron angekuwa mtz lazma huyo bibi angeambiwa kamloga si bure
 
Dogo atakuwa alipulizwa mqund na ganzi ya ubongo wake yote imeganda dadekii.

Maana wa bibi wana kiarufu flan cha kizee sa kama Jombaa ana kaza basii atakuwa vzrii

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Niliamua kumpenda mwanamke mmoja tu ambaye ni na do nae, kwa sababu kuna mwanamke nilitokaga nae ile anapanua mguu hata sikuingizaa nikaamua kuondoka, hadi leo naona kinyaa.... Wanawake wapo wananuka
 

Ulishawahi kusikia japo kwa uchache kuhusu Emanuel Macron Rais wa sasa wa ufaransa? Je ushawahi kusikia kuhusu mke wake?

Ni hivi Rais Emanuel Macron wa ufaransa ana miaka 43 ndio rais kijana kuliko maraisi wote waliowahi kuiongoza ufaransa

Emmanuel Macron alianza kumpenda mwalimu wake wa darasani aliyeitwa rigitte Trogneux, kipindi hicho Emanuel Macron akiwa na miaka 15 huku Mwalimu rigitte Trogneux akiwa na miaka 39

Lakini Walianzisha mahusiano yao rasmi baada ya Emanuel Macron kutimiza miaka 18....licha ya jitihada mbalimbali zilizofanywa na wazazi wa Emanuel Macron ili waweze kuwatenganisha wasiwe kwenye mahusiano lakin hawakufanikiwa

Ukumbuke binti wa Mwalimu rigitte Trogneux alikuwa anasoma darasa moja na Emanuel macron.... Hebu vuta taswira yaan mtu unasoma darasa moja nae halafu ndio mpenz wa mama yako mzazi

Mwaka 2006 Mwalimu Rigitte Trogneux aliachana na mume wake na mwaka 2007 aliolewa na Emanuel Macron ....huku Rigitte Trogneux akiwa na watoto watatu kati ya hao wapo waliomzidi umri mumewe wakati Emanuel macron hana mtoto hata mmoja

Emanuel Macron amezidiwa miaka 24 na mke wake huyo

Emanuel Macron amezidiwa miaka 3 na mtoto wa Kwanzaa wa mke wake

Je, wewe unaweza kuwa na mahusiano na mtu aliyekuzidi zaidi ya miaka 20?
Dhara la kwanza ona huyo macron alivyo zeeka kuliko hata huyo bibi
 
NI BORA KUOA MWANAMKE MZEE AMBAYE ANAWEZA KUKUSAIDIA KUTIMIZA NDOTO ZAKO NA FURAHA YAKO YA MILELE, KULIKO KUOA MWANAMKE KIJANA AMBAYE ATAZIMA NDOTO ZAKO ZA MILELE..... NI KHERI KUOA KAHABA KULIKO MTAKATIFU WA USONI

KUNA WATU MTAGOMA, ILA HUU NDIYO UKWELI
 
Sisi waafrika kuna baadhi ya mambo hua tunafeli kwa mfano mwanafunzi akimfuata mwalimu na kumtongoza, mwanafunzi huyo atacheza hatari.
Ila wenzetu mwalimu atamukataa na kushukuru pia kwa swala hilo.
UNATAKA PAPUCHI YA MWALIMU WAKO? HAUNA ADABU KABISA WEWE
 
NI BORA KUOA MWANAMKE MZEE AMBAYE ANAWEZA KUKUSAIDIA KUTIMIZA NDOTO ZAKO NA FURAHA YAKO YA MILELE, KULIKO KUOA MWANAMKE KIJANA AMBAYE ATAZIMA NDOTO ZAKO ZA MILELE..... NI KHERI KUOA KAHABA KULIKO MTAKATIFU WA USONI

KUNA WATU MTAGOMA, ILA HUU NDIYO UKWELI
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Makoronya alikua anakula muke ya mutu tokea yupo shule.
Hapa amekosa sifa ya kua kiongozi wa nchi kwa utovu wa maadili.
 
We acha tu,nikimchekigi lady Madonna hadi leo mate yananidondoka,kuna mwingine nilikutana naye moshi mjini anauza kwenye pharmacy yake mashaallah!! Kaumbika haswaa,mrembo kabisa yaani,nadhani alihisi tu kuwa nimemtamani,kwenye story story sijui ilikuwaje akaniambia "mimi ni bibi yako eti" kumuuliza umri wake ananiambia ana 68yrs!! Nikachoka,ila hadi leo ananipogiaga simu na kunitania tania,kama vile alishakubali kimoyomoyo
 
Ndoa yao ina miaka 14 from 2007. Na ninavyowaona hawana mipango wa kutengana. Kwa tofauti ya umri wao wanahitaji pongezi kubwa mno. Na wamefanikiwa kimaisha kabisa. Kuna cha KUJIFUNZA Ila ki Afrika utaambiwa ni laana kuoa mwanamke umri sawa na wa mama yako Ila hatusemi wanaume wanaooa wake wadogo umri sawa na wajukuu zao. This is Africa!!!
 

Ulishawahi kusikia japo kwa uchache kuhusu Emanuel Macron Rais wa sasa wa ufaransa? Je ushawahi kusikia kuhusu mke wake?

Ni hivi Rais Emanuel Macron wa ufaransa ana miaka 43 ndio rais kijana kuliko maraisi wote waliowahi kuiongoza ufaransa

Emmanuel Macron alianza kumpenda mwalimu wake wa darasani aliyeitwa rigitte Trogneux, kipindi hicho Emanuel Macron akiwa na miaka 15 huku Mwalimu rigitte Trogneux akiwa na miaka 39

Lakini Walianzisha mahusiano yao rasmi baada ya Emanuel Macron kutimiza miaka 18....licha ya jitihada mbalimbali zilizofanywa na wazazi wa Emanuel Macron ili waweze kuwatenganisha wasiwe kwenye mahusiano lakin hawakufanikiwa

Ukumbuke binti wa Mwalimu rigitte Trogneux alikuwa anasoma darasa moja na Emanuel macron.... Hebu vuta taswira yaan mtu unasoma darasa moja nae halafu ndio mpenz wa mama yako mzazi

Mwaka 2006 Mwalimu Rigitte Trogneux aliachana na mume wake na mwaka 2007 aliolewa na Emanuel Macron ....huku Rigitte Trogneux akiwa na watoto watatu kati ya hao wapo waliomzidi umri mumewe wakati Emanuel macron hana mtoto hata mmoja

Emanuel Macron amezidiwa miaka 24 na mke wake huyo

Emanuel Macron amezidiwa miaka 3 na mtoto wa Kwanzaa wa mke wake

Je, wewe unaweza kuwa na mahusiano na mtu aliyekuzidi zaidi ya miaka 20?
Hapana,siwezi!
Kwahiyo hatapata watt? Huyu macron vipi?
 
Back
Top Bottom