Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Hata hizi movie za Action nina wasiwasi nazo maana zinatia watu ujasiri
hapana hawa watu saikolojia yao haiko vyema .. ukijumlisha na majani...
kwakweli hata mimi ningekua huko saikolojia yangu isingekua vizuri.... watu wa huko kuona maiti hawaoni ajabu,hasa iliyochinjwa au kukatwa katwa..
mwingine una shuhudia mzazi,mpendwa anachinjwa...hivi huyo mchinjaji ukikutana nae kwa anga zako humchinji kweli?

Hawa watu wamejeruhiwa fikra zao sana... Mungu awasaidie
 
Ndio nasema congo hakujawahi kuwa na genocide dhidi ya wanyamulenge au banyarwanda.... Nachojua wanyamulenge walikuwa an rebel group na walipigana vita dhidi ya rebels wengine so haikuwa genocide usipotoshe ila ilikuwa bunduki kwa bunduki

Genocide pekee ni ya kagame kuchinja wahutu huko uvira takriban million 3 kutokea october 1994 mpaka february 2003
Oook saw naona Nawe ni wale wale ndo maana mnatukanwa na jestikiller maana wewe unaonesha mihemko yako juu ya kagame but Poaa kaa hivyo hivyo
 
hapana hawa watu saikolojia yao haiko vyema .. ukijumlisha na majani...
kwakweli hata mimi ningekua huko saikolojia yangu isingekua vizuri.... watu wa huko kuona maiti hawaoni ajabu,hasa iliyochinjwa au kukatwa katwa..
mwingine una shuhudia mzazi,mpendwa anachinjwa...hivi huyo mchinjaji ukikutana nae kwa anga zako humchinji kweli?

Hawa watu wamejeruhiwa fikra zao sana... Mungu awasaidie
Ilikuwa Zamani
 
Ila mkuu bwana Habib....
huu uzi umejaa sifa za kagame kama vile ndio main point, Nyuma ya maelezo yani umempamba kweli kweli , na sio kuelezea kilichotokea... au mm nawaza vibaya wakuu?

Kwani stori imeisha.?????? au unaweweseka tu na kuonesha mihemuko ya Uchadema na uccm weny tulia dawa iingie
 
hapana hawa watu saikolojia yao haiko vyema .. ukijumlisha na majani...
kwakweli hata mimi ningekua huko saikolojia yangu isingekua vizuri.... watu wa huko kuona maiti hawaoni ajabu,hasa iliyochinjwa au kukatwa katwa..
mwingine una shuhudia mzazi,mpendwa anachinjwa...hivi huyo mchinjaji ukikutana nae kwa anga zako humchinji kweli?

Hawa watu wamejeruhiwa fikra zao sana... Mungu awasaidie

Haki haijawailetwa mezani ndio maana hata nchi yenu mmekaa kimaskini sana hamjielewi mmerizika na maisha yenu haya ya kubangaiza bangaiza ndio maana unashangaa shangaa tu
 
Haki haijawailetwa mezani ndio maana hata nchi yenu mmekaa kimaskini sana hamjielewi mmerizika na maisha yenu haya ya kubangaiza bangaiza ndio maana unashangaa shangaa tu
Tango ,Bravo hahaaaaa!!!!!!!!!
 
Kwani stori imeisha.?????? au unaweweseka tu na kuonesha mihemuko ya Uchadema na uccm weny tulia dawa iingie
Dawa iingie aliekwambia ana kidonda nani?
Tumekuja kusoma Ya miserable past .... Kwa hali hii ndio maana wahutu waliwa brand kama "inyezi"
Nchi kutoa product kama wewe, hapana shaka ndio maana mlichinjana... maana umekaa kimachettemachette[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

akili zinaruka ruka kama maji ya mwambao wa Pemba[emoji23] [emoji23]
 
Ila mkuu bwana Habib....
huu uzi umejaa sifa za kagame kama vile ndio main point, Nyuma ya maelezo yani umempamba kweli kweli , na sio kuelezea kilichotokea... au mm nawaza vibaya wakuu?
Soma kama story tu kiongozi uhalisia wa aliyoandika ni mdogo sehem kubwa ni movie ya kutuamisha kuwa Pk ni bonge la kiongozi na rwanda ni mbingu ndogo ila bado nasema ni vile haki ya kukosoa ni ndogo kwao ila ingekuwa kubwa kuna mengi sana pale na ni kama nchi zingine za afrika tu isipokuwa baadhi ya barabara zilizopandwa ukoka
 
Ndio nmekwambia miaka 50 nchi ya watu million 50 utalinganishaje na kamkoa ka rwanda ni sawa na ulinganishe dar es salaam na rwanda hapo sawa sio kulinganisha nchi na mkoa hapo unajidanganya tu...... Nchi ina demands nyingi population structure kubwa.... Needs nyingi kwa mfano mkoa wenu unahitaji airport kamoja tu ila Tanzania inahitaji airport zaidi ya 50 ili iweze kuwa na usafiri wa ndege wa uhakika sasa kagame angeyaweza hayo ????

Kanchi kenu ni kadogo kumanage ndio maana mnaringia so called uchumi stable.....

So what?? Hata kina kayibanda na habyarinana na gacamera na bishop paeredin mliwatukana hivi hivi kuwa WANALALAMIKA SO WHAT ila miaka 50 ijayo watu watakuwa wanalia kusoma kuhusu mtakavyochinjwa kma kuku hapo mbeleni ambapo sio mbali sana

Watutsi jirekebisheni acheni dharau mb.wa nyie wote sisi wanadamu kujifanya mko juu ya wabantu haitowasaidia lolote mtaishia kuchinjwa na kuanza kulialia nakutujazia wakimbizi kule kigoma kma mlivyojaa manyovu sijui ngara huko mtatuletea mzigo so tunawashauri ili mtuepushe na dhahma ya wakimbizi you cockroaches maana kodi yangu itatumika
Mkuu unamaanisha ka nchi kao ni kama gheto la msela ukishanunua kitanda na sofa upande mmoja na kapeti dogo umeshamaliza[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Soma kama story tu kiongozi uhalisia wa aliyoandika ni mdogo sehem kubwa ni movie ya kutuamisha kuwa Pk ni bonge la kiongozi na rwanda ni mbingu ndogo ila bado nasema ni vile haki ya kukosoa ni ndogo kwao ila ingekuwa kubwa kuna mengi sana pale na ni kama nchi zingine za afrika tu isipokuwa baadhi ya barabara zilizopandwa ukoka

Paul Kagame Again .. hiyo CCM yenu Tz vipi imeacha kuwatafuna halafu sasa hivi mnahubiriwa ccm mpya bombadia zimekamatwa mnapga watu risasi makinikia hamjalipwa Gesi mmetapeliwa.
 
Mkuu unamaanisha ka nchi kao ni kama gheto la msela ukishanunua kitanda na sofa upande mmoja na kapeti dogo umeshamaliza[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Kama ni nchi ndogo kwanini wanaipa airtime humu ndani .???
 
Soma kama story tu kiongozi uhalisia wa aliyoandika ni mdogo sehem kubwa ni movie ya kutuamisha kuwa Pk ni bonge la kiongozi na rwanda ni mbingu ndogo ila bado nasema ni vile haki ya kukosoa ni ndogo kwao ila ingekuwa kubwa kuna mengi sana pale na ni kama nchi zingine za afrika tu isipokuwa baadhi ya barabara zilizopandwa ukoka
utakuta *Kagame ni Born tactician every move he make means something*

Hujakaa vizuri utasikia "Pk ni master of psychological warfares"

mara pk ni Genius
Too Much bla bla blaaaaa

the bold kaelemea kabisa upande mmoja
Angeandika tu PK From Uganda military General to Rwanda president....
 
Back
Top Bottom