Inabidi sasa Rwanda iwe mkoa mpya wa Tz
maana sio kwa kutifatilia huko kama mbunge wa Mkoa wa Rwanda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
come on baby... mind yo own business
Umeme unakata,shinyanga hakuna madawati werevaaaaa...
Tz inabaki kuwa Tz na nyinyi mtabaki kuwa wakimbizi wetu sikuzote...mtakaa hapa hapa kusiko na umeme,ndege,madawati na huyo dikteta wenu wa Taifa tangu 1994... aliekuja kuwaokoa mikononi mwa Interahamwe alitoka hapa hapa...
na ndio maana mpaka leo Mna alama ya kujua kiswahili kuwatambulisha kuwa sisi ni shield yenu na ngome yenu....