Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,960
Hahahaha upepo ni moja ya Vitu tunajivunia Tz......
hujui kuwa upepo wa hindi ocean unaondoa mikosi na akili za kuplan genocide[emoji23][emoji23]
Mikosi heeee hee Ngoja nimwite mshana Jr ndio mnaweza kuendana nao Nenda Ruvabu Lake Kivu ukapate upepo Beach za Tz hizo zimejaa taka eti upepo beach nzuri tunaingia sisi wageni,mnakunya beach halafu eti upepo huo upepo ndio unawafanya mazezeta nchi nzima mna mali kila mahala ila maskini wa kutupa bora hata Kongo sasa.