Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Hahahaha upepo ni moja ya Vitu tunajivunia Tz......
hujui kuwa upepo wa hindi ocean unaondoa mikosi na akili za kuplan genocide[emoji23][emoji23]

Mikosi heeee hee Ngoja nimwite mshana Jr ndio mnaweza kuendana nao Nenda Ruvabu Lake Kivu ukapate upepo Beach za Tz hizo zimejaa taka eti upepo beach nzuri tunaingia sisi wageni,mnakunya beach halafu eti upepo huo upepo ndio unawafanya mazezeta nchi nzima mna mali kila mahala ila maskini wa kutupa bora hata Kongo sasa.
 
We ni soja hata mi nilikuwa nakasoma nikaona kanavuka mipaka afu kumbe kanaongelea uhamishoni huwa vikirudi vinafikishiwa gerezani na kufanyiwa utafiti kwanza hako kurudi kwao sio rahisi sema nahofia kukafungulia vitabu vyote maana hawa watu walipata shida sana kimsingi siwaombei warudi kule ni mateso mno
watu wa hovyo kama huyu ndio wanasababisha tusiwaonee huruma wengine kwa sababu wanaleta image yao nzima
 
risiti Tafadhali na leseni za TRA[emoji41]

Muulize baba ako Magu tunafanya bizness hapo na hakuna wa kutusumbua hata kidogo ukitaka hata jina la Kampuni utapewa nenda Jmall pale Posta ukachukue ajira hatutak dhuluma nina vijana wengi humu wa kitz siwataji wamekuja PM wakapata ajira.
 
si zipo hapa Jf zimesambaa tunajionea maajabu...
mtu usibambie ushawekewamtutu wa bunduki kwenye mbavu... ukienda huku unamtutu usoni[emoji23][emoji23][emoji23]....


mtu unapunga upepo wetu ,,afu unajifanya kukashifu yo baba land[emoji23][emoji23][emoji23]..
et p Rwandese..... baada ya miaka kadhaa naomba safari hii muelekee south sudan
Sema ile vita iliacha makovu sana kwa hiyo wakiona mgeni wanaogopa sana ila baada ya wengi kuja tz na kuona watu wanavyoishi peace angalau wamejifunza
 
watu wa hovyo kama huyu ndio wanasababisha tusiwaonee huruma wengine kwa sababu wanaleta image yao nzima

Uwe na huruma usiwe na huruma Rwandese tupo everywhere kwenye nchi yenu na maisha yanaenda uzuri mpaka kwenye system zenu tupo na hamna la kufanya sababu akili zenu tumewashikia muulize mzee baba pale nyumba nyeupe na idara zake
 
si zipo hapa Jf zimesambaa tunajionea maajabu...
mtu usibambie ushawekewamtutu wa bunduki kwenye mbavu... ukienda huku unamtutu usoni[emoji23][emoji23][emoji23]....


mtu unapunga upepo wetu ,,afu unajifanya kukashifu yo baba land[emoji23][emoji23][emoji23]..
et p Rwandese..... baada ya miaka kadhaa naomba safari hii muelekee south sudan
Yo baba land.hii iko super zaidi
 
Wengi wa waswahili kutembea ni shida hata mbuga za wanyama mnazo ila hakuna anaeenda kutembea ndio maana mnakua na ubongo umejaa toilet pepa Tembeeni muone msikae kae hapo kweny ndio maana mtu akiwa na gari anaonekana Tajiri gari zenyewe used japani Poleni sana Rwanda hakuna mateso Rwanda unaishi utakavyo hakuna vibaka kama kwenu Tz njaa kali sana punguzeni unaaaa.Proudly Rwandese Kagame forever.
Nyinyi lazima mtembelee mbuga maana mbugani ndio kulikua makazi yenu ya kwanza kabla hamjaja huku...
kwahiyo kukumbuka wenyeji wenu mara moja moja sio mbaya[emoji41] .... mnalipa fadhila
 
Lini utahama kwa shemeji ako sabab research za hivi wanafanya wanaokaa kwa shemeji kama wewe.
Ndio maana hili nikasema siliongelei maana linaumiza sana anyway pole sana mkuu hata mi sikufurahia nilichofanya sikufurahia kabisa [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]
 
Sema ile vita iliacha makovu sana kwa hiyo wakiona mgeni wanaogopa sana ila baada ya wengi kuja tz na kuona watu wanavyoishi peace angalau wamejifunza

Makovu yapi wewe, Rwanda imekaa sawa tuko na maisha nchi ina amani unaweza lala hata kibarazani no wezi na kila kitu kinaenda sawa Tz hakuna maisha kwa raia wake wageni ndio tunafaidi keki ya Taifa.
 
Nyinyi lazima mtembelee mbuga maana mbugani ndio kulikua makazi yenu ya kwanza kabla hamjaja huku...
kwahiyo kukumbuka wenyeji wenu mara moja moja sio mbaya[emoji41] .... mnalipa fadhila

Uchumi wenu unategemea Utalii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahaha upepo ni moja ya Vitu tunajivunia Tz......
hujui kuwa upepo wa hindi ocean unaondoa mikosi na akili za kuplan genocide[emoji23][emoji23]
Mkuu unaona alivyoumia muache tu huyu bado ana maumivu sana muache tu anyway bado narudia kusema hawa ni watu wa kihurumia sana maana hata sasa bado maish yao ni ya hofu sana na kwa bahati mbaya sana hofu yao inatokana na wao wenyewe kutafutana hata ukicheka mbele yao wanaumia mno nilipokuwa SA sijui hili wala lile nikauliza nyie ni wahutu au watusi maana pale ndio nilianza kujifunzia historia ya hayo mauaji yao nyumba nzima ilikaa kimya yule binti baadae akaniambia huwa hawaulizani hilo swali wanahofu sana maskini
 
Wengi wa waswahili kutembea ni shida hata mbuga za wanyama mnazo ila hakuna anaeenda kutembea ndio maana mnakua na ubongo umejaa toilet pepa Tembeeni muone msikae kae hapo kweny ndio maana mtu akiwa na gari anaonekana Tajiri gari zenyewe used japani Poleni sana Rwanda hakuna mateso Rwanda unaishi utakavyo hakuna vibaka kama kwenu Tz njaa kali sana punguzeni unaaaa.Proudly Rwandese Kagame forever.
Mkuu asa mbona tumeanza kuchoshana tena si ulikataa essay [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Uchumi wenu unategemea Utalii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ukikulia kwa bibi ndio madhara haya pole sana Ungelelewa na mama yako ungekua mzima kiakili
mimi nmelelewa na mama...mpaka leo ninae kwasababu huku mapanga hayatumiki kwa kazi -hasi[emoji23]

hatutegemei wanyama kuishi mama....ndio maana unaona watu tuko places hatufanyi harambee ya kuchangia utalii ili tule,tuishi[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Mkuu asa mbona tumeanza kuchoshana tena si ulikataa essay [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]

Haya sawa kumbe ulikua unafukuzana na Mercedes benz na uko na Vitz Pole haya Nenda kakinge chakula saa hii nadhani East africa kwa wewe mkaa kwa shemeji n muda wa kula Kwaheri kwa sasa naenda kwenye meeting.
 
mimi nmelelewa na mama...mpaka leo ninae kwasababu huku mapanga hayatumiki kwa kazi -hasi[emoji23]

hatutegemei wanyama kuishi mama....ndio maana unaona watu tuko places hatufanyi harambee ya kuchangia utalii ili tule,tuishi[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Haya sawa mtoto wa bibi naenda kwa Meeting now see ya later.
 
Muulize baba ako Magu tunafanya bizness hapo na hakuna mbwa wa kutusumbua hata kidogo ukitaka hata jina la Kampuni utapewa nenda Jmall pale Posta ukachukue ajira hatutak dhuluma nina vijana wengi humu wa kitz siwataji wamekuja PM wakapata ajira.
Maghu sio baba angu .... ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano Wa Tanzania.

Baba angu ni mtu mwingine.. siwezi kwenda magogoni kuulizia risiti za biashara ya mtu mwenye Id fake JF[emoji41]....

weka risiti hapa mkuu
 
Uwe na huruma usiwe na huruma Rwandese tupo everywhere kwenye nchi yenu na maisha yanaenda uzuri mpaka kwenye system zenu tupo na hamna la kufanya sababu akili zenu tumewashikia muulize mzee baba pale nyumba nyeupe na idara zake
Hapana mkuu kwenye swala la huruma lazima tuwe nazo maana huko kote mmehurumiwa hapa hata usipotaka wenzako kibao wanataka huruma nilienda pale cape home affairs hapana aisee unaweza kutoka machozi ila ndio hivyo huruma lazima
 
Makovu yapi wewe kichwa kama boga Rwanda imekaa sawa tuko na maisha nchi ina amani unaweza lala hata kibarazani no wezi na kila kitu kinaenda sawa Tz hakuna maisha kwa raia wake wageni ndio tunafaidi keki ya Taifa.
Hapana kuna makovu mkuu mtu ukifika cha kwanza unapelekwa kwenye mafuvu yenye misumali ndio upelekwe kwenye nyani eti utalii umeisha matokeo yake mtu unaondoka unalia isingekuwa wale dada poa wa kigali hakuna mtalii wa tz angeenda rwanda
 
Back
Top Bottom