Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Nahisi umenisaidia maana kwa kuandika kama umecopy kitu nilichokuwa natathmini jinsi ya kumuelimisha Kuhusu hizo riport zake!!! RPF aiongelee kwa mengine sio kwa Genocide anayosema!
 
Asante sana mkuu TWOB shule uliyosoma inahitaji pongezi! Facts zako ziko extraordinary!! Kama Kuna watanzania Wengine kama wewe nadhani muungane Kuna kitu mnaweza kusaidia katika jamii
 
sorry boss sehemu ya pili cjaipata
 
n
 
Mkuu IBUKA wameweka final survivors hivyo ni kazi yetu kutohoa je walikuwa wahutu na watutsi wangapi Rwanda sasa twende polepole

Data za world bank na UN zinasema rwanda ilikuwa na watu million 6 (nmeattach screenshot hapo chini)

Then link ya UN inasema wahutu walikuwa 84% na tutsi 15% mwaka 1994
Source: Outreach Programme on the Rwanda Genocide and the United Nations

hivyo basi 15% ya million 6 ni 900,000 si ndio.... taasisi ya watutsi IBUKA nlioweka inasema survivors ni laki 4 si ndio??
Source:https://survivors-fund.org.uk/learn/rwandan-history/statistics/

Tutsi laki 9 - Tutsi survivors laki 4 = unapata 500,000 deaths si ndio maana yake

Haya official statistics za UN na IBUIA zinasema waliokufa kwenye genocide walikuwa watu 1,078,000 source:https://survivors-fund.org.uk/learn/rwandan-history/statistics/

hivyo basi

1,078,000 - 500,000 = 578,000 je hawa ni jamii gani maana hawakuwa watutsi kwa mahesabu tuliopiga si ndio?? Hivyo tunakubaliana ni wahutu

Mpaka hapa nafkiri umeshaona kuwa statistics zangu nlizoweka za IBUKA bado ni credible

NB: Kuhusu Wikipedia.... inasema takwimu zake zimetolewa CIA world factbook ambayo ni credible sana maana serikali ya rwanda haiwezi andika namba ya wahutu na watutsi kwa sababu zilizo wazi kabisa ila wao kma serikali kwa sababu za kiusalama huwa wanakuwa na hizo data mapema kabisa hivyo sioni kma CIA world factbook as citee na wikipedia haiwezi kuaminika

2. Mkuu ni vizuri tuwe tunafanya utafiti kabla ya kulaumu.... Hao watutsi mwaka 1990 waliandikiwa barua kuruhusiwa kurudi Rwanda kma raia wa kawaida ila sio tu kwamba waligoma kuja ila hata barua haikuwahi jibiwa hivyo kma walitaka kurudi kwanni walikataa wito wa mwaka 1990??? Huoni wao walitaka kurudi kwa mabomu na risasi ili wapate madaraka pekee!! Source: https://www.google.com/amp/s/www.gl...s-behind-the-1994-rwanda-genocide/5406344/amp

3. Mkuu unaposema hapakuwa na double genocide what's your reference?? Mimi nmekuwekea ripoti ya UN kwenye post uliyoreply inayosema RPF kwa ushahidi waliopata iliua wahutu wengi sana au unafkiri hao wahutu laki 6 walikufaje mkuu???

Unasema genocide ni lazima iwe prepared.... Na lipo wazi kabisa kuendana na ushahidi wa General katumba nyamwasa aliyekimbia Rwanda kisa kutoboa siri za RPF alisema ndege ilivyotunguliwa waliambiwa wajiandae kusonga mbele ikimaanisha walipanga ile vita in advance je haiwi genocide

Pia Kumbuka kabla ya RPF kuja hakukuwa na genocide ila RPF walivyoanza kuchinja wahutu kule ruhengeri ndio ikatia hasara wahutu wa pande zingine wakaanza kuua watutsi kwenye maeneo mengineyo je unafkiri hawakupanga??

Huu hapa ushahidi kwamba genocide ilianzia ruhengeri ambapo watutsi wa RPF walichinja wahutu ndio kusababisha wahutu nao kuanza kuua tena hii ilikuwa 1991https://www.google.com/amp/s/arnaudemmanuel.wordpress.com/2008/05/23/rwanda-rpf-crimes/amp/

Pia nmeweka hapo confession ingawa unasema hauiamini ila ilitumika kwenye kesi ntakupa reference..... Jamaa alikiri walitumwa kuua wahutu wote mbele yao je hiyo sio planned genocide too??

Kuhusu dallaire nimeshasema hawezi kuaminika maana alitangaza kuwa Rwanda imewekewa vikwazo wasipewe silaha ila ndio huyo huyo kwa siri alikuwa anawapa silaha RPF kuwamaliza wahutu je unaaminije kauli za huyu msaliti?? Alidai hakuona mtutsi akiua muhutu ila ripoti ya UN inasema watutsi walichinja wahutu je huyo dallare bado anaaminika??

Kuhusu uchafu wa dallare pia soma huu utafiti https://www.google.com/amp/s/www.gl...s-behind-the-1994-rwanda-genocide/5406344/amp

Hitimisho lako nakubaliana nalo ingawa unaposema ''ANGALAU '' sidhani ni sahihi sababu nmeshakupa ripoti nyingi na article zinazoonyesha RPF wanahusika na vifo vya wahutu kibao sasa kwanini bado huoni ina deserve kuitwa RWANDAN GENOCIDE...... remember Hutus died kuliko tutsis thats still enough to call it RWANDAN genocide if not HUTU genocide

Ahsante

Ushahidi huu hapa jinsi watutsi walivyochinja wahutu zaidi ya laki 5 Rwanda mara baada ya kupindua nchi

THE SLAUGHTER OF HUTU REFUGEES IN DRC - RWANDA DEMOCRACY WATCH

The Rwandan Patriotic Front (HRW Report - Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda, March 1999)

Kibeho 1995: a massacre forgotten in Rwanda’s 20-year history - Jambonews EN

Kabila Army's Mass Murder of Rwandan Hutu Refugees



Kazi kwako

Cc: 666 chata manzi james
 
Zito na huyo mwenzie wahutu
 
Hivi kuna Wahutu hapa Jamii forums walishawahi kuwa proud na Kagame?

Mostly Watutsi ndiyo wanakuwa front kumtetea Kagame!!
Unataka tuwatetee wahutu??? yaan waliwapiga mababu zetu wakawatimua Rwanda, unataka tuwatetee???? in make sense kwako?? mtu amewatimua jamii yenu na alikua na lengo la kuwatokomeza kabisa kwenye uso wa dunia unaanzaje mtetea?
 


Nimekuelewa kabisaa, waliokufa wengi ni wahutu na ni clear Rwanda Genocide, ila mimi bado nasikitishwa na alieanzisha vita hivi, je ni muhutu au mtusi? Yoyote alieanzisha vita hivi ilikua halali yeye kufa,,, labda kama kuna yalio nyuma ya pazia, lakin kama sababu ni hizo tulizoziskia za wivu dhidi ya watusi kua na akili, kupenda shule na kua civilized mapema basi wahutu pengine ndio binadamu wasio faa kabisaa kuwepo africa na ningesikia raha kama wote walioanzisha izo propaganda kuawawa.
 
Nimesikia na kuona kwa maandishi kwamba kuna group la whats app ambako mambo haya yote yanapatikana naomba na mm uniunge katika group hili
 
Mheshimiwa
Kuna pande mbili. Upande mmoja umenuia kuangamiza kabisa mbari fulani, na hapo inaangamiza pia hata wanaoonekana kutetea 'maadui'. Upande mwingine ni mbari inayoangamizwa inajitahidi kujitetea. Katika makabiliano hayo wakafa watu kutoka pande zote mbili. Lakini nia ya waliotaka kuangamiza ilibaki kwenye history, nayo ni genocide against tutsi. Hawa wengine walikuwa wanajitetea tu, hakuna genocide hapo.
Kwa hiyo ni sahihi kusema ile genocide ilikuwa dhidi ya watutsi, japo katika vurugu hizo walikufa wahutu pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…