zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Nahisi kuna WASIOJULIKANA wamemfuata inbox maana sio kawaida kabisa leo kapoa sana sikutegemea mwisho utaisha kirahisi hivi i expected moreHii episode ya mwisho kachakachua, issue ya kudungua kaipotezea na vitu vingi kuachana navyo sijui kama ataviweka kwenye kitabu labda
wasiojulikana mchezo[emoji23]Nahisi kuna WASIOJULIKANA wamemfuata inbox maana sio kawaida kabisa leo kapoa sana sikutegemea mwisho utaisha kirahisi hivi i expected more
Kuna jambo si bure
Chezea dikteta mrefu mwembamba!!?? .... Hapendagi ujinga 😀😀😀wasiojulikana mchezo[emoji23]
oh maana alikua anaelekea kufukua maovu..Chezea dikteta mrefu mwembamba!!?? .... Hapendagi ujinga 😀😀😀
hiyo akili ndogo kama ya kuku ni ya kusaka pesa? wenye akili za kusaka pesa hawasemi. Pili hamna Mnyerwanda mwenye akili ndogo kama hiyo yako. Mwulize mama alichukulia wapi mimba haramu iliyokuja kuzaa mjinga kama wewe.
Hata maisha baada ya genocide hajaandika yaani ujenzi wa Rwanda mpya hajagusia kabisa atakuwa amepigwa mkwara na wasiojulikanaNahisi kuna WASIOJULIKANA wamemfuata inbox maana sio kawaida kabisa leo kapoa sana sikutegemea mwisho utaisha kirahisi hivi i expected more
Kuna jambo si bure
Hii episode ya mwisho kachakachua, issue ya kudungua kaipotezea na vitu vingi kuachana navyo sijui kama ataviweka kwenye kitabu labda
Mkuu hili tulitegemea baadhi yetu atamaliza kwa style hiiHongera kwa makala nzuri your simply talented kwenye kuelezea ila kwa hizo paragraph hapo juu Mungu anakuona!!!
Ikifikaga hapo kwenye NANI ALIDUNGUA NDEGE Kuna kuwa na chenga chenga sana ... Hata Kaka mkubwa nae katupiga Chenga ya mwili ....Hii episode ya mwisho kachakachua, issue ya kudungua kaipotezea na vitu vingi kuachana navyo sijui kama ataviweka kwenye kitabu labda
Mwandishi kanikasirisha sana, kaanza vizuri katikati ya uhondo kuzingua japo simlipi ila angekuwa jirani ningemtanga ngumi ya shingo, hawezi kuchezea watu wazima namna hii, nmepaniki [emoji35] [emoji83] [emoji83]Ikifikaga hapo kwenye NANI ALIDUNGUA NDEGE Kuna kuwa na chenga chenga sana ... Hata Kaka mkubwa nae katupiga Chenga ya mwili ....
Mwandishi kanikasirisha sana, kaanza vizuri katikati ya uhondo kuzingua japo simlipi ila angekuwa jirani ningemtanga ngumi ya shingo, hawezi kuchezea watu wazima namna hii, nmepaniki [emoji35] [emoji83] [emoji83]
Ila we n arrogant Sana haya ya kujisifia Sifia na kuwaona wengine takataka na wasiofaa inaonesha ndio sababu ambayo pia ilichangia pia mauaji hakuna binadamu atakayekubali kutezwa na kudharauliwa utu wake hii mentality muifute hakuna binadamu aliye bora tena mtu mweusi haya mambo ya kujigawa ndio yaliletwa na wakoloni ndo yanatucost mpaka sasa "divide and rule" na nyinyi mkajazwa ujinga eti sijui waisrael sijui nini all n black melonin yetu ndio race yetu siku Mtutsi akiacha kumdharau mhutu mtaishi vizuri lakini muendelezo wa dharau can lead to another kimbari hata kagame analijua hilo ukabila n ujinga na yy ajue Rwanda sio mali yake Aachie madaraka kwa amani isije tumika nguvuProudly Rwandese,Thank you Kagame and RPF for Liberation of Rwanda hii leo Rwanda inapiga hatua kwa kasi Rwanda yasonga mbele zaidi na zaidi.Asante The bold kuimaliza makala hii kiroho safi kabisa.Ila Kagame atabaki ndio kiongozi wangu wa Kiafrica wa muda wote Au nimwite GOAT. [emoji1534]
Ila we n arrogant Sana haya ya kujisifia Sifia na kuwaona wengine takataka na wasiofaa inaonesha ndio sababu ambayo pia ilichangia pia mauaji hakuna binadamu atakayekubali kutezwa na kudharauliwa utu wake hii mentality muifute hakuna binadamu aliye bora tena mtu mweusi haya mambo ya kujigawa ndio yaliletwa na wakoloni ndo yanatucost mpaka sasa "divide and rule" na nyinyi mkajazwa ujinga eti sijui waisrael sijui nini all n black melonin yetu ndio race yetu siku Mtutsi akiacha kumdharau mhutu mtaishi vizuri lakini muendelezo wa dharau can lead to another kimbari hata kagame analijua hilo ukabila n ujinga na yy ajue Rwanda sio mali yake Aachie madaraka kwa amani isije tumika nguvu
umeona mkuu?? mi mwenyewe nimejaribu kufanya ka utafiti kangu kadogo kuanzia huku mtaani hadi mitandaoni nimegundua hawa watutsi wana matatizo yao na kama haupo makini kuishi nao ni kazi sana lazima mpishane tu..Watutsi ndio hawa akina Jestikilla,akina Gentamycine,etc?
Kupitia hawa wawili tu nimeelewa kwanini hawakuelewana na wenzao Wahutu..I can see why.
Jestikilla na Gentamycine kwanza wana matusi mpaka basi...Wanatukana for the sake of it...Kujisifu halafu na dharau...Cha ajabu ukiangalia thread zao zinaonesha wana akili ndogo sana...Hilo ndio ajabu...
Ila sio wote,kuna Watutsi smart kama Munyambo P,etc...These guys are smart,class act dudes!!
Kulikua na tatizo kubwa...sishabikii genocide ila hawa Watutsi wana mapungufu yao makubwa kama wanadamu,they should check themselves.
RIP wote waliouawa kinyama...Mungu wao atawatolea haki.
eti nchi nzima...!! wanyarwanda hamna utofauti na wakenya..!Achana nao hawa wivu umewajaa wakitabiri kua kutakua na shida tena hawajui sasa hv tuko hatua 100 mbele wao wakiwaza vyoo vya shule sie tunawaza kufunga kila shule solar na umeme wa uhakika nchi nzima na maendeleo makubwa kwenye tekinolojia na masuala ya Anga. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Rwanda itasonga mbele zaidi na zaidi kwa staili yoyote Godbless Rwanda. Proudly Rwandese.
Huyu ni kahaba na chokoraha mmoja tu hivi ,wala msijiumize vichwa .........kuna huyu na yule mpuuzi mwingine anayejiita Gentamycine kuna siku nilimpa makavu sivumiliagi upumbavu mimi .............Shenzi kabisa mende hawa wenye zero IQ watu tunajadili vitu vya msingi humu jamii Forum wao ni upuuzi tu ........Eti mtutsi sijui usenge gani so what ? ..........Hizi ID fake zinaficha mengi sana , Mods sijui wanafanya Nini waliangalie hili hatuitaji hawa mende wapuuzi humu , hili ni jukwaa la Great thinkers , Kila mtu akileta ukabila humu hili itakuaje ? Hawa wapuuzi Jestikilla na Gentamycine upuuzi wenu pelekeni Facebook na sio humu ............ Shenzi type !eti nchi nzima...!! wanyarwanda hamna utofauti na wakenya..!
afu we demu sio mnyarwanda wala nini,we ni mbongo tu unatuzingua..!
u.s.e.n.g.e gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni kahaba na chokoraha mmoja tu hivi ,wala msijiumize vichwa .........kuna huyu na yule mpuuzi mwingine anayejiita Gentamycine kuna siku nilimpa makavu sivumiliagi upumbavu mimi .............Shenzi kabisa mende hawa wenye zero IQ watu tunajadili vitu vya msingi humu jamii Forum wao ni upuuzi tu ........Eti mtutsi sijui usenge gani so what ? ..........Hizi ID fake zinaficha mengi sana , Mods sijui wanafanya Nini waliangalie hili hatuitaji hawa mende wapuuzi humu , hili ni jukwaa la Great thinkers , Kila mtu akileta ukabila humu hili itakuaje ? Hawa wapuuzi Jestikilla na Gentamycine upuuzi wenu pelekeni Facebook na sio humu ............ Shenzi type !