Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Aliuwawa,au mbona hivyoImesemwa kwamba account yake Ipo chiniya wana sheria wake, sio yeye marehemu...itakuwa Wazi kwa muda wa siku saba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliuwawa,au mbona hivyoImesemwa kwamba account yake Ipo chiniya wana sheria wake, sio yeye marehemu...itakuwa Wazi kwa muda wa siku saba
Hata mimi naomba kujua??alikua jike au dume????Kwani mwenye akaunt ni ke au me?
Mhhhhhh mnanichanganya sana nilikuwa namfuatili kwenye ule uzi watu weusi ndio walioleta ustarabu ulaya alikuwa anajua kujenga hoja vizuri na alikuwa smart sana kichwani nilimkubali sana kama kafa rest in paradise mwenyenzi Mungu atamfufua siku ya mwisho Dunia ni sehemu ya kupita tuKuna watu hawataki kuamini tulio hili lakini ndio hali halisi, kazi yetu si kuthibitisha bali kutoa fursa kwa marafiki zake wote marehemu kutoka heshima zao zamwisho
Mbona account inajieleza ni mwanamke kuhusu kufa kwa kweli ata mimi nipo njia pandaHata mimi naomba kujua??alikua jike au dume????
Kweli kafa????
Sikuwahi kufuatilia akaunti yake ila stori zake nimesoma sana na kweli heshima kwake.Mbona account inajieleza ni mwanamke kuhusu kufa kwa kweli ata mimi nipo njia panda
Mi naona the Bold umeeandika hii kama propaganda tu. Umekuza sana Role ya Kagame katika vita ya Kagera na Harakati za Watutsi kurudi Rwanda.
Maeneo uliyozidisha chumvi.
Moja Kagame hakuudhuria Mosh Conference. Hakuwa na jina lolote by the time. Si Kagame tu hata Mseveni hakuwa mjumbe Wa kikao husika.
Pili katika serikali ya Kwanza Baada ya Amini kuondolewa Mseveni hakuwa na Ushawishi Mkubwa na alikuwa Naibu Waziri tu.
Tatu umechukua Role ya Nyerere umempa Kagame na Mseveni.
Mpiganaji yoyote Wa RPF humtukuza Kamanda Fred si Kagame. Wote wanakili lebalation was planned, commanded by Kamanda Fred.
Fred hakupendwa kuongoza Rwanda na ukoo wa Ababeega ukoo Wa Kagame ambao ndo walikua inluencial zaidi. Hadi mauti yakamukuta Fred.
Nakusubiri nione utakavyoandika ilikuaje Kagame ambaye hakuwa kwenye commanding position kwenye RPA alikuja kuwa Kamanda Wa RPA mwishon mwa Vita.
Ukirudi Uganda.
NRA ilifaidika na mgogoro wa B. Okelo na Obote. Power ya Jeshi ikagawanyika hiyo NRA ikanufaika na hiyo fursa.
Acha kuandika History of the Victory.
Mkuu malcom nakuona unapita kimyakimya kwenye uzi muhim kama huu yaani ni sawa na unasikia njaa alafu unaona mtu anamwaga chakula 😀😀😀 embu fanya kweli basi utumalize kiu chetu hta kma itakulazimu ufungue uzi mpya nawe utie maoni yako juu ya experience yako kwenye case ya Rwanda genocide.Aaaah kuna mjadala mzuri hivi halafu nimeukosa daaah. Nakumbuka Wanyarwanda pale ICTR walikuwa hawanipendi kweliii kisa haya mambo. Hii issue ilitoa uhai wa Prof Mwaikusa masikini (May he rest in Peace)
Mkuu kitu gani tena nitakachokisema hapa, wewe hukijui ?? Isitoshe umeishi na kusoma nao kabisa. Mimi hapa nategemea kujifunza kutoka kwenu ninyi wataalamu.Mkuu malcom nakuona unapita kimyakimya kwenye uzi muhim kama huu yaani ni sawa na unasikia njaa alafu unaona mtu anamwaga chakula 😀😀😀 embu fanya kweli basi utumalize kiu chetu hta kma itakulazimu ufungue uzi mpya nawe utie maoni yako juu ya experience yako kwenye case ya Rwanda genocide.
Haaahahaha mkuu hata Yesu alikuwa mmoja ila kuna version 4 za story yake yaani vitabu vya injili..... Nliosema hmu ni amaterue version ya story ila nyie mliopo kwenye system mnayajua mengi zaidi yaani advanced version mfano hapo umemtaja nyerere Nimechoka kabisa!!Mkuu kitu gani tena nitakachokisema hapa, wewe hukijui ?? Isitoshe umeishi na kusoma nao kabisa. Mimi hapa nategemea kujifunza kutoka kwenu ninyi wataalamu.
Wala mimi sijui lolote mkuu, ninachofanya nikutazama na kujifunza tu.Haaahahaha mkuu hata Yesu alikuwa mmoja ila kuna version 4 za story yake yaani vitabu vya injili..... Nliosema hmu ni amaterue version ya story ila nyie mliopo kwenye system mnayajua mengi zaidi yaani advanced version mfano hapo umemtaja nyerere Nimechoka kabisa!!
They murdered mwaikusa, but why??????Mkuu malcom nakuona unapita kimyakimya kwenye uzi muhim kama huu yaani ni sawa na unasikia njaa alafu unaona mtu anamwaga chakula 😀😀😀 embu fanya kweli basi utumalize kiu chetu hta kma itakulazimu ufungue uzi mpya nawe utie maoni yako juu ya experience yako kwenye case ya Rwanda genocide.
nani huyo kaishi na ndugu zetu hawa?...Mkuu kitu gani tena nitakachokisema hapa, wewe hukijui ?? Isitoshe umeishi na kusoma nao kabisa. Mimi hapa nategemea kujifunza kutoka kwenu ninyi wataalamu.
Kwanini usisome uzi wote ???nani huyo kaishi na ndugu zetu hawa?...
penda sana nchi yangu Rwanda, Iko famous,wanted, feared,blessed, mind full pple, crean,beuties,smartpresident, PROUDLY TO BE RWANDANIII JAMANI.!!
Nakihitaji mkuu niambie supplier wako mbeya ni nani.View attachment 854807
Kitabu changu cha kwanza NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI & UJASUSI kiko tayari na kitakuwa mkononi mwako mwezi huu september... kaa tayari
AsanteView attachment 854807
Kitabu changu cha kwanza NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI & UJASUSI kiko tayari na kitakuwa mkononi mwako mwezi huu september... kaa tayari