Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Mambo ya kuuana yalishapita Rwanda mpya inasonga mbele kwa kasi ya ajabu kuhusu Lugha nyie mna lugha za makabila kama 120 Namibia wana lugha kama Kingereza kiafricana kijerumani kiherero kinama so sie kua na lugha hizo shida iko wapi..??
Nmeuliza lugha rasmi mkuu. Kwani rwanda bungeni mnatumia lugha gani?
Yale yalishapita sina haja ya kuelezea hapa nilikua mdogo enzi yanatokea lakini Rwanda yasonga mbele africa yasonga mbele tulishayasahau na hayawezi kujirudia pia Naomba africa iwe na Amani siombei yatokee Tanzania ingawa naona kuna dalili za Kutokea kuhusisha uvyama vyama huu ambao utawagawanya watanzania.Godbless Africa.
 
Kweli yalishapita na hayatorudia tena? Mambo ya zamani yaliyosababisha hali ile ya kuuana kama wanyama hayaendelei sasa huko Rwanda? Kama ni hivyo ni safi.

Ni kichaa tu anayeweza kuwaombea Yale madudu yawarudie tena

Tusaidie mkuu, ni nini hasa kilisababisha chuki Kubwa kiasi kile kati ya hawa ndugu mpaka kuuana vile?

Na ni nini hasa kinachokufanya uamini kuwa Yale yalishapita na hayatajirudia tena?

Ni kwa nia njema kabisa. Kama una majibu ya kweli itasaidia sana. Hata sisi watz ni watu kama nyie. Kama nyie mliweza fnyiana vile huenda na sie tunaweza kengeuka tukafanyiana kama mlivyofanyiana. Mungu pishia mbali hili. Sie watz utofauti wetu huishia zaid katika utani

Tukijua au mkijua kosa mlilofanya zamani itasaidia msije kulirudia kosa lilelile na kuleta tukio lilelile bays

Afrika ni moja
Usitegemee mtutsi atakupa majibu yanayoeleweka..... Hayo ungeuliza wahutu ila chanzo kikubwa tokea vita ya kwanza ya wahutu na watutsi Rwanda na Burundi hadi congo miaka ya 50 na 60 ni sababu ya watutsi kuwatesa wahutu hasa kutokana na kwamba wakoloni waliside na watutsi kuwatawala wahutu hivyo wahutu wakawa raia wa daraja la pili na hivo kukosa fursa serikalini, elimu, matibabu mazuri , umiliki wa ardhi na biashara n.k hiyo ndio chanzo cha chuki

Na hayo yalitokea kotekote DRC congo huko bunia kivu kaskazini, rwanda na burundi na ndio maana walichinjana na hyo 1994 ilikuwa kilele tu..... Na hata baada ya 1994 huko DRC maeneo ya kivu wahutu walichinjwa kma kuku mwaka 1997 hadi 2003

Anyway yalishapita ila hyo ndio chanzo cha chuki ile
 
Zamani nilikuwa nawaonea huruma sana watusi lkn baada ya kufahamu ABC's zenu sina hamu nanyie kabisa

Hata ulivotuonea huruma kipi kilibadilika kwetu au kwako tutawanyoosha haswa .Proudly Rwandese [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hata ulivotuonea huruma kipi kilibadilika kwetu au kwako tutawanyoosha haswa .Proudly Rwandese [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Siku wahutu wakikinukisha utableed mfululizo kwa miaka 2 stay tuned
 
Siku wahutu wakikinukisha utableed mfululizo kwa miaka 2 stay tuned

Nyie kwenu vp mshaleta maji safi na vyoo vya shule maana mna njaa pambana na hali yenu Rwanda yasonga mbeleeeeeee Proudly Rwandese kudadeek [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usitegemee mtutsi atakupa majibu yanayoeleweka..... Hayo ungeuliza wahutu ila chanzo kikubwa tokea vita ya kwanza ya wahutu na watutsi Rwanda na Burundi hadi congo miaka ya 50 na 60 ni sababu ya watutsi kuwatesa wahutu hasa kutokana na kwamba wakoloni waliside na watutsi kuwatawala wahutu hivyo wahutu wakawa raia wa daraja la pili na hivo kukosa fursa serikalini, elimu, matibabu mazuri , umiliki wa ardhi na biashara n.k hiyo ndio chanzo cha chuki

Na hayo yalitokea kotekote DRC congo huko bunia kivu kaskazini, rwanda na burundi na ndio maana walichinjana na hyo 1994 ilikuwa kilele tu..... Na hata baada ya 1994 huko DRC maeneo ya kivu wahutu walichinjwa kma kuku mwaka 1997 hadi 2003

Anyway yalishapita ila hyo ndio chanzo cha chuki ile

Proudly Rwandese mtaongeeaaaaaaaa ya kweny yamewashinda bombadia Makinikia Maji safi utawala bora mmeanza kutekana siku iz na kupigana risas
 
Nyie kwenu vp mshaleta maji safi na vyoo vya shule maana mna njaa pambana na hali yenu Rwanda yasonga mbeleeeeeee Proudly Rwandese kudadeek [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huruma yetu wtz inatuponza tunawapokea kwa utu kweli mnapopata matatizo lkn haya ndy malipo yenu kwetu
 
Huruma yetu wtz inatuponza tunawapokea kwa utu kweli mnapopata matatizo lkn haya ndy malipo yenu kwetu

Sisi tunaingia nchi yoyote hatutegemei huruma ya mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana tupo dunia nzima.Rwanda forever
 
Ok guys its enough..... tuishie hapa maana tunaujaza uzi kwa malumbano yasiyo na tija

Cc Jestkilla Kyula
 
Na wewe leo ubongo uliomwachia pole pole kakurudishia sasa umerud kwenye akil yako Safi sana kumbe sometimes mnajitoaga ufaham.
Nmeona mpaka kuna mtu anakutishia maisha hapo juu that's not good sikutaka tufike huko ....... ila you are a patriot hongera sana kwa hilo
 
Back
Top Bottom