Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Huko Belgium ndio Rwanda? Kwanini msirudi kujenga nchi kuliko kupeana false hope mtandaoni? Kwani during genocide hao wabelgiji walikua wapi?
Nirudi wapi..... Proudly Tanzanian mie tena pure kabisa na sijawahi kuwa na damu ya kinchi kenu kma kawilaya ka Tanzania nifuate nni kwanza nchi ya maukabila kama yenu!!!
 
Huna lolote zaidi ya chuki zako za kihutu zilizokupofusha, rudi Rwanda leo uone maendeleo sio mambo yenu ya mende na interahamwe
 
Nirudi wapi..... Proudly Tanzanian mie tena pure kabisa na sijawahi kuwa na damu ya kinchi kenu kma kawilaya ka Tanzania nifuate nni kwanza nchi ya maukabila kama yenu!!!
Wewe muhutu kwanini unaonea aibu asili yako kwani ni dhambi?
 
Hahahahahhaa finally umefunguka kumbe kweli mlichinja wahutu congo bado kagame tu kukirir hili mchezo uishe mkumbusheni mahakama ya ublegiji na hispania zinamsubiri akajibu hilo suala akitoka madarakani!!!

Mkuu vpi kuhusu Bayingana na kabanda walipenyeza watu rwanda kuchinja wahutu bila hata rwigyema au kagame kujua..... Kwanni mlianzisha genocide alafu mnaaminisha dunia nzima eti wahutu waliamka asbuhi na wakaanza kuwachinja nyie ilihali wengi wao walikuwa wana act on self defense baada ya nyie kuanza kuua wahutu kule cyangugu na bugesera!!
sikuwa najua haya daah
 
Wewe muhutu kwanini unaonea aibu asili yako kwani ni dhambi?
Hahahahaha kwanni nionee aibu nchi yangu ni vile hapa ID feki ila mie mbongo pure nitajie kokote TZ nikupeleke..... Ilitokea tu sababu naishi kigoma ndio maana nmekuwa nafuatilia vinchi jirani uchwara vyenye vita kila kukicha kma burundi na congo na rwanda maana mko karibu sana na kigoma ila sijawahi kutamani kuwa mnyarwanda nchi ya kibaguzi na maukabila

Am happy niko Tanzania ambapo kabila lolote naweza kuoa na naweza kuishi mkoa wowote bila kubaguliwa ila sijawahi ona mtutsi rwanda anaoa muhutu toka nizaliwe.... Na hata nliposoma huko mlikuwa mnakaa kimakundi hukuti mtutsi ana mazoea na mhutu hta siku moja na hata makerere rwanda association mlikuwa mnajitenga yaani watutsi kivyao na wahutu kivyao so sad na ni wasomi

21st century mnakuwa wakabila hata aibu hamna
 
1990 to 1997
Sasa kama mlianza kuua watu 1990 hiyo taarifa ya kusema Rwanda ilikua na 5m umeitoa wapi? cheki hii
2d8a51326ac53c934f6b2dc5de517acb.jpg
 
Hahahahaha kwanni nionee aibu nchi yangu ni vile hapa ID feki ila mie mbongo pure nitajie kokote TZ nikupeleke..... Ilitokea tu sababu naishi kigoma ndio maana nmekuwa nafuatilia vinchi jirani uchwara vyenye vita kila kukicha kma burundi na congo na rwanda maana mko karibu sana na kigoma ila sijawahi kutamani kuwa mnyarwanda nchi ya kibaguzi na maukabila

Am happy niko Tanzania ambapo kabila lolote naweza kuoa na naweza kuishi mkoa wowote bila kubaguliwa ila sijawahi ona mtutsi rwanda anaoa muhutu toka nizaliwe.... Na hata nliposoma huko mlikuwa mnakaa kimakundi hukuti mtutsi ana mazoea na mhutu hta siku moja na hata makerere rwanda association mlikuwa mnajitenga yaani watutsi kivyao na wahutu kivyao so sad na ni wasomi

21st century mnakuwa wakabila hata aibu hamna
Kuijua kila kona ya Tanzania hakukufanyi kuwa mtanzania
 
sikuwa najua haya daah
Mkuu hawa jamaa acha kabisa.... Walishaanza kuwachinja wahutu toka 1990 kabla hata ya mkataba wa amani kusainiwa hapa TZ kituko utaskia wanalialia eti genocide ilianzishwa na wahutu sasa jiulize bila wao kuvamia rwanda 1990 na kuchinja wahutu je kungekuwa na vita 1994?? Hawa jamaa bhana wanatuona mazuzu sana
 
Mkuu hawa jamaa acha kabisa.... Walishaanza kuwachinja wahutu toka 1990 kabla hata ya mkataba wa amani kusainiwa hapa TZ kituko utaskia wanalialia eti genocide ilianzishwa na wahutu sasa jiulize bila wao kuvamia rwanda 1990 na kuchinja wahutu je kungekuwa na vita 1994?? Hawa jamaa bhana wanatuona mazuzu sana
bila shaka walikuwa wanapima upepo..wajue wangapi mazuzu na wangapi werevu wa upuuzi wao...anyway books are funny to mental kila kitu kipo documented
 
Sasa kama mlianza kuua watu 1990 hiyo taarifa ya kusema Rwanda ilikua na 5m umeitoa wapi? cheki hii
2d8a51326ac53c934f6b2dc5de517acb.jpg
Acha utoto hiyo ni population ya nchi haijasema wakati wa vita mlikuwa wangapi.... Hayo mtayajua ukiangalia waliokimbilia makambi ya UN ili kukimbia vita ukiwatoa hao unabaki na 5 million pekee au kwa akili zako unataka kusema mpaka genocide inaanza hakuwa amekimbia mtu rwanda!!!

Tafuta population ya the day after ndege kutunguliwa kwanni unakuwa mvivu.... Google tu kulikuwa na wakimbiza wangapi wa rwanda 1994 ndio utapata majibu maana watu walishaanza kimbia vita ingawa haibadilishi kuwa ni raia wa rwanda

Hata syria inahesabika ina population kubwa ingawa 30% ya watu wake wamekimbia nchi wakati wa vita ila haibadilishi ukweli kuwa ni wananchi wa syria sijui ambacho huelewi ni nni
 
Tupe detail kwanini baadhi ya vikundi vya uasi vilijiita banyamulenge na wengine wakajiita banyarwanda?
 
Haya endelea kuamini hivyo hivyo kuwa na mie nimetokea kwenye hako kamkoa chenu kisa tu thread moja !!!
Tunawajua wenzio wengi tu kama wewe hamuwezi kujificha hata ungejifanya maasai bado utagundulika tu!
 
Tupe detail kwanini baadhi ya vikundi vya uasi vilijiita banyamulenge na wengine wakajiita banyarwanda?
Labda nchangie.... Banyamulenge ni watutsi wa asili ya congo miaka mingi tu huko hata kabla ya uhuru waliishi huko nyiragongo au border ya kivu na gisenyi huko congo .... Ila banyarwanda ni wanyarwanda kabisa ila waliohamia congo kwa sababu tofauti tofauti ila wote ni jamii moja tu ya HEMA ni sawa na kusema wamasai wa kenya na wamasai wa TZ
 
Tunawajua wenzio wengi tu kama wewe hamuwezi kujificha hata ungejifanya maasai bado utagundulika tu!
Hahahaha haya mkuu anyway tunajaza mada ya watu kwa mabishano yasiyo na tija.... I rest my case have a good evening
 
Mkuu ndio hawa hawa ila ndio tabia zao kujaa majivuno,dharau,kejeli na kujiona bora zaidi ya wengine huwa pia hawajiiti waafrika eti kisa wanadamu ya kiyahudi kwa mbali!!! Trust me wasipobadilika ya 94 yatajirudia na hawatakuwa na wakumlaumu
Teh teh teh damu ya kiyahudi??? Huwa nacheka sana nikiwasikia waafrika wanaojinasabaisha na uyahudi au u-caucasian hali ya kuwa wao wanawaona mavi tu. Waafrika tuna kazi kweli kweli ktk huu ulimwengu. Tuligawanywa tukagawanyika haswa.
 
Tunawajua wenzio wengi tu kama wewe hamuwezi kujificha hata ungejifanya maasai bado utagundulika tu!
Mwachieni Bwana Kizito Mihigo awahubiri na kuwaimbia tumaini la uzima wa milele muwe na hofu na Mungu.. NO ONE WAS BORN A RULER..kumbuka ni swala la muda binadamu ni maji yasiyofinyangwa rekebisheni mambo kwa suluhu ya maridhiano ikiwa kipindi hiki serikali ya Tz inamahusiano mazuri na Rwanda ili likitokea la kutokea tuwakaribishe kwa upendo huko Ngara...kumbuka hakuna mahakama inaweza hukumu mambo yenu ila Mungu..unyama wenu ni wa level nyingine...Mwachieni KIZITO MIHIGO
 
Back
Top Bottom