Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Heshima kwako mkuu HBA dad, sehemu ya 9&10 hazionekani pale font fedi ( kwa juu).Bila shaka watu hawajui kama ziko tayari .
Pili Mwambie Nifah sio kwa kutususia huko jamani,
Thank you son kwa kunikumbusha... nilisahau kabisa.

Dah bimkubwa wako Nifah tusubiri kidogo aisee... bado hajatulia kupata muda wa kuingia humu. But atarudi tu kabla ya March
 
Sijawaipoteze ndugu kwa vita ya Rwanda wewe muha wa kigoma punguza ushamba uko mjini lakin bado mpumbavu Proudly Rwandese.
Huyo mshamba sio muha ni interahamwe ambao wakifika bongo wanajiita waha wako wengi tu tunawajua wengine wamekimbia familia zao eti wameenda chimbo ili kumng'oa kagame
 
Mkuu ni hivi watutsi baada ya kutandikwa mwaka 1957-59 wakakimbilia ugenini sasa wakataka kurudi rwanda kwa mabavu..... Na ndio shida hiyo hivyo walivyorudi rwanda ndio wakaanza kuua wahutu na hapo ndipo wahutu wakajua watutsi wanataka kuwatawala tena ndio maana nao wakajibu mapigo kwa kuanza kuwachinja na nimesema wazi hata kule ICTR watutsi walikiri waliagizwa na kagame kuchinja wahutu wote watakaokutana nao na nmeshattach hapa hyo confession

2. Kweli ni wanyarwanda ila mbona wahutu waliopo congo mnawabana wasirudi na silaha mnataka waweke chini waje kma raia ilihali nyie hamkurudi as civilians ila mlirudi kama jeshi..... Hilo ndio lilipelekea genocide afterall mazungumzo ya Arusha waliwapa ruhusa mrudi kma raia lakini ghafla mkaja na masilaha na kuanza vita sasa ulitegemea wahutu wawachekee chekee

NB: najua ulikuwa hujazaliwa ila mziki wa wahutu usingeuweza na hata leo wamewazidi number sema tu wamekosa kiongozi..... Ila siku wakipata viongozi mtanyooshwa zaidi ya 1994
Man wewe inaonekana uko paranoid na kichwani umejaa mapicha mmemtoa kagame madarakani
 
Daah ndio maana spendi kusoma nyuzi na Bold kabla hazijaisha. .. hapa nimebaki na Arosto ya kufa mtu

Sjui Episode ya 11 anaachia lini
 
Jestikila
Naona safari hii umedumu sana bila ban. Endelea hivi japo wanakuchokoza sana naona hahahaha
Nimekumiss..

Nimejitahidi wiki hii kwakweli nimetisha mbaya Hii stori pia inanifanya niwe na nidham kuna baadhi ya vitu sikujua na wala familiy wanawaisema ndio naviona hapa inanipa hamasa sana Jinsi kagame alivofanya mpaka nchi iko hapa ilipo Najiskia raha sana kuzaliwa na kua raia wa nchi hiyo kwakweli kijana yeyote akisoma anajiskia raha sana ndio maana most of Guys kule wako Proud sana na nchi yao yaani basi mambo ya kazi tu yananifanya niwe mbali ila nikitua pale Kigali hua najiskia raha saa hasa nipande Rwandair bas tunaongea na air hostess kinyarwanda Raha sana.
Thank you kwa stori hii.
 
Wakuu heshima
Tukubali tukatae Kagema was and is ahead of his time.Jamaa ana uwezo mkubwa sana wa kufikiria.It takes a certain type of lebel leader to topple a government ambayo ina silaha za Kila aina at its disposal, best quote kutoka kwa Kagame niliwahi ipata sehemu akiwa bado msituni alisema " suala sio uzuri wa silaha gani adui yako anayo,suala ni je mtu anayoioperate anajua kwanini anapigana" ,Ukiangalia RPF walijua hasa ni sababu gani wanapigana,bila shaka PK aliwajenga kisaikolojia hasa
 
Thank you son kwa kunikumbusha... nilisahau kabisa.

Dah bimkubwa wako Nifah tusubiri kidogo aisee... bado hajatulia kupata muda wa kuingia humu. But atarudi tu kabla ya March
Pamoja sana dad,mpe hi bi mdanga,huwa nina refresh hii nyuzi kila ninapopata nafasi
 
Wakuu heshima
Tukubali tukatae Kagema was and is ahead of his time.Jamaa ana uwezo mkubwa sana wa kufikiria.It takes a certain type of lebel leader to topple a government ambayo ina silaha za Kila aina at its disposal, best quote kutoka kwa Kagame niliwahi ipata sehemu akiwa bado msituni alisema " suala sio uzuri wa silaha gani adui yako anayo,suala ni je mtu anayoioperate anajua kwanini anapigana" ,Ukiangalia RPF walijua hasa ni sababu gani wanapigana,bila shaka PK aliwajenga kisaikolojia hasa

This is a Real man ndio maana hakuna anaemsumbua kwa kizazi cha sasa alikua ana focus mambo makubwa sana mbele nilimpenda tu pale alipofika karibu na Kigali halafu akastopisha operation ingekua wengine wangeendelea wachukue nchi halafu ianze tena mapigano kwakweli Heshima kubwa kwake.Baba wa Taifa la Rwanda kafanya Hii leo Rwanda ipige hatua kubwa sana ya maendeleo ingawa watu flani humu aka Haters watakuja toa povu.
 
It takes you to be a retard to believe in ethnic superiority bullshit ! .Meanwhile your fellow country men lives like fucking beggars .This is nonsense , utterly Chronic mental retardation syndrome that most of Africans (Black people ) have been it's victims for hundreds of years .

I don't care who rules all I need is for black ( majority sub-saharan ) natives to get rid of this miserable poverty ,an embarrassment that has even exhumed the threat for new slavery eg.Libya as a study case.

Whoever is inclined to ethnic superiority and applaud it , he / she is a stinking stupid Moron .I don't care whoever it is and whatever he has done.

This is the kind behavior that is so deeply rooted within most of us to an extent that even our leaders have been used to it , in fact they had been born and raised in this way , we need to change ....................................

What a terrible shame this is, killing innocent unarmed civilians in Cold blood ,slaughtering them and burning them like garbages. Yet you have got balls to stand up and proclaim your innocence & integrity as a leader . So sad ..............
 
Mkuu acha kujitoa ufaham nimeweka mpaka video ya Rwanda genocide of Tutsis against hutu in Rwanda na hata nimeweka hapo juu link ya genocide ya watutsi kuua wahutu na hapa chini naattach tena moja ya testimonies kule ICTR juu ya RPF kutoa order ya kuchinja wahutu wote
Hata utoe na damu zao hatuwezi kukuelewa!! Je kama walilipwa ili waweze kutoa ushahidi wa uongo!! Wewe endelea kusoma tuu akimaliza nawewe anzisha thread yako ili tuende sambamba!! Zitto junior mbona mzito kweli usitake kuwa mzito kama Jina lako
 
Ila jamani.. yote kwa yote hawa watu wasirudi tena 1994 it was very very sad.....
waishi kwa amani tu....
maana mtiririko wa nakala unaonyesha jinsi gani...kisasi kilivyojitengeneza hata sasa ...hata mm kama binadamu wa kawaida lazima ningejawa fundo moyoni...

jana nmeangalia testmony ...jamani it was very sad[emoji24][emoji24][emoji24]kuna dada alishuhudia mama ake akikatwa mapanga... jamani ....si ndio visasi vinakoanza hapo..

Ila tu Mungu awasimamie ...waachane nayo waendelee kuunda Rwanda mpya
Hizi zote ni drama Dada angu!! Jiulize kwanini walibase kwenye upande mmoja wa kuhoji wahutu?? Ndugu zangu walichomewa nyumba mwaka 1959 wakakimbilia Congo!! Ila bado walifatwa na serikali iliyokuwepo kipindi hicho ili iangamize watutsi wote!! Ila tunamshukuru nyerere kwa kutupa hifadhi tanzania
 
Hata utoe na damu zao hatuwezi kukuelewa!! Je kama walilipwa ili waweze kutoa ushahidi wa uongo!! Wewe endelea kusoma tuu akimaliza nawewe anzisha thread yako ili tuende sambamba!! Zitto junior mbona mzito kweli usitake kuwa mzito kama Jina lako
Wamelipwa kwahiyo human rights watch wamelipwa??? Transparency international wamelipwa?? UN wamelipwa?? Maana wote wametoa ripoti kuwa RPF walifanya Hutu genocide walipopindua serikali ya habyarimana sasa nikuamini wwe ama wao??

Niweke rekodi sawa.....Mie nlikuwa namsoma vzuri tu the bold na naheshimu kazi yake ila kuna comments za wapotoshaji humu ndio zilinifanya nianze kuwajibu hao wahuni ila the bold hajaongelea bado kuhusu genocide ndio maana hakuna sehemu nimemkosoa wala kumpinga au kumuita mpotoshaji kwa lolote lile
 
Ww bwabwaja tu, akitoka kagame apo mtanyea debe, hayo mahutu yamevunga tu, lkn hasira yao inatokota.

Hatupendi yawakute tena hayo maana sio mazuri.
No more hutu and tutsi in rwanda!! We are all rwandese so utasubiri saana kuona hivyo vituuu. [HASHTAG]#tunasemaga[/HASHTAG] never again Genocide against tutsi#
 
Hizi zote ni drama Dada angu!! Jiulize kwanini walibase kwenye upande mmoja wa kuhoji wahutu?? Ndugu zangu walichomewa nyumba mwaka 1959 wakakimbilia Congo!! Ila bado walifatwa na serikali iliyokuwepo kipindi hicho ili iangamize watutsi wote!! Ila tunamshukuru nyerere kwa kutupa hifadhi tanzania
Mkuu acha uongo mbona mobutu alipoingia aliwapa hifadhi watutsi huko DRC!! Wanyamulenge na wahema na wagegere mbona wanaishi kwa amani congo DRC tokea enzi za mobutu na aliwapa unconditional hifadhi na aliwalinda na akawaweka serikalini na jeshini!!! Leo hii ndio mnasingizia wahutu waliwaua mkiwa congo???

Mkuu vita ya kikabila haiishi kwa kisasi inatakiwa mkae meza moja mgawane nafasi pasu kwa pasu na kila raia aridhike nakumbuka nlishawahi kutoa hilo pendekezo kwenye kikao kimoja huko mukono,uganda ila majibu waliyonipa watutsi mpaka leo sina hamu kabisa!!!

Tunachotaka ni amani jitahidini kuwafurahisha makabila yote ili amani itawale nakumbuka rais wa kwanza wa burundi alioa muhutu ili kuvunja ukabila na nchi ilikaa kwa amani bila vita!! Jifunzeni kwake
 
No more hutu and tutsi in rwanda!! We are all rwandese so utasubiri saana kuona hivyo vituuu. [HASHTAG]#tunasemaga[/HASHTAG] never again Genocide against tutsi#
Mkuu kuna wahutu wanazidi million 3 nliwakuta uvira hadi idjwi huko DRC wanaapa watalipa kisasi na kumtoa kagame na watutsi serikalini tena wanaongea na mapovu yanawatoka sasa unaposema hakuna uhutu au ututsi ilihali bado sababu zilizopelekea vita ya 1994 zipo tukueleweje?? At least mpeni mhutu urais just 5 years waridhike ila kuendelea kuwatawala kimabavu haitowasaidia lolote

Wahutu wengi tu wanalalamika kuna blog moja ya kifaransa ukiingia humo wanatoka mapovu sababu wanatumia fake IDs wanaapa kumchinja kagame sasa sikufurahishwa ifike wakati muweke usawa ili uhutu na ututsi ufe ikiwezekana muoane ili mchanganyike na tofauti zifie hapo
 
Man wewe inaonekana uko paranoid na kichwani umejaa mapicha mmemtoa kagame madarakani
Sina shida ya kagame kutoka madarakani maana kiukweli kaleta maendeleo makubwa sana Rwanda na kiongozi wa kuigwa mfano jinsi alivyozima mapigano na nchi kusonga mbele however changamoto aliyonayo ni kujenga usawa.... Wahutu wanakandamizwa sana hivyo hata asipotoka ila akiweza kuweka usawa kati ya wahutu na watutsi basi mambo yatakuwa vizuri na Rwanda itakuwa moja kma burundi ilivyo

Nakumbuka UPRONA chama cha watutsi huko burundi kiliamua kuwaachia kwa amani kabisa chama wa wahutu kuongoza nchi baada ya uchaguzi wa kidemokrasia na wahutu wakawa na furaha ukabila ukafa mwanzo wa miaka ya 90.... Na hata mpigania uhuru wa burundi alikuwa mtutsi na alivunja ukabila kwa kuweka usawa kati ya makabila haya mawili huku yye akiwa mfano kwa kuoa muhutu ili kuchanganya damu..... Na burundi waliishi kwa amani kwanni msimuige Prince louise Rwagasore aliekuwa kiongozi wa UPRONA na mpigania uhuru
 
Back
Top Bottom