Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Ok ok kwahio the same ni hutu empire ama bantu empire ili kulinda interest kama unazozitaja hapo juu? Kama sio hema empire basi inakuwa bantu empire, huu ni ujinga wa kiwango cha Lami Hivi tukirithishana ujinga wa namna hiyo kwa next generation unadhani kutatokea nini? Ni heri kufikiri mwisho wa jambo kabla hujalianza
Bantu empire?? Unafkiri wabantu wana tabia za kujiskia kma cuishites kiasi kwamba waanzishe empire yao watawale wengine?? Ushawahi sikia ethiopia wanajiita waafrika?? Hizo tabia za kujiona so special zimeanzia kwa ethiopia waliozitoa israel so hakuna cha bantu empire coz wahutu hawana mawazo hayo

Ila watutsi ndio wana mawazo hayo kisa wanajiona minority!!
 
We kama hujui kitu kaa kimya au hujui sababu ya Kabila mkubwa kuuawa?? Unajua sababu ya mtikila kumalizwa!! Je unajua kwanini Congo inagawanywa kuwa east na west?? Unajua kwanini nkuruzinza alitaka kupinduliwa na kagame?? Unaelewa kwanini besigye alienda upinzani pamoja na Mugisha muntu??? Unaelewa kwanini Bosco ntaganda aligombana na kagame?? Unajua sultan makenga yukwapi???

Kama hufuatilii mambo uwe unauliza hakuna cha myths we subiri cku uone EAC imekuwa nchi moja alafu ipo chini ya Mr Slim ndio utaelewa naongelea nini!! By 1980 tutsis were mere refugees ila by now Washatawala uganda Rwanda na DRC alafu bado unaita myths!!

Anyway mada iishe tunajaza huu uzi kwa majibizano yasiyo na tija.... Kumradhi the bold

Mchana mwema
Sidhan kama kuna uozo unaozid huu ndani ya hii thread yote
 
Sidhan kama kuna uozo unaozid huu ndani ya hii thread yote
Haya alipata kusema mtikila na General wa RPF Katumba nyamwasa pamoja na Kabila senior ina maana we unajua sana kuliko hao 3 wenye uzoefu wa kisiasa kwa miaka zaidi ya 30!!
 
Naweza kukubaliana na wewe kwa sehem some of you are trying hard to overcome the wound of that evil incidence na kwa kweli naunga mkono juhudi zenu ila kumbuka haki huokoa taifa hivyo bidii zenu ziendane na haki pia kwa jamii zingine zilizoko rwanda nje ya hapo hata kama itapita miaka mia genocide itakuja tena kwa sababu ukiisoma huwa inafanyika kwa plan ambapo kizazi huzaliwa na kurithishwa hiyo hasira hadi pale kinapolipa inaweza isiwe kutokea misitu ya kongo ila nimekaa na wanyarwanda Malawi hapana aisee bado kazi ipo
Unacho sema ni kweli kuna shida kubwa, kuna mgawanyiko mkubwa kijamii watutsi wana jamii yao inayo jipambanua kuwa juu ya wahutu. Serikali ina upendeleo wa wazi kabisa ambao huendeshwa kimiakimia kama mchekeshaji maarufu mwingereza. Huko mbele hasa baada ya Kagame kuondoka watutsi wajiandae kupata shida nyingine.
 
usigeneralise tabia ya mmoja kutufanya ya wote. ..don't let a single or few people destroy the image of people you have never met...tuko hapa kwa huu uzi tukiwa na nia ya kuelimika na kujifunza
Uko vizuri, nikuulize kwa nini mzee haja pata mtu wa kuchukua nafasi yake na kuweka utaratibu mzuri wa kuachiana mamlaka na ingependeza akawa mhutu?
Wengi tuna wasiwasi sana hapo, na kuna wanyarwanda nje ambao bado wanasta kurudi kuna nini wanahisi kuwaondolea huu wasiwasi mzee anajitihada gani? Kupelekewa ndege inawezekana ni mtego mie ningependa kujua
 
Haya alipata kusema mtikila na General wa RPF Katumba nyamwasa pamoja na Kabila senior ina maana we unajua sana kuliko hao 3 wenye uzoefu wa kisiasa kwa miaka zaidi ya 30!!
Kwamba ni dhambi kwa sisi kua sisi??? that is who we are, tumezaliwa tuwatawale ndie wadhaifu, ni sehemu ya vinasaba vyetu

Unajaza mawazo finyu yako kwenye thread eeh wanajiona, wanataka wao watawale tu... fumbafu
 
Lowassa anaingiaje hapa?? Naongelea watutsi kwamba huo ndio mpango wenu muanzishe nchi yenu ambayo mtajitawala that's it kma israel tu ili msije mkateseka in case mkirudi ukimbizini kma pre 1990!! Thats all

NB: Tuache hii mijadala tunajaza uzi wa the bold mbona huelewi.... Tunakera watu
Hata wamasai sio wabantu mzee so ni cushites. Na kwa mtazamo wako cushites ni minority na wana mpango wa kujenga hema empire. Kama Kenya &tz zikiongozwa na mmasai kwa akili zako utasema hema empire imetimia
 
Kwamba ni dhambi kwa sisi kua sisi??? that is who we are, tumezaliwa tuwatawale ndie wadhaifu, ni sehemu ya vinasaba vyetu

Unajaza mawazo finyu yako kwenye thread eeh wanajiona, wanataka wao watawale tu... fumbafu
Hahahaha mkuu inaonekana hata wao hawataki kutawalika wanataka vinasaba vyenu wawatawale... What an antagonist generation [emoji28] [emoji28]
 
Hata wamasai sio wabantu mzee so ni cushites. Na kwa mtazamo wako cushites ni minority na wana mpango wa kujenga hema empire. Kama Kenya &tz zikiongozwa na mmasai kwa akili zako utasema hema empire imetimia
Mbona unakuza mambo mie nmeongelea HEMA empire sasa wamasai ni HEMA bloodline??? Mbona unaongea vitu visivyorandana..... Ni lini lowassa amekuwa mHima??

Nmekuuliza unajua sababu ya proposal ya kabila kuwa congo igawanywe mara 2?? Unajua nani kamtuma na sababu zipi?? Do ur homework sio kubishana humu JF all day
 
Kwamba ni dhambi kwa sisi kua sisi??? that is who we are, tumezaliwa tuwatawale ndie wadhaifu, ni sehemu ya vinasaba vyetu

Unajaza mawazo finyu yako kwenye thread eeh wanajiona, wanataka wao watawale tu... fumbafu

Tutsi arrogance!! Siku mkichinjwa tena nisione mnalialia kukimbilia Tanzania kuomba msaada makambini

Inyezi
 
Hahahaha mkuu inaonekana hata wao hawataki kutawalika wanataka vinasaba vyenu wawatawale... What an antagonist generation [emoji28] [emoji28]
Nyie endekezeni kejeli na kujiona bora kuliko wengine siku yakiwapata msirudi kulia lia humu
 
Ok guys tuishie hapa time will tell tunamjazia uzi the bold tukutane refugee camps soon !!
 
Tatizo lolote linaanza kama choko choko mwisho linakuwa kweliii, Sasa basi dalili ya mvua ni mawingu
 
Naipenda sana JF najifunza vitu vingi mnoooo
Kuna vichwa balaa humu ndani
The Bold ahsante kwa Uzi huu
Watusi ni shemeji zangu na mawifi zangu lkn sikuwa nayajua haya
 
Uko vizuri, nikuulize kwa nini mzee haja pata mtu wa kuchukua nafasi yake na kuweka utaratibu mzuri wa kuachiana mamlaka na ingependeza akawa mhutu?
Wengi tuna wasiwasi sana hapo, na kuna wanyarwanda nje ambao bado wanasta kurudi kuna nini wanahisi kuwaondolea huu wasiwasi mzee anajitihada gani? Kupelekewa ndege inawezekana ni mtego mie ningependa kujua
I can't answer that kiukwel...but rw ni ya wote as far as I know
 
Back
Top Bottom