Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Nimejaribu njia zote ila nmeshindwa kusoma sehemu ya pili na zinazoendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Essay nzima unalialia tu sijaona hoja yoyote!!!kina nani mkuu? Mimi ni mtanzania ndio,uache muda uamue wewe ni nani muhutu? sawa we muhutu basi hamia Rwanda tuache sisi na tz yetu.Mimi katika mada hii siwez bishana na mrwanda mana anahaki100 ya kuongelea nchi yake bila kujali ni muhutu au mtusi
mpaka hapo unakosa sifa ya kuwa msomi mkuu unatake sides,unataka wewe ndiye upewe sympathy ya wanyarwanda wakati umejificha tz?! unaijua vita?! umevaa viatu vya wanyarwanda ukajua nini kilitokea? kama hukuwepo kaa chini wote tutulize makalio yetu tusikilize kisa hiki na kama una hoja ijenge sio kwa ubishi
be humble mkuu,maisha hayana formula,unalilia vita wakati hujazika baba na mama Rwanda?! unaijua damu mkuu?! tuna watz wanaishi Rwanda pale wameoa na kuolewa,wanasoma,kuna wanyarwanda tz pia.nani alikwambia Fulani ni mbantu na flank sio una uhakika gani wewe ni mbantu mkuu zaidi ya hizi nadharia?!
Leo watz wanaitwa uhamiaj kujua uraia wao,kesho ww ukiitwa useme ubantu wako utatuambia nn na wakat umekaririshwa tu? be humble mkuu usicheze na nafsi za watu,
MTU yeyote anayeiongoza serikali ana akili kuliko wewe ndiomana yupo pale,they paid the cost to be there.soma history yako mkuu but mwisho wasiku elewa imeandikwa na watu wenye manufaa yao,so who are you ujitie mjuaji kama wakubwa tu hawaongei,ongeza uelewa sio chuki !
Tz tunamakabila kibao huku watu wanachinjana ujaifanya huon hayo kujadili,tuna matatizo yetu kibao ndiomana unamuona huyu binti anakudharau sababu anakwambia ukweli,kwanini tusijadili matatizo yetu hizi historia zaotuwaachi wenyewe mkuu,usikaririshwe mkuu.
hata Leo ukipewa madaraka wewe huwezi Fanya unachofikiria mkuu sababu uongozi hauendeshwi kwa hamaki utafeli ,ndiomana mastermind wa intelejensia wanaongoza nchi na majeshi.kaachini mkuu
Economy ya Rwanda ipo vizuri sana tu kwa hilo nawapongeza kagame anachapa kazi sana ni zaidi ya magufuli ILA ni dikteta haswaa na ameua wapinzani wake wengi sana hilo halitabadilika hata mkilialia humuBrother hizo issue za Israel niwewe unazipaisha sisi hatuna mambo hiyo!! Hata tunavyoishi Huku rwanda mambo ya hutu na tutsi hakuna!! Tunasoma wote!! Hayo mambo ya propaganda!! Unazoongelea hatuna!! Kiukweli jamaa una chuki binafsi!! Udictetor!! Mnaujua nyie mnaosoma Habari za opposition!!
Basi tuongelee economy ya rwanda!! Inapanda Au inashuka!!
Facts gani mie nimepinga takwimu za genocide na niliweka hapa facts zangu mpaka leo hamjajibu mmebaki kulia lia tuKweli jamaa Ana chuki saana!! Maana Hata tukitumia facts jamaa hakubali!! Wapinzani wanafungwa wakishakuja na mambo ya kuleta kugawanya wanyarwanda!!
Nani hana huruma?? Nyie mnasema wazungu waliacha tutsi wakiuawa ilihali wakati wazungu 14 wanachinjwa na interhamwe RPF haikusaidia what did u expect wazungu wafanye?? Wenyewe walikua ordered waondokeUkajua mapandikizi utabaki hivyo hivyo!! Sisi Ndo tunapenda! Udictetor wake!! Nchi yetu sio yenu!!
Niko nabishana na mtu asiye na moyo wa huruma!! Unaweza kuona watu wanaua mbele yako ukashindwa kuwalinda unaowaona mbele yako???
Hii kesi kitambo sana ila imekufa baada ya mashahidi kutishwa na majaji kupigwa biti!!Onyesha warrant hiyo unayosema!! Hacha maneno ya kahawa
Shida nyie kila anayekosoa anakuwa mhutu ukikosoa kenya unaitwa mjaluo haya jukwaa la siasa wananiita mchagga!! Seriously nina uraia wa nchi ngapi??mwambie mkuu na jamaa Nina walakini kama ni mtz huyu atakua mhutu tu was kigoma huko mana anahasira sio kawaida.sisi watz huku tunawajua warwanda tu hakuna mhutu wala mtusi tz hatutaki hizo propaganda za ukabila usiotuhusu
Wazungu wako upande wetu?? Nani kakwambia kila mkosoa kagame ni mhutu?? Rwigara naye alihoji propaganda za kagame naye mtamuita mhutu!!!Wazungu walikuwa upande wenu wa Hutu ndio maana wakawapa go ahead ya kufanya genocide mbona hawajatetea hoja yenu kuwa nyie ndo mliouwawa zaidi kwenye genocide. Just for the record France ili play a big role kwenye genocide mpaka imepelekea hadi hivi leo Rwanda kupunguza mahusiano yake ya kibiashara nayo.
nimekujibu hili swali lako lamwisho mkuu tatizo umebase kusoma kubishana kuliko kuelewa.Wazungu wako upande wetu?? Nani kakwambia kila mkosoa kagame ni mhutu?? Rwigara naye alihoji propaganda za kagame naye mtamuita mhutu!!!
Mbona wazungu wanasema genocide against Tutsi.... kma wako upande wa wahutu mbona hawajawahi kuazimisha huti genocide?? Mbona kagame hapelekwi ICC??Mbona war crime za kagame huko DRC hazichukuliwi hatua??
Umeambiwa na nani kwamba wametua mzigo?? Nani kasema vidonda vyao vinapona??babu zetu wenyewe walituambia amani haiji ila kwa ncha ya upanga! ili kufika hapa walipo ilibidi wapite humo walikopita.wamefika wametuazigo wachen wapone vidonda vyao,unaleta uchonganishi utakusaidia nini
Tusiwaingize wazungu kwenye kila kitu tulishapata uhuru miaka 50 iliyopita sasa kwanini tusijisimamie tumekalia kulaumu wazungu kila kukicha!!“We have to be honest, and acknowledge that a big part of the money in our banks come precisely from the exploitation of the African continent.”
“Without Africa, France will slide down into the rank of a 3rd world power”
Former French President Jacques Chirac .
alafu bado mtu kama zito huelewi tu,ukitaka hiko unachokitafta jiandae kuwaleta wakoloni wote mezani uwahukumu pamoja uone kama utaweza.
mkuu kidogo ukiongea taratibu na kistaarabu uaneleweka.umeona sasa unavoyumba unajikuta kwasababu hizi hutaki kujaji yalopita Ila yasasa?! sasa anzia nchini kwako mkuu!! usawa unaousema upo Ila hate has blinded you,na hata kama haupo hauwezi kuja paap sababu wewe na flani tu mnataka hapana!!Tusiwaingize wazungu kwenye kila kitu tulishapata uhuru miaka 50 iliyopita sasa kwanini tusijisimamie tumekalia kulaumu wazungu kila kukicha!!
Watutsi mtende haki na muwe na usawa jifunzeni kwa Prince Rwegasore mpigania uhuru wa burundi aliunganisha wahutu na watutsi na alioa mhutu ili kuua ukabila na Burundi katika muda wake waliishi kwa amani what's so hard kagame aweke usawa na kuruhusu demokrasia itawale ili maoni ya wananchi yaakisiwe kwenye sanduku la kura!! Anaogopa nni?? Kwanni hataki kukosolewa??
Geez!
nakujibu jibu ambalo kama wewe ni mhutu utakaa ulitafakari mpaka unakufa kama unavotafakari Siku zoteUmeambiwa na nani kwamba wametua mzigo?? Nani kasema vidonda vyao vinapona??
Shida wengi mnaochangia humu mnasoma tu makala alafu mnaconclude ilihali hata Rwanda kwenyewe hamjafika kufanya utafiti mnaishia kupewa story za mitandaoni tu
Ni hivi Rwanda bado kuna ukabila sana tu nmesoma huko ndio maana natoka mapovu humu.... Wahutu bado wanadharauliwa sana na watutsi sana tu hta fursa za serikalini ni watutsi watupu hivyo bado sababu zilizopelekea genocide ya 1994 zipo wwe unatoa wapi conclusion kwamba vidonda vinapona na kwamba hawatachinjana tena???
Hapa hakuna anayechonganisha ila tunataka tu ukweli ujulikane na sio propaganda za kina the bold za kuonyesha upande mmoja wa story ya genocide huku upande wa pili ukipuuzwa!!
Utawasikia wapi ilihali unasubiri the bold akuletee taarifa za Rwanda ukiwa kwenye keyboard yako magomeni!! What do u expect??...kama kuna watu wanaonewa watasikika tu,lakini kwanini tunakuskia wewe tu!! save your energy
Hahahahaha pita jukwaa la kenya mkuu kaone navyowakosoaga wakikuyu na ukabila wao wanadhani mimi mjaluo!!! Kule jukwaa la uganda nawakosoa sana wanyankole na utawala wao wameniita mugganda!! So ww ukiniita mhutu ni muendelezo ule ule wa kila anayekosoa lazima awe mpinzani wako!! 😀😀😀nakujibu jibu ambalo kama wewe ni mhutu utakaa ulitafakari mpaka unakufa kama unavotafakari Siku zote
wahutu hawabaguliwi Ila wanaINFERIORITY towards Tutsi.na hili jambo nimeliona kwako pia bwana zito Jr ndiomana nakwambia wewe unaweza kuwa mhutu.
soma historia yako mkuu chanzo cha matatizo yooote hayo ni inferiority ya wahutu kwa Watusi
kama hujui inferiority ni nini nitakwambia mkuu ,uwoga na hofu kwamba flani ni bora kuliko Mimi hata kama hajasema kitu,haringi anaishi maisha yake.tangu enzi hizo wahutu walihofia uzuri was wahutu(kama unabisha soma amri kumi za wahutu uone inferiority waliyonayo,wanawauliza waname wakihutu je wanawake wakihutu so wazuri? hawawafai? wanawasisitiza waoane wao kwa wao!)
kwahiyo mkuu usawa unaodai wewe upo Ila labda weewe na wahutu wenzio mliogoma kuwa wanyarwanda sasa mnahofia mnakufa mioyoni mwenu mwenu kuwa mbona Watusi,wametawala biashara,serikali na kila kitu,ni mawazo yanayowaua tangu zamani!
by the way Mimi nimekaa Rwanda mkuu tena sio kupita nimekaa pale 6 years so najua nachoongea na Burundi nimefika pia wacha Congo,nakuelewesha kwa maneno simple Ila yatakayokuingia.mkuu wewe unaumwa INFERIORITY kapate tiba !!
nimeona hata maongez yako nyuma unachambua et kigoma Watusi wanajitenga hahahah! Tanzania yetu hii kama wewe sio mrefu unapua ndefu macho flan ukimwambia ni mrwanda hata hakubalian nawe sasa wewe unaongelea habar za wahutu na Watusi!! mkuu unaumwa na ukitaka uchambuz was wahutu na Watusi basi jua Watusi wataonekana bora tu mkuu na hawana dharau Ila wewe ndio wajidharau kuwa haupo sawa nao by the way mi ni mgogo ndugu yangu.karibu area d.
[emoji23] [emoji23] tunapashaKwani mada ni nini wakuu[emoji23][emoji23]
pamoja mkuu Ila usiwe harsh sasa kwa mabebezHahahahaha pita jukwaa la kenya mkuu kaone navyowakosoaga wakikuyu na ukabila wao wanadhani mimi mjaluo!!! Kule jukwaa la uganda nawakosoa sana wanyankole na utawala wao wameniita mugganda!! So ww ukiniita mhutu ni muendelezo ule ule wa kila anayekosoa lazima awe mpinzani wako!! 😀😀😀
Inaweza ikawa kweli wahutu wana inferiority complex lakini haiondoi uhalisia kwamba mnawaburuza sana mfano kagame kuteua nafasi zote nyeti unafkiri wahutu hawatokuwa na inferiority complex?? Kila uchaguzi kagame hataki mpinzani wa kihutu mwenye nguvu unategemea wasiwe na inferiority complex??
The thing is hakuna inferiority bila uonevu hata the bold unayemuabudu kasema watutsi waliwatesa wahutu sana hadi ikapelekea mapinduzi ya 1957 then wwe unasema eti hakuna uonevu ila inferiority??
Nakataa hujakaa rwanda na burundi huwezi kuishi kule alafu ukatoa maoni kma haya...... Unless ulikuwa unaishi ubalozini tu hutoki nje ila ukikaa kitaa hasa na watutsi watakupa mbili tatu juu ya wanavyowachukulia wahutu unaweza tamani uwachape viboko watutsi!!
Anyway we are all blacks tunachotaka ni usawa..... One love Rwanda,one love East africa