Historia ya Qur'an

Historia ya Qur'an

Hizi ni propaganda kama za marekani jikite kwenye maada mkuu soma historia ya quran upate mbili tatu za mtoa maada
Propaganda na wakati ndo ukweli soma historia ya jamii za kiarabu kabla muhammad hajazaliwa

Walikua na bifu kali sana ila walipatana tu kipindi wanaenda kufanya hija alkaaba ndo mda ambao kulikua na aman
 
Kuna msemo unasema kila zama na kitabu chake ikiwa na maana manabii/mitume waliopita walikuwa na vitabu vyao mfano wa torati, injili, zaburi na quran.

Kwa mujibu wa uislaam kila nabii alipewa kitabu chake kulingana na zama alizonazo lakini maudhui yakiwa ni kumtangaza Mungu mmoja.

Nmejibu kile nnachofaham mkuu mtoa maada atakujibu zaid kwa anachofaham na yeye
Wale walikuwa ni wapagan hata baba yake muhammad alikua mpagani muabudu sanamu na walikua wana hiji kwa kuzunguka alkaaba sawa sawa walivyokua wanafanya waislamu leo

Hizo torati, injili walikua hata hawazijui
 
Propaganda na wakati ndo ukweli soma historia ya jamii za kiarabu kabla muhammad hajazaliwa

Walikua na bifu kali sana ila walipatana tu kipindi wanaenda kufanya hija alkaaba ndo mda ambao kulikua na aman
Kabla ya Muhhamad kulikuwa na madudu mengi jamii za kiarabu zilikuwa zinafanya

Kitu watakiwa kujua ni kuwa sio waarabu wote ni waislamu, ni kama wana wa israel na ukiristu, yesu aliwakuta na mila za ajabu akaja na hoja za kumjua Mungu wa kweli miongoni mwao wakamtundika msalabani.

Na sio huyo tu hata nabii Nuhu na watu wake kabla ya Nuhu walikuwa na mila za ajabu ila Nuhu akaja na hoja za dini na kumjua Mungu ila watu wakamfanyia vitimbwi

Mkuu balance hoja acha kujawa na chuki za kidini na propaganda
 
Kabla ya Muhhamad kulikuwa na madudu mengi jamii za kiarabu zilikuwa zinafanya

Kitu watakiwa kujua ni kuwa sio waarabu wote ni waislamu, ni kama wana wa israel na ukiristu, yesu aliwakuta na mila za ajabu akaja na hoja za kumjua Mungu wa kweli miongoni mwao wakamtundika msalabani.

Na sio huyo tu hata nabii Nuhu na watu wake kabla ya Nuhu walikuwa na mila za ajabu ila Nuhu akaja na hoja za dini na kumjua Mungu ila watu wakamfanyia vitimbwi

Mkuu balance hoja acha kujawa na chuki za kidini na propaganda
Yesu aliwakuta waisrael tayari wana biblia ni tofauti na muhammad

Alafu nionyeshe sehemu nilipofanya chuki dhidi ya uislamu kusema walikuwa wanazunguka alkaaba na kufunga kama wanavyofanya waisalmu wa sasa ndo chuki

Kwa lugha nyingine muhammad alicopy na kupaste taratibu zote za kusali na mapokeo kutoka kwa wale wapagani mababu zake hata madhabahu yao makka akaichukua
 
Yesu aliwakuta waisrael tayari wana biblia ni tofauti na muhammad

Alafu nionyeshe sehemu nilipofanya chuki dhidi ya uislamu kusema walikuwa wanazunguka alkaaba na kufunga kama wanavyofanya waisalmu wa sasa ndo chuki

Kwa lugha nyingine muhammad alicopy na kupaste taratibu zote za kusali na mapokeo kutoka kwa wale wapagani mababu zake hata madhabahu yao makka akaichukua
Kabla ya Yesu biblia ilikuwa na nani
 
Kabla ya Yesu biblia ilikuwa na nani
Ilikuwepo ndo maana yesu mara ya kwanza anahuburi sinagogi alifungua kitabu cha isaya

Luka 4:16-20
Baadaye Yesu akaenda Nazareti, mahali alipokulia. Siku ya sabato alikwenda katika sinagogi kama kawaida yake. Akasimama ili asome Maandiko. 17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifun gua mahali palipoandikwa: 18-19 “Roho wa Bwana yu juu yangu. Amenichagua kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatan gazia wafungwa kuwa wako huru, kuwaambia vipofu kuwa wanaweza kuona tena; na kuwaweka huru wanaoonewa, na nitangaze mwaka ambao Bwana atawabariki watu wake.”20 Akakifunga kitabu, akamrud ishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.

Yesu anazaliwa tayari dini ya kiyahudi ipo na wana-biblia tayari
 
Ilikuwepo ndo maana yesu mara ya kwanza anahuburi sinagogi alifungua kitabu cha isaya

Yesu anazaliwa tayari dini ya kiyahudi ipo na wana-biblia tayari
Mkuu kiukweli mm sio msoma biblia kwaiyo hoja za kikiristu siwezi zitolea ufafanuzi hivyohivyo nawewe pia sio msoma quran ndio maana wachukua juu juu tu kwaiyo haina haya ya kubishana cha umuhimu pale tunapofahamu tuwe tayari kufahamishwa zaidi kwa kile tusichofaham

Acha mtoa maada atufahamishe historia ya qu'ran
 
HISTORIA YA QUR'AN.

SEHEMU YA KWANZA 01.

Asalaam Alaykum Warahmatullah Wabaarakatuh, Kila Sifa njema anastahiri Mwenyezi Mungu Nola mlezi wa Walimwengu wote, na Sifa njema zimuendee Kipenzi chetu Mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم na Radhi za Allah ziwashukie Maswahaba zake na wema waliotangulia.

Moja kwa moja niingie Katika DARASA Jipya la HISTORIA YA QUR'AN, historia ambayo imebeba mambo mengi mno yakujifunza. InshaaAllah, Fuatana na Mimi kuijuwa Historia ya Qur'an... 👇

Nini Maana ya Qur'an.

👉 Qur-an ni wahy (ufunuo) kwa Mtume Muhammad (s.a.w) kutoka kwa Allah (s.w) kupitia kwa Malaika Jibril (a.s). Au Ni Maneno ya Mwenyezi Mungu kwa Mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم kupitia Malaika Jibril عليه سلم.

HISTORIA yake...

Qur-an ilianza kumshukia Mtume Muhammad (s.a.w) mwaka 610 A.D. alipokuwa na umri wa miaka 40. Mtume Muhammad (s.a.w) alianza kushushiwa Qur-an akiwa pangoni katika mlima Hira (Jabal Hira) katika usiku wa mwezi wa Ramadhani kama Qur-an yenyewe inavyotufahamisha:

👉 "Ni mwezi wa Ramadhani ambamo imeteremshwa hii Qur-an" (2:185)

👉"Hakika Tumeiteremsha (Qur-an) katika Laylatul-Qadr (usiku wenye hishima kubwa). Na jambo gani litakujulisha (hata ukajua) ni nini huo usiku wenye hishima kubwa? Huo usiku wa hishima ni bora kuliko miezi elfu. Huteremka Malaika na roho (Jibriil) katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao kwa kila jambo. Ni amani (usiku) huo mpaka mapambazuko ya alfajiri." (9 7:1-5)

Tunajifunza kutokana na aya hizi kuwa mwezi wa Ramadhani umetukuzwa kutokana na Qur-an kuanza kushuka katika mwezi huu. Pamoja na funga kufaradhishwa kwa umma za Mitume wote wa Allah (s.w); kwa ummat Muhammad (s.a.w),funga imefaradhishwa iwe katika mwezi wa Ramadhani ili iwe ni pamoja na kusherehekea kushuka kwa Qur-an na kilele cha sherehe hii kinakuwa katika usiku wa hishima (Laylatul-Qadr) ambamo Qur-an ilianza kushuka. Mtume (s.a.w) alikuwa akizidisha kusoma Qur-an katika mwezi huu na alikuwa akikaa Itiqaf katika kumi la mwisho la Ramadhani ili aweze kudiriki kilele cha sherehe. Usiku wenye hishima (Laylatul-Qadr) ulifichwa kwa Mtume (s.a.w) lakini alifunuliwa na Mola wake kuwa unapatikana katika kumi la mwisho la Ramadhani. Ni sunnah kwa Waislamu kuzidisha kusoma Qur-an katika mwezi mzima wa Ramadhani na kukaa Itiqaf katika kumi la mwisho, ili kushiriki kikamilifu katika sherehe ya kumbu kumbu ya kuanza kushuka Qur-an.

Historia ya kuanza kushuka Qur-an kwa Mtume Muhammad (s.a.w) kupitia kwa Malaika Jibril (a.s) inasimuliwa vyema katika Hadith ya bibi 'Aisha (r.a) ifuatayo:
Bibi 'Aisha (r.a) amesema:" Kilichoanza katika Wahyi wa Mtume (s.a.w) ni ndoto za kweli. Alikuwa Mtume (s.a.w) haoti chochote isipokuwa kilitokea kama alivyoota. Kisha akaona ni bora kujitenga. Akawa anakwenda Jabal Hira kujilinda na maovu. Basi alikuwa anakwenda Jabal Hira akifanya ibada masiku mengi na alichukua masurufu kwa ajili hiyo. Masurufu haya kila yalipokwisha alirudi tena kwa Bibi Khadija, aliyemtayarishia masurufu kama yale (ya kwanza) mpaka ikambainikia haki akiwa pangoni Hira. Basi akamjia Malaika (Jibril) humo pangoni akamuamrisha kusoma, Mtume (s.a.w) alijibu: "Sijui kusoma". Alinibana kwa nguvu mpaka nikahisi taabu. Kisha akaniachia na kuniamrisha tena kusoma na nikajibu: Sijui kusoma: Kisha akanibana tena kwa nguvu kwa mara ya pili mpaka nikahisi taabu. Kisha akaniachia na kuniamrisha tena kusoma. Nilijibu tena, "sijui kusoma". Akanikumbatia tena kwa nguvu kwa mara ya tatu mpaka nikahisi mashaka, kisha akaniachia na akasema:

👉 "Soma kwa jina la Mola wako aliyeumba. Amemuumba mwanaadamu kwa pande la damu. Soma na Mola wako ni Karimu sana.Ambaye amefundisha kwa msaada wa kalamu.Amemfundisha mwanaadamu mambo aliyokuwa hayajui." (96:1-5)

Mtume wa Mwenyezi Mungu alirejea na Wahy huu, huku akitetemeka kwa khofu aliyokuwa nayo. Alikwenda kwa mkewe Khadijah na akamhadithia yale yote yaliyomtokea kisha akasema;

"Nakhofia kuwa kitu kinaweza kunitokea ". Khadijah alijibu: "Hapana! Naapa kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu hatakufedhehesha. Unakaa vizuri na kuwafanyia wema ndugu na jamaa zako, unawasaidia masikini na fukara, unawakirimu wageni na unawasaidia waliokabiliwa na matatizo. "Kisha Bibi Khadijah alimchukua Mtume (s.a.w) mpaka kwa bin-ami yake, Waraqa bin Naufal bin Asad bin Abdul Uzza, ambaye alikuwa Mkristo. Waraqa wakati huo alikuwa mzee sana na alikuwa hawezi kuona tena. Khadijah alimuambia Waraqa "Sikiliza hadithi ya mpwa wako, Ewe Bin-ami yangu" Waraqa aliuliza, "Ewe Mpwa wangu umeona nini?" Mtume wa Mwenyezi Mungu alimuhadithia habari yote kama alivyoona. Waraqa akasema: "Huyu ni yule mtunza siri (Malaika Jibril) ambaye Mwenyezi Mungu alimtuma kwa Mussa. Natamani ningelikuwa kijana na kuishi mpaka wakati huo watu wako watakapokukataa na kukufukuza." Mtume wa Mwenyezi Mungu akauliza: "Watanifukuza?" Waraqa akajibu kuwa watafanya hivyo na akasema, "Yeyote aliyekuja na kitu kama hicho ulichokuja nacho alifanyiwa uadui na watu wake, na ningejaaliwa kubakia hai mpaka siku hiyo watu wako watakapokufukuza, ningelikusaidia kwa hali na mali." Lakini baada ya muda mfupi Waraqa alifariki na Wahyi mwingine ulikawia kuja kwa kipindi kirefu. (Sahihi Bukhari)
Tunajifunza kutokana na Hadith kuwa kabla Mtume (s.a.w) hajaanza kushushiwa Qur-an kupitia kwa Malaika Jibril (a.s) alikuwa akipata Wahy kwa njia ya ndoto.
Qur-an yote kwa ujumla imehifadhiwa katika ubao mtukufu wa Allah (s.w) ulio katika Arshi yake kama tunavyofahamishwa katika Qur-an:

👉"Bali hii ni Qur-an tukufu iliyotolewa katika Lawhi Mmahfuudh (huo ubao uliohifadhiwa)." (85:21-22)

Kisha kutoka Lawhi Mmahfuudh Qur-an ilishushwa mpaka wingu wa kwanza. Kisha kutoka humo ikashushwa kidogo kidogo kwa Mtume (s.a.w) kupitia kwa Malaika Jibril (a.s) kwa kipindi chote cha Utume cha miaka 23.

👉"Kwa hakika hii (Qur-an) ni kauli (aliyokuja nayo) Mjumbe Mtukufu (Jibril), Mwenye nguvu na cheo cha hishima kwa Mwenyezi Mungu. (81:19-20)

Kama tunavyojifunza katika Hadith, aya za mwanzo kumshukia Mtume (s.a.w) ni aya tano za mwanzo za suratul-’Alaq. Aya zilizofuatia katika sura hii (96:6-19) zilishuka siku za baadaye.

Aya ya mwisho kumshukia Mtume (s.a.w) alipokuwa katika Hija ya kuaga (Hijjatul Wadaai) ni aya ya tatu ya suratul Maida (5:3) ambayo imeashiria mwisho wa wahy wa Qur-an katika sehemu ifuatayo:

👉 "Leo waliokufuru wamekata tamaa katika dini yenu, basi msiwaogope, bali niogopeni mimi. Leo nimekukamilishieni dini yenu, na kukutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni Uislamu uwe dini yenu" Qur'an (5:3)

Pia tunajifunza kutokana na historia ya kushuka Qur-an kuwa sura ya kwanza kushuka nzima (ikiwa na aya zote) ni Suratul-Fatiha (Al-hamdu) na imekuwa ndio sura ya kwanza katika msahafu. Katika mtiririko wa kushuka suratul-Fatiha ni Wahy wa tano. Sura ya mwisho kushuka ikiwa nzima ni Suratun-Nasr, sura ya 114 katika utaratibu wa kushuka.

Inaendelea... InshaaAllah

Allah Ni Mjuzi Zaidi.
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 AD. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
 
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
Maandishi mengi lkn kubwa umeonyesha ujinga wako kwa kukosa maarifa

Ushauri kwako chief,,,,,wakati mwingine kukaa kimya kutakuheshima zaidi

Asante
 
Wewe unaongea kutokana na uelewa wako jinsi ulivyo.!
Katika mafundisho ya Dini ya kiislam.
Uislam upo toka Enzi nabii Adam anaumbwa na ndio nabii wa kwanza katika historia ya manabii wa kiislam.
Tunapoweka mezani nadharia ya uumbwaji wa binadamu chanzo chake kikiwa ni Kuumbwa na Mungu basi sisi Waislam tunaamini kuwa Adam ndio chanzo cha sisi wote tuliomo ulimwenguni.
Uislam upo tangu Kipindi cha Adam na Hawa. Na manabii/mitume wengi walikuja kuutangaza Uislam kabla ya Muhammad.
Muhammad yeye ndio Mtume wa mwisho na hakuna mwingine baadae yake yeye.!
Sisi waislam ndio tunaamini ivyo.
Wewe icho ulichoeleza ni mtazamo wako...
Wayahudi (Waisrael) wanawakana Waislamu na wakristo kuhusu Hilo
 
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
Kumbe Ukatoliki ulikuwepo Kabla ya kristo na hamsemi 😳😳..
Mwaka 600 BC walikuwa Tayari wana nguvu 😳😳🤣🤣🤣🤣
 
Wewe unaongea kutokana na uelewa wako jinsi ulivyo.!
Katika mafundisho ya Dini ya kiislam.
Uislam upo toka Enzi nabii Adam anaumbwa na ndio nabii wa kwanza katika historia ya manabii wa kiislam.
Tunapoweka mezani nadharia ya uumbwaji wa binadamu chanzo chake kikiwa ni Kuumbwa na Mungu basi sisi Waislam tunaamini kuwa Adam ndio chanzo cha sisi wote tuliomo ulimwenguni.
Uislam upo tangu Kipindi cha Adam na Hawa. Na manabii/mitume wengi walikuja kuutangaza Uislam kabla ya Muhammad.
Muhammad yeye ndio Mtume wa mwisho na hakuna mwingine baadae yake yeye.!
Sisi waislam ndio tunaamini ivyo.
Wewe icho ulichoeleza ni mtazamo wako...
kuna aya inayoelezea kuwepo kwa uislam kuanzia kwa Adam?
 
“Nashuhudia kwamba hakuna mungu ila Allah (s.w.t.); na ninashuhudia kwamba Muhammad ni mtumwa na Mtume Wake.”

Muhammad; huyu Mtume mpya wa Mungu, alijishindia mfuasi wake wa kwanza - Khadija– mke wake. Alikuwa ndiye wa kwanza, wa kwanza kabisa kuthibitisha imani yake katika Tawhid (Upweke wa Muumba), na alikuwa ndiye wa kwanza kabisa kumkubali Muhammad kama Mtume wa Allah (s.w.t.) kwa wanadamu wote. Alikuwa ndio Mwislamu mwanamke wa kwanza.

Muhammad “aliutambulisha” Uislamu kwa Khadija. Alimuelezea maana yake, na akamuingiza kwenye Uislamu.

Heshima ya kuwa mtu wa kwanza katika ulimwengu mzima kushuhudia Upweke wa Allah
(s.w.t.) na kuukubali utume wa Muhammad, ni ya Khadija kwa wakati wote.

F.E. Peters Anasema:

“Yeye (Khadija) alikuwa wa kwanza kuukubali ukweli wake wa wahyi wake (Muhammad), mwislamu wa kwanza baada ya Mtume (s.a.w.) mwenyewe. Alimtia moyo na kumsaidia Muhammad wakati wa miaka migumu ya mwanzo ya mahubiri yake ya hadhara, na katika miaka ishirini na tano ya ndoa yao hakuoa mke mwingine. Ndoa yao ilikuwa, kwa kiwango chochote cha akili cha kuamua, ni uwiano wa mapenzi na vilevile ubia wa ushirikiano. (Allah (s.w.t.)’s Commonwealth, New York)

Kama ilivyoonyeshwa kabla, Ali Ibn Abi Talib, alikuwa akiishi wakati huu na walezi wake, Muhammad na Khadija. Wale vijana wawili wa Muhammad na Khadija – Qasim na Abdullah walikwisha kufa katika uchanga wao. Baada ya kifo chao, walimchukua Ali kama mtoto wao. Ali alikuwa na umri wa miaka mitano alipokuja nyumbani kwao, na alikuwa na miaka kumi pale Muhammad alipofanywa Mtume wa Allah (s.w.t.) Muhammad na Khadija walimlea na kumsomesha.

Katika miaka iliyofuatia, alijionyesha mwenyewe kuwa ni “matokeo” bora sana ya malezi na elimu ile Muhammad na Khadija waliyompa.

Sir William Muir:

‘Mara tu baada ya kuijenga upya Al-Kaaba, Muhammad alijiliwaza mwenyewe kwa kupotea kwa mwanae mdogo Qasim kwa kumchukua Ali, mtoto wa rafiki yake na mlezi wake aliyetangulia, Abu Talib. Ali, wakati huu akiwa sio zaidi ya miaka mitano au sita ya umri, alibaki daima baadaye na Muhammad, na walionyeshana upendo wa baba na mwana.’ (The life of Muhammad, London, 1877)
 
“Nashuhudia kwamba hakuna mungu ila Allah (s.w.t.); na ninashuhudia kwamba Muhammad ni mtumwa na Mtume Wake.”

Muhammad; huyu Mtume mpya wa Mungu, alijishindia mfuasi wake wa kwanza - Khadija– mke wake. Alikuwa ndiye wa kwanza, wa kwanza kabisa kuthibitisha imani yake katika Tawhid (Upweke wa Muumba), na alikuwa ndiye wa kwanza kabisa kumkubali Muhammad kama Mtume wa Allah (s.w.t.) kwa wanadamu wote. Alikuwa ndio Mwislamu mwanamke wa kwanza.

Muhammad “aliutambulisha” Uislamu kwa Khadija. Alimuelezea maana yake, na akamuingiza kwenye Uislamu.

Heshima ya kuwa mtu wa kwanza katika ulimwengu mzima kushuhudia Upweke wa Allah
(s.w.t.) na kuukubali utume wa Muhammad, ni ya Khadija kwa wakati wote.

F.E. Peters Anasema:

“Yeye (Khadija) alikuwa wa kwanza kuukubali ukweli wake wa wahyi wake (Muhammad), mwislamu wa kwanza baada ya Mtume (s.a.w.) mwenyewe. Alimtia moyo na kumsaidia Muhammad wakati wa miaka migumu ya mwanzo ya mahubiri yake ya hadhara, na katika miaka ishirini na tano ya ndoa yao hakuoa mke mwingine. Ndoa yao ilikuwa, kwa kiwango chochote cha akili cha kuamua, ni uwiano wa mapenzi na vilevile ubia wa ushirikiano. (Allah (s.w.t.)’s Commonwealth, New York)

Kama ilivyoonyeshwa kabla, Ali Ibn Abi Talib, alikuwa akiishi wakati huu na walezi wake, Muhammad na Khadija. Wale vijana wawili wa Muhammad na Khadija – Qasim na Abdullah walikwisha kufa katika uchanga wao. Baada ya kifo chao, walimchukua Ali kama mtoto wao. Ali alikuwa na umri wa miaka mitano alipokuja nyumbani kwao, na alikuwa na miaka kumi pale Muhammad alipofanywa Mtume wa Allah (s.w.t.) Muhammad na Khadija walimlea na kumsomesha.

Katika miaka iliyofuatia, alijionyesha mwenyewe kuwa ni “matokeo” bora sana ya malezi na elimu ile Muhammad na Khadija waliyompa.

Sir William Muir:

‘Mara tu baada ya kuijenga upya Al-Kaaba, Muhammad alijiliwaza mwenyewe kwa kupotea kwa mwanae mdogo Qasim kwa kumchukua Ali, mtoto wa rafiki yake na mlezi wake aliyetangulia, Abu Talib. Ali, wakati huu akiwa sio zaidi ya miaka mitano au sita ya umri, alibaki daima baadaye na Muhammad, na walionyeshana upendo wa baba na mwana.’ (The life of Muhammad, London, 1877)
 
Mbona wewe hujakaa kimya wakati hujui lolote? Jibu joja zangu kama wewe siyo boya tu
Maandishi mengi lkn kubwa umeonyesha ujinga wako kwa kukosa maarifa

Ushauri kwako chief,,,,,wakati mwingine kukaa kimya kutakuheshima zaidi

Asante
.
 
Anatoa ufafanuzi zaidi kuhusu Madina ambapo Uislam uliasisiwa mji ulio kilometa 500 toka Mecca


View: https://m.youtube.com/watch?v=nIJIT-pXI-8


Source : Nabii Eliya Ilyass

Huyu jamaa nakumbuka siku waliyomfukuza Uislamu..

Aliita Jopo la Ulaamaa Na Masheikh wa Madhehebu yote/Wawakilishi halafu akawaambia eti yeye Hamza amekuja kwenye Mwili Yeye ni Nabii Ilyassa (Nabii Elisha)..

Alipigwa Spana Na kufukuzwa kwenye uislamu Juu...

Akaanzisha Dini yake Yenye mchanganyiko wa Uislamu na Ukristo 🤣🤣
 
Back
Top Bottom