Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Iran inasifika sana kwenye field ya medicine
IMG_20240930_111503.jpg


Hao ni UINGEREZA​
 
Darul salaam - City of peace
Mussa Hassani - Msasani.

Muhimbili ni spitali iliojengwa na wazee wetu waliothamini utu na taifa lao. Tanganyika ilikuwa ni taifa la kuheshimika na wazee wetu ndio waliopigania UHURU wa taifa letu.

Baada ya UHURU walioshika hatamu walihakikisha UISLAMU unadhibitiwa kwelikweli.

Wengi wenu ni watu wakuja hapa daresalaam na hata historia hamuijui ndio maana munajisemea maneno ovyo. Nyerere alitaka kuufanya mji mkuu kuwa DODOMA lakini imeshindikana.

Historia haifutiki na itabaki pale pale. Walioijenga nchi hii ni waislamu.
Hapo kwenye Dodoma. Nini maoni yako kwa sasa?
 
Back
Top Bottom