Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Historia ya Sewa Haji Paroo (1851-1897), Muasisi wa Hospitali ya Muhimbili

Nilimsikia kama akisema hiyo hospitali ilijengwa pembeni ya CENTRAL POLICE Dar ea salaam. Kule iliko sasa ilihamishiw baadaye... sijui ukweli wake
 
Kuna watu wanaacha faida kwa wengine,
Mungu ampe stahiki yake na sisi tujitahidi kusaidia kadri tuwezavyo
 
Acheni ujinga, katunyonya mara milioni ya hicho alichotoa.., ni wale wale tu wafanya bishara za utumwa...
 
HUYU NDIYE MTU ALIYEJENGA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Katika Miji Ya Bhuj Na Kutch
Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana.

Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijenga Mashule ba Hospitali Kadhaa, Katika Mji wa Mzizima { Leo Inaitwa Dar es Salaam}.

Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo February 1897 Sheikh Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni na Simanzi Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji Aliependwa Sana na watu.

Baada ya Kufariki Kwake Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo ya Wodi Katika hospital hiyo Inaitwa SEWA HAJI,

Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema..peponi 🙏

1685819657565.jpg
 
HUYU NDIYE MTU ALIYEJENGA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Katika Miji Ya Bhuj Na Kutch
Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana.

Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijenga Mashule ba Hospitali Kadhaa, Katika Mji wa Mzizima { Leo Inaitwa Dar es Salaam}.

Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo February 1897 Sheikh Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni na Simanzi Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji Aliependwa Sana na watu.

Baada ya Kufariki Kwake Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo ya Wodi Katika hospital hiyo Inaitwa SEWA HAJI,

Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema..peponi 🙏

View attachment 2645161
Why sasa? Tunaijuwa Tz. Hayo mengine wekeni sehem zinafaa
 
HUYU NDIYE MTU ALIYEJENGA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Katika Miji Ya Bhuj Na Kutch
Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana.

Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijenga Mashule ba Hospitali Kadhaa, Katika Mji wa Mzizima { Leo Inaitwa Dar es Salaam}.

Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo February 1897 Sheikh Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni na Simanzi Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji Aliependwa Sana na watu.

Baada ya Kufariki Kwake Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo ya Wodi Katika hospital hiyo Inaitwa SEWA HAJI,

Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema..peponi 🙏

View attachment 2645161
Kwanini sasa hv tusieusishe hilo jina lake na hospital kuitwa Sewa Haji Referal & Memorial Hospital na hiyo Wodi ndio iitwe Muhumbili!
 
Back
Top Bottom