Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma post namba moja.
Hawa ndio walikuwa waisilamu, siyo waisilamu ubwabwa, full kijicho na inda, wengi wamo humuKwa Mujibu wa Imani ya Sewahaji hiyo Ni Swadakat jaalia ( Sadaka yenye thawabu Hata Baada ya kufa kwako)
Hawa ndio walikuwa waisilamu, siyo waisilamu ubwabwa, full kijicho na inda, wengi wamo humu
Wa siku hizi wanatuachia majeraha ya risasi na mayatima! Rip Gwanda,Mawazo,Ben 8,AQuiline,mwenyekiti cdm Usa river NkWatu wanaacha alama zenye kukumbukwa miaka na miaka
ila wao huko waliko hawakumbuki kama wanakumbukwaWatu wanaacha alama zenye kukumbukwa miaka na miaka
Muhimbili ni jina la kisima Cha chemchem kilikuwa hapo bondeni magomeni.Hilo jina la muhimbili likitokea wapi na lina maana gani?
Sewa Haji Paroo (1851 in Bagamoyo – 10 February 1897 in Zanzibar) was a businessman of Indian origin. He was the main trader for the Sultan of Zanzibar. He also founded and financed the Sewa Haji Hospital which today is part of the Muhimbili Hospital in Dar es Salaam. Sewa Haji is considered the first philanthropist of East Africa. For example, he financed the building of a school, a mosque and several wells in his native Bagamoyo. Also he equipped the famous expedition of Henry Morton Stanley.Dah long history, yaani hata wikipedia haipooo....Umezichimbua wahi hizi habariii?
Ivi huyu jamaa hakuacha ata vitukuu...NJUKURIiiii..waliokuwa na mtizamo ka wake..katika miji alopitaaa ?
Ka alifariki 1897 ...tuseme alikuwa na watotoo (wakaishi miaka 40-70), nao wakapata watoto (wakaishi miaka 40-70) ambao kwa sasa itakuwa ni third generation?