Barubaru,WC,
ndio maana yya utafiti huwezi tafiti kila kitu. Sasa hiyo ni nafasi yako kama msomi na mpenda waTz na TZ kuwafuata hao uliowataja na kuwabainisha hapo nilipo RED kisha kuandika kitabu kujazia pale alipokoma Sheikh Mohamed.
bahati mzuri motion na hata flame ya utafiti wako ipo tayari kwa muundo na staili aliyotumia Sheikh Mohamed Said kuandika kitabu chake. Na wasomaji tupo kibao tutakupa moyo. Na hata sheikh Mohamed said atakuwa tayari kukusaidia.
Watendee Haki hao wazee na kutoa taarifa na historia iliyofichika ya hao wazee kwa faida ya waTz wote.
Kila la kheir
Wengi wa wazee hawa hatunao duniani. Wakati Mohamed anaongea na wazee wake wale wa Kariakoo hawa niliowataja waliokuwepo pia. Hakuhangaika nao. Agenda yake isingekamilika! Pili, sina ukaribu na wazee hawa wachache waliobaki kama alivyokuwa Mohamed na wazee wake ingawa sijui kama anazikumbuka familia za wazee hawa kwenye mapato yanayotokana na kitabu hiki ambacho anadai kinauzika sana.