Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Embu acha hayo mambo yako,kama ni kosa la kimaandishi halina maana yoyote kwako wewe kuongeza "vikolombwezo" acha watu wajifunze kutoka kwa Mzee MS,hayo yakwako fungulia uzi wake.

Umekosea maandishi au kiswahili kinakupiga chenga? Hapa JF kuna fani nyingi na utegemee kutoka kwangu kupata elimu, japo kidogo kama uliyoipata sasa hivi, sitegemei kama utakosea tena pa kuweka "l" na "r" nna uhakika utakuwa una hakiki ili usimpe fursa FF na hapo inakuwa nimekusaidia ki elimu na nimewasaidia wengine wengi tu. AlhamduliLlah. Na umeelewa harisi pia ni bokoboko na umeelewa haris"I" ni mlinzi. Sio elimu hiyo? Tuendelee na mada.
 
Embu acha hayo mambo yako,kama ni kosa la kimaandishi halina maana yoyote kwako wewe kuongeza "vikolombwezo" acha watu wajifunze kutoka kwa Mzee MS,hayo yakwako fungulia uzi wake.

Watajua vipi kwamba naye kachangia leo? Lazima a-post chochote, mara "kachekeshwa" na bokoboko.. mara sijui nini yani mradi kaandika tu. Kama kukosea kimaandishi mbona si ajabu hebu angalia hapa katika kukukosoa mwenyewe pia kachemka..

FaizaFoxy said:
Hiyo "harisi" una maanisha bokoboko lako? Au una maanisha mlinzi wako? Kama ni hayo uliomaanisha sidhani kama humu JF utampata atakaeongelea hayp labda Barubaru akusaidie.
Unanchekesha!

Kiswahili cha Kariakoo au?
 
Watajua vipi kwamba naye kachangia leo? Lazima a-post chochote, mara "kachekeshwa" na bokoboko.. mara sijui nini yani mradi kaandika tu. Kama kukosea kimaandishi mbona si ajabu hebu angalia hapa katika kukukosoa mwenyewe pia kachemka..



Kiswahili cha Kariakoo au?

Tazama "keyboard" yako uone "o" iko wapi na "p" iko wapi halafu tazama "harisi" na "halisi" halafu uniambie huko ni kukosea maandishi au kukosea lugha? Unanchekesha!
 
Tazama "keyboard" yako uone "o" iko wapi na "p" iko wapi halafu tazama "harisi" na "halisi" halafu uniambie huko ni kukosea maandishi au kukosea lugha? Unanchekesha!

Sasa ukaribu wa "o" na "p" ndio uhalalishaji wa wewe kuandika lugha isiyoeleweka na si mwingine? Kumbe unajua kuna typing error? nilidhani we mwerevu sana "hukosei". Pia pole sana kwa kudhani kila anayetumia mtandao lazima atumie Qwerty layout achilia mbali other devices ambazo hazina hata keyboard.. aibuuu
 
Mzee Said.. Wewe ulianza kufanya utafiti wa kitabu chako cha Kiingereza lini na ulikamilisha lini hadi kikachapwa mwaka 1998. Yaani ulichukua muda gani kukamilisha uandishi wako wa kitabu cha Abdulwahid Sykes?
 
Mzee Said.. Wewe ulianza kufanya utafiti wa kitabu chako cha Kiingereza lini na ulikamilisha lini hadi kikachapwa mwaka 1998. Yaani ulichukua muda gani kukamilisha uandishi wako wa kitabu cha Abdulwahid Sykes?

Hili swali limeulizwa mara nyingi lakini mzee mohamed hajaridhia kulijibu.

Mzee mohamed kwanini usione umuhimu wa kujibu swali la mwanakijiji ili mnakasha uzidi kupanuka na kunoga? Hii si ndiyo elimu yenyewe unayokusudia kuwafikishia wanaukumbi? Tafadhali kwa hisani yako jibu swali hili ili mwanakiji afunguke kwa upande wake.
 
Na kama kumbukumbu zangu ni sahihi, aliyekuwa rais mwaka 1988 alikuwa Ali Hassan Mwinyi. Kwa hiyo kama gazeti la Africa Events lilikusanywa lisisambazwe basi hii ilifanyika chini ya rais Mwinyi, Muislamu mwenzenu.

Hii inanikumbusha kilio changu kwa Nyerere kwa kukatwa jina langu licha ya kufaulu vizuri mitihani yangu. Jee, Mkuki kwa nguruwe tu? Kwa binaadam mchungu?
 
Hii inanikumbusha kilio changu kwa Nyerere kwa kukatwa jina langu licha ya kufaulu vizuri mitihani yangu. Jee, Mkuki kwa nguruwe tu? Kwa binaadam mchungu?

Uzembe wako na wazazi wako usimtupie lawama Nyerere. Hata mimi jina langu lilikatwa lakini wazazi wangu walipigania haki yangu.

Tukirudi kwenye hoja ya msingi, wakati hilo jarida linatoka na hatimaye kukusanywa tayari alhaji Mwinyi alikuwa ofisini magogoni kwa takriban miaka mitatu, sasa hapo Nyerere alihusikaje?

Nimeandika hapo kabla kwamba hata kama kuna mambo ya hovyo yamefanywa na waislamu lazima Nyerere atajwe. Mmejaa chuki, chuki, chuki, chuki!
 
Kama Mohamed Said angewasiliana na Profesa mstaafu, Isaria Kimambo anayeishi Makongo, nje kidogo ya Dar es Salaam, au na Profesa Arnold James Temu ambaye sasa ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Stefano Moshi, huko Moshi, akawapa kitabu chake, wangemsaidia sana ili kionekane siyo biased.

Hawa walikuwa wahadhiri waandamizi wa historia ktk Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kilipoanzishwa miaka ya 1960s.

Kama wameandika vitabu vya historia ya Tanganyika, labda walijikita ktk matukio rasmi.
 
Sasa ukaribu wa "o" na "p" ndio uhalalishaji wa wewe kuandika lugha isiyoeleweka na si mwingine? Kumbe unajua kuna typing error? nilidhani we mwerevu sana "hukosei". Pia pole sana kwa kudhani kila anayetumia mtandao lazima atumie Qwerty layout achilia mbali other devices ambazo hazina hata keyboard.. aibuuu

Hongera, mradi hizi "l" na "r" mnavyoziweka sivyo ndivyo nnazipiga vita. Kifi ni kifo sababu zinatofautiana. Tuendelee na nyundo maana si nondo tena za Mohamed Said. Somo limeeleweka.
 
Uzembe wako na wazazi wako usimtupie lawama Nyerere. Hata mimi jina langu lilikatwa lakini wazazi wangu walipigania haki yangu.

Tukirudi kwenye hoja ya msingi, wakati hilo jarida linatoka na hatimaye kukusanywa tayari alhaji Mwinyi alikuwa ofisini magogoni kwa takriban miaka mitatu, sasa hapo Nyerere alihusikaje?

Nimeandika hapo kabla kwamba hata kama kuna mambo ya hovyo yamefanywa na waislamu lazima Nyerere atajwe. Mmejaa chuki, chuki, chuki, chuki!

Hiyo ndio njia ya kupatia haki na hayo ndio majibu nnayoyakubali kabisa na haki ya mnyonge haikupatikana wakati wa Nyerere mpaka uwe na mbavu kama wazee wako. Na utawala huo wa kuonea wanyonge ndio mtawala wake afaae kuwa Mtakatifu, hilo naunga mkono mia kwa mia. Kama kigezo cha utakatifu ni dhulma nalipongeza kanisa katoliki.
 
Kilasara,

Ahsante kwa ushauri wako.

Kitabu ni "biased" kwa kuwa kimeandika kile ambacho Prof. Temu na Prof. Kimambo hawakukiandika? Kitabu changu kilipitiwa na mmoja wa maprofesa wa historia Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Alikisifia lakini aliumizwa na kule kwangu kuonyesha hila zilizokuwapo dhidi ya Uislam (sehemu ya tatu
ya kitabu).

Kwa hiyo si suala ya kitabu kutopitiwa. Kitabu kikapitiwa tena Uingereza kabla ya kuchapwa. Kitabu kikafanyiwa
"review" kadhaa Marekani na Ulaya.

Wote wamesema kitabu changu kimeongeza ufahamu wa nini kilipitika Tanzania kabla na baada ya uhuru na nini ulikuwa mchango wa Waislam katika kuupigania uhuru.

Labda nikufahamishe maprofesa wa historia walioko hapo Mlimani wanakionaje kitabu changu.

Wanawavunja moyo wanafunzi wao wasikisome kitabu changu.

Mohamed
 
Uzembe wako na wazazi wako usimtupie lawama Nyerere. Hata mimi jina langu lilikatwa lakini wazazi wangu walipigania haki yangu.

Tukirudi kwenye hoja ya msingi, wakati hilo jarida linatoka na hatimaye kukusanywa tayari alhaji Mwinyi alikuwa ofisini magogoni kwa takriban miaka mitatu, sasa hapo Nyerere alihusikaje?

Nimeandika hapo kabla kwamba hata kama kuna mambo ya hovyo yamefanywa na waislamu lazima Nyerere atajwe. Mmejaa chuki, chuki, chuki, chuki!

Hili sio swala la chuki hata kidogo,inaonekana somo la MS halijaeleweka.

Nyerere mpaka Mwinyi ana stahafu bado ananguvu nchii ametuchagulia mpaka rais wa awamu ya tatu kama mmesahau na alihaidi kabla ya kwenda London kutibiwa kwamba angemwona hata rais wa awamu ya nne.

Mzee MS,amewaambia kwa fumbo hapo juu "mwinyi alikuwepo tu ila "watu" walisha form a mechanism ya kuendesha mambo yao
 
Kilasara,

Ahsante kwa ushauri wako.

Kitabu ni "biased" kwa kuwa kimeandika kile ambacho Prof. Temu na Prof. Kimambo hawakukiandika?
Kitabu changu kilipitiwa na mmoja wa maprofesa wa historia Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Alikisifia lakini aliumizwa na kule kwangu kuonyesha hila zilizokuwapo dhidi ya Uislam (sehemu ya tatu
ya kitabu).

Kwa hiyo si suala ya kitabu kutopitiwa. Kitabu kikapitiwa tena Uingereza kabla ya kuchapwa. Kitabu kikafanyiwa
"review" kadhaa Marekani na Ulaya.

Wote wamesema kitabu changu kimeongeza ufahamu wa nini kilipitika Tanzania kabla na baada ya uhuru na nini
ulikuwa mchango wa Waislam katika kuupigania uhuru.

Labda nikufahamishe maprofesa wa historia walioko hapo Mlimani wanakionaje kitabu changu.

Wanawavunja moyo wanafunzi wao wasikisome kitabu changu.

Mohamed
Bila shaka wazungu watakipenda kitabu chako kwa sababu kinalengo la kutugawanya ktk makundi ya udini... na wewe unatumika kama nyapala wa kueneza fimbo hizo..unaona rahaaa!
 
Bila shaka wazungu watakipenda kitabu chako kwa sababu kinalengo la kutugawanya ktk makundi ya udini... na wewe unatumika kama nyapala wa kueneza fimbo hizo..unaona rahaaa!

Mkandara,

Umeingia tufanye mnakasha au umeingia kunitukana?

Mohamed
 
Sanda Matuta,

Hali ya Mwinyi ilikuwa kama Insha Allah utakavyoona hapo chini:

"This was the time that Mwinyi confided to Prof. Malima that there werepeople within the office of the president who had duplicates keys to hisdrawers and were stealing documents.

Mwinyi, Prof. Malima confided to my informantlooked scared and while he was reporting this to Prof. Malima, Mwinyi wasspeaking in very low tones, whispering as if fearing his office was bugged.Prof. Malima advised President Mwinyi to transfer that entire staff and bringin new people who would have allegiance to him.

At this time Prof. Malimastarted to receive hate mails which he turned over to the Intelligence forinvestigation but nothing came out of those investigations."

Mohamed
 
Hiyo ndio njia ya kupatia haki na hayo ndio majibu nnayoyakubali kabisa na haki ya mnyonge haikupatikana wakati wa Nyerere mpaka uwe na mbavu kama wazee wako. Na utawala huo wa kuonea wanyonge ndio mtawala wake afaae kuwa Mtakatifu, hilo naunga mkono mia kwa mia. Kama kigezo cha utakatifu ni dhulma nalipongeza kanisa katoliki.

Ni kweli kabisa kwakuwa tumejionea jinsi dhulma ilivyokomeshwa chini ya utawala wa jakaya kikwete!

Wananchi wameendelea kuuawa nyamongo, geita, buzwagi na maeneo mengine mengi bila hatia lakini hiyo sio dhulma, kwani ndiyo haki kwa mujibu wa mafundisho ya uislamu.

Wananchi wa mbagala na gongolamboto wameuawa na mabomu na wengine kubomolewa makazi yao. Serikali ya muislamu kikwete imejitahidi kutowalipa wengi stahiki zao lakini hiyo si dhulma, kwani ndiyo haki kwa mujibu wa mafundisho ya dini yenu.

Raisi anayo majina ya wauza madawa ya kulevya na wala rushwa lakini hajawagusa kwakuwa kufanya hivyo ni dhulma!

Na mambo mengine mengi kama bomoa bomoa zinazoendelea kila kona ya nchi,juzi tumeona njedengwa dodoma,unaweza kuongeza orodha.
 
Hili swali limeulizwa mara nyingi lakini mzee mohamed hajaridhia kulijibu.

Mzee mohamed kwanini usione umuhimu wa kujibu swali la mwanakijiji ili mnakasha uzidi kupanuka na kunoga? Hii si ndiyo elimu yenyewe unayokusudia kuwafikishia wanaukumbi? Tafadhali kwa hisani yako jibu swali hili ili mwanakiji afunguke kwa upande wake.

Hapana swali hapo sasa unajibu nini mahali pasipokuwa na swali?

Mohamed
 
Mkandara,

Umeingia tufanye mnakasha au umeingia kunitukana?

Mohamed
Sielewi unachozungumza maana ni wewe uloandika kwamba wazungu wamesema kitabu chako kimeongeza ufahamu wa nini kilipitika Tanzania kabla ya na baada ya Uhuru na nini ulikuwa mchango wa waislaam katika kuupigania Uhuru...

Statement hii peke yake ni matusi kwetu, na ndio nimekujibu wewe unayefurahia haya!
 
Sielewi unachozungumza maana ni wewe uloandika kwamba wazungu wamesema kitabu chako kimeongeza ufahamu wa nini kilipitika Tanzania kabla ya na baada ya Uhuru na nini ulikuwa mchango wa waislaam katika kuupigania Uhuru...

Statement hii peke yake ni matusi kwetu, na ndio nimekujibu wewe unayefurahia haya!

Kama hukuelewa ninachozungumza ustaarabu ni kuomba ufafanuzi sio kunitukana.

Katika sentensi yangu hapakuwa na tusi lakini haya tuwaachie wanaukumbi waamue kati yetu nani katukana.

Mohamed
 
Back
Top Bottom